show episodes
 
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha. Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika. Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi. Hakikisha unafollow ...
  continue reading
 
Artwork

1
Untold

Maisha Razzaque

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
Amateur historian and storyteller, Mara Safi, can't escape the strange intrigues of small towns and haunted houses. SEASON TWO out now. SEASON ONE: When a celebrated historian dies before finishing his last book, his granddaughter, Mara, picks up where he left off. But the more Mara investigates the strange and dark history surrounding the founders of a small Virginia town, the more she wonders if this particular story should have been left untold. Story and Editing by Maisha Razzaque. Follo ...
  continue reading
 
Artwork
 
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
  continue reading
 
Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.
  continue reading
 
Maisha ya kumpendeza Kristo katika ulimwengu huu ulioharibika hasa kwa singles waliookoka si kitu rahisi. Welcome to Uplevel With Upendo, mahali ambapo tunaanzisha mazungumzo ya kujengana, kuwezeshana kimaarifa, kutiana moyo, kuzungumza changamoto za Christian singles, kutambua wewe ni nani, mahusiano yanayompendeza Mungu, kuliishi kusudi la maisha yako na kutumia vyema kipindi cha singleness. Unaweza kunipata kupitia mitandao ya kijamii ifuatayo: Instagram: @thisisupendomasenga Facebook: Up ...
  continue reading
 
Connecting Black Women to their Sensuality and reminding them of the power of their Pleasure - one episode at a time. Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/thesensualblueprint/support
  continue reading
 
This podcast is from a foster, adoptive, and biological mother who shares her experiences, as well as the experiences of others, to correct misconceptions and provide information about what it means to be a foster or adoptive parent. Some themes will be controversial and include Christian content. Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maisha-murray/support
  continue reading
 
Karibu katika Podcast ya Swahili Tech ambapo utafahamu mengi kuhusiana na Teknolojia, social media, applications, simu, na vifaa tunavyotumia kila siku katika maisha yetu. Karibu sana na usiache ku-subscribe ili uoate infos kali.
  continue reading
 
Tutakuangazia Duniani kote, tukikupa habari, maoni, na mitazamo mbalimbali ju ya maswala ya maisha yetu ya kila siku kama Familia, Mahusiano, Elimu, Teknolojia,Michezo, sanaa, ubunifu, mavazi na mitindo Mafanikio, lengo letu ni kuelimisha, kuburudisha na kufundisha.
  continue reading
 
Artwork
 
Featuring two friends navigating through the different perspectives of today's social, cultural and political issues. Join us - Maisha and Zarah - as we break down the them vs. us narrative with open and interesting conversations about these issues! Tune in every Monday for a new episode, starting September 23rd. Enjoy!
  continue reading
 
Artwork
 
@3sirenspodcast is where 3 women of color (@Maisha_d, @msfeesosweet, @cathyalvarez34) share their navigation of this ISH called life. It's the place where we say the things you think but can't always voice! Living, breathing juxtapositions sippin while dippin in and out of intellectual discord and pseudo pettiness. Give us a listen...
  continue reading
 
Artwork
 
Join disarmingly charming hosts Maisha and Hafsa as they deconstruct and discuss the unusual and the eerie. We talk movies, books, short stories, crime reports, poems, urban legends, TV shows, and more. Dark Tales: A Horror Podcast for Cowards is sure to leave you with a goosebump or two but definitely not too many. Find us on Twitter or Instagram @darktalespod. Direct all inquiries to darktalespod@gmail.com. If you're interested in who's Behind The Curtain, you can also find us @mshrzq and ...
  continue reading
 
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
  continue reading
 
Artwork

1
LOMI Secrets

Lomi Secrets

Unsubscribe
Unsubscribe
Daily+
 
Hili ni Jukwaa linalowasaidia wajasiriamali wenye uchu wa mafanikio makubwa kama wewe, kupata wateja kirahisi mtandaoni. Nimetumia mbinu nyingi kuvutia wateja. Zipo zilizofaulu, na zilizofeli. Nime'Master zaidi zilizofaulu hatimaye internet imebadili maisha yangu. Kutoka 12,000 kwa siku, hadi Mil.3 kwa mwezi. Ungana nami hapa Ni'share nawe experience yangu. Ideas, mbinu na hata vitendea kazi ninavyotumia kupata mafanikio hayo. Hii ni njia yangu ya mafanikio (My path to success). Jifunze chuk ...
  continue reading
 
Artwork
 
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza kipindi cha Naweza | Radio Free Afrika kila Jumamosi saa 11 jioni | Radio TBC Taifa kila Jumapili saa 11:30 jioni | Radio One kila Jumamosi saa 2:15 usiku Kipindi cha Naweza Show kinaletwa kwenu na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma (HPS)
  continue reading
 
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo.
  continue reading
 
Eleven Digital is the Digital Youth Forum dedicated to education in the field of the safe, creative and positive use of the Internet and new technologies. This is ‘Open Forum' aims to encourage dialogue and spread digital awareness on different issues by providing a platform on which ideas, creativity, thoughts and questions can be expressed and tackled in an open environment.
  continue reading
 
A sonic escape into the world of THREE diverse Kenyan women. We are young professionals, braving the urban landscape of Kenya's capital city and growing our friendship as we go along. Sharing our experiences as millennials living in the most dynamic continent; AFRICA. From Nairobi to Lagos, Kampala to Johannesburg, Dakar to Accra, New York to London, and that one guy from the Maldives (we saw you in our analytics- LOL); You're all welcome to join in on the fun! Africa to the WORLD;KARIBUNI S ...
  continue reading
 
Artwork

1
Time to Hire

Will Ducey & Jake Paul

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly+
 
Time to Hire brings in new perspectives to ensure the recruiting function remains relevant and forward looking. We talk to recruiting experts, HR tech founders, and anyone who brings unconventional ideas to help push the craft of recruiting forward. If you want to future proof yourself and increase your impact over time, through strategy, technology, and best practices this is the podcast for you.
  continue reading
 
Ujumbe Muhimu Sana Kwa Wagonjwa Wa GOITA Kama wewe ni mgonjwa wa GOITA ambaye umekuwa unahangaika kwa muda mrefu na tatizo hilo bila ya kupata utatuzi wa uhakika basi naomba unisikilize kwa makini kabisa kwani huenda taarifa ifuatayo ikawa taarifa muhimu kuliko taarifa yoyote katika maisha yako. Baada ya kuwasaidia zaidia ya wagonjwa 200 wa GOITA nimekuja kugundua kuwa tiba ya ugojwa huo sio upasuaji tu kama madaktari wengi wanavyodai bali ni jambo ambalo ukilifahamu utaweza kuondokana na ta ...
  continue reading
 
Artwork

1
She's Bold

Najma Matengo

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
She’s Bold is a podcast where we challenge traditions and mindsets limiting women in Africa. Najma the host, interviews phenomenal women in Tanzania and the diaspora to uncover, defy and lay a foundation for other women to break the barrier. It's what every woman in Africa should know. The new episode drops every Saturday.
  continue reading
 
Host Mike Spencer gets to the core of some of the most controversial issues that bridge the gap between young and old generations alike. As The Black Cultural Tastemaker, change and elevating traditions is nothing new here; expect conversations and interviews revolved around black culture, pop culture, relationships, mental health, entrepreneurship and more. Tune in every week to find out who's Changing Our Lives next: remember #YOUkeepthechange!
  continue reading
 
Artwork
 
Hey Everyone 👋🏽, welcome to our podcast “Chaa er adda” we are childhood bestie (Ritu & Tanya) 💕. Our aim for this podcast is to talk about life in general and shed 🔦 light on few matters that often gets neglected. New episode every Sunday.
  continue reading
 
Artwork
 
Many people would achieve great things in life if they would know the proven principles and strategies to achieve their goals. Self-development is the key to your vision fulfillment. These episodes unveil to you the hidden secrets for success that many have used to bring a difference in their lives. Through this show you will learn how to discover your hidden abilities, how to maximize your potential, how to build successful habits, money & buisness skills, and personal leadership. See you a ...
  continue reading
 
Welcome to Ridadi FM, your premier destination for top-notch entertainment, insightful teachings, and enriching life experiences. Dive into a world where every episode is crafted to captivate, educate, and inspire. Whether you're seeking laughter, wisdom, or a fresh perspective, our diverse range of shows has something for everyone. Tune in to Ridadi FM and embark on a journey of discovery, growth, and endless enjoyment. Ridadi FM is not just another online FM station; it's your ultimate sou ...
  continue reading
 
Artwork

1
Inside Outside

Brian Ardinger, Founder of NXXT, Inside Outside Innovation podcast, InsideOutside.io, and the Inside Outside Innovation Summit

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
Inside Outside Innovation explores the ins and outs of innovation with raw stories, real insights, and tactical advice from the best and brightest in startups & corporate innovation. Each week we bring you the latest thinking on talent, technology, and the future of innovation. Join our community of movers, shakers, makers, founders, builders, and creators to help speed up your knowledge, skills, and network. Previous guests include thought leaders such as Brad Feld, Arlan Hamilton, Jason Ca ...
  continue reading
 
Loading …
show series
 
Kama wewe ni msanii au unataka kuwa msanii hii episode inakuhusu, Utapata kujua uhalisia wa Sanaa and what it takes to thrive in this industry Leo tumekaribisha Grace Matata, Tanzania's beloved Afro soul singer, to share her personal insights, experiences, and wisdom gained from her journey in the #music industry #musician #afrosoul #Inspiration #s…
  continue reading
 
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.By VOA
  continue reading
 
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.By VOA
  continue reading
 
Ni jumapili nyingine tunakutana tena katika Makala haya Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni, le parler francophone na Muziki, na leo tunahitimisha mlolongo wa Makala kuhusu kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika huko Mbeya, na kwenye le parler francophone nakuletea ratiba ya shug…
  continue reading
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Masuala na Utalii, katika taarifa ya misitu na ufugaji nyuki inabainisha kuwa mkaa ni chanzo kikubwa cha nishati ya kaya katika maeneo ya mijini kwa kupikia na kupasha joto, kwa kuwa inachukuliwa kuwa ya bei nafuu na inapatikanakwaurahisi. Inakadiriwa kuwa asilimia 85 ya watu wote wa Tan…
  continue reading
 
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.By VOA
  continue reading
 
Teknolojia ya 5G na Mapinduzi ya Kidijitali Kupitia mazungumzo haya, tunachunguza jinsi teknolojia ya 5G inavyochochea mapinduzi ya kidijitali na kuunda msingi wa mabadiliko makubwa katika mawasiliano, biashara, na maisha yetu ya kila siku. 🎧 Bofya link kwenye Bio na Insta story ili kusikiliza Hosted By Owen Bariki & Maria Joseph Producer Owen Bari…
  continue reading
 
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.By VOA
  continue reading
 
Upende au usipende unahitaji sana maarifa na taarifa kupitia kujifunza, umejaribu kusoma vitabu umeshindwa? Basi episode hii itakusaidia kujua sehemu gani rahisi unaweza kupata maarifa kiurahisi kwenye eneo lolote na upige hatua kwenye maisha yako.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message…
  continue reading
 
Ni Jumapili nyingine tunakutana katika Makala Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, Utamaduni, le parler francophone na Muziki, leo ninakuletea mazungumzo kuhusu ubidhaishaji wa lugha ya kiswahili, ikiwa ni kauli mbiu ya kongamano la nne za idhaa za Kiswahili Duniani lililofanyika mkoani Mbeya Mwezi Machi.…
  continue reading
 
When the going gets tough, the tough gets going. Kwenye hii episode Bobby anatuelezea #changamoto mbali mbali alizokutana nazo kwenye maisha yake, lessons alizojifunza na njia anazotumia ku cope na new incoming #challenges #Msasa #madini #advertising #creatives #faith #bongo #BongoIsBrain #Tanzania Guest: Bobby Mongi / bobbymongi -- Host: Hisia / h…
  continue reading
 
Uchumi wa Buluu ni dhana pana yenye kubeba maana nzima ya kutumia kila rasilimali itokanayo na rasilimali maji kama Bahari, mito na maziwa. Dhana hii ubeba shuguli mbalimbli ikiwemo utalii, uvuvi, kilimo cha mwani, bandari pamoja na mafuta na gesi zilizomo baharini au katika maziwa. Kwa wakazi wa Jumuiya ya Afrika mashariki hasa katika mikoa inayo …
  continue reading
 
Join us and our special guest Lydia K. M. as we unpack Reesa Teesa's "Who TF Did I Marry?" TikTok series. Would we really do things differently if we were in her position? Maybe society's pressures get to us at some point and we "settle"... Let us know your thoughts in the comments or drop us a voice note... 00:00 - 04:41 Introduction 04:42 - 22:22…
  continue reading
 
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo. VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma k…
  continue reading
 
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na Msimamizi wa kituo cha radio China Kimataifa ambaye ni raia wa China kufahamu zaidi kwanini alivutiwa na swala la kujifunza lugha ya kiswahili, ni katika muktada wa kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika Mbeya nchini Tanzania. Kwenye Muziki utasikiliza wimbo wa mwanamuziki Lupman …
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide