Vatican News vipaumbele vyake: Habari za Baba Mtakatifu; Vatican, Kanisa la Kiulimwengu na Kanisa Barani Afrika. Tunazo habari za kisiasa na kijamii kutoka Barani Afrika na Dunia katika ujumla wake. Tovuti hii inapambwa na Tafakari ya Neno la Mungu pamoja na Makala mbali mbali. - Podcast - Radio Vaticana - Vatican News
…
continue reading
The How to Write The Future Podcast offers fiction writing tips for science fiction and fantasy authors who want to create optimistic stories because when we vision what is possible, we help make it so. By science fiction and fantasy author and fiction writing coach, Beth Barany.
…
continue reading
Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.
…
continue reading
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
…
continue reading
Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.
…
continue reading
JM Studio is the official Myanmar Artist Podcast with a large variety of songs from Myanmar artists available with new content being added regularly.
…
continue reading
Kupitia vipindi vyetu tunajaribu kuwahamasisha vijana wa Afrika kuhusu elimu ya jamii. Inasaidia kuyafanya maisha yao kuwa rahisi.
…
continue reading
Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.
…
continue reading
davidhochbaum.com davidstoupakisl.com Gimmie Babel is a podcast started in 2018 by visual artists and long time friends David Stoupakis and David Hochbaum featuring occasional guests to discuss process, inspiration and how they navigate the waters of living and working as a contemporary artist in the USA. Occasionally the artists would create videos to accompany the the episode. The agenda is open but usually revolves around art and food.
…
continue reading
1
Mashindano ya barani Afrika mwaka 2023 yakamilika nchini Ghana
23:52
23:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:52
Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na Kenya kuongoza chati ya medali Afrika Mashariki katika mashindano ya Afrika, Shirikisho la soka Cameroon yaondoa kashfa ya udanganyifu wa miaka dhidi ya Nathan Doualla, mkurugenzi mwandalizi wa WRC Safari Rally Jim Kahumbura ajiuzulu, droo ya soka mashindano ya Olimpiki na Nottingham Forest kupokonywa alama…
…
continue reading
…
continue reading
1
97. Storytelling to Share Complex Ideas with Maggie Ostara (part 1)
15:50
15:50
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
15:50
“Human brains work. We live in story.” -- Maggie Ostara In this episode of How To Write the Future, podcast host Beth Barany talks with Amazon Bestselling author, Maggie Ostara. Together they discuss the concept of Feminine Sovereignty explored in Maggie's book “Feminine Sovereignty: 8 Pillars for Regenerating Ourselves and Our World.” They delve i…
…
continue reading
…
continue reading
1
Maoni ya washiriki katika kongamano la idhaa za kiswahili duniani sehemu ya mwisho
20:02
20:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:02
Ni jumapili nyingine tunakutana tena katika Makala haya Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni, le parler francophone na Muziki, na leo tunahitimisha mlolongo wa Makala kuhusu kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika huko Mbeya, na kwenye le parler francophone nakuletea ratiba ya shug…
…
continue reading
1
KipKeino Classic: Mmarekani Kenneth Bednarek ashinda mbio za mita 100
23:51
23:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:51
Tuliyokuandalia hii leo ni pamoja na matokeo ya riadha za KipKeino Classic, uchambuzi wa debi la Tanzania na Mashemeji nchini Kenya, mabondia 11 wa DRC wafuzu nusu fainali ya michuano ya African Boxing Cup, matokeo ya ligi ya basketboli Afrika mkondo wa Nile na Ligi ya Mabingwa barani UlayaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
96. Confidence and Purpose with Writing Coach, Kirsten McNeill
14:45
14:45
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
14:45
“I really wanna be able to help writers focus on themselves, be themselves, figure out what they wanna write, and create, a community and a, a library of fiction novels or any kind of novels that they've written and live life and have fun because we need more of that positivity and that sunshine in the world.” In “Confidence and Purpose with Writin…
…
continue reading
…
continue reading
1
Sehemu ya tatu ya Makala kuhusu kongamano la nne la idhaa za Kiswahili duniani
20:00
20:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:00
Ni Jumapili nyingine tunakutana katika Makala Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, Utamaduni, le parler francophone na Muziki, leo ninakuletea mazungumzo kuhusu ubidhaishaji wa lugha ya kiswahili, ikiwa ni kauli mbiu ya kongamano la nne za idhaa za Kiswahili Duniani lililofanyika mkoani Mbeya Mwezi Machi.…
…
continue reading
1
Olimpiki: Nigeria na Zambia zafuzu mashindano ya Olimpiki soka ya kina dada
23:55
23:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:55
Kwenye makala haya utasikiliza uchambuzi wa mechi za kufuzu soka ya kina dada Olimpiki na shirikisho la riadha duniani kuwa shirikisho la kwanza kutoa tuzo za fedha, maandalizi kuelekea riadha za KipKeino Classic, mkusanyiko wa michezo DRC, uchambuzi wa mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Tiger Woods na Novak Djokovic waweka historia kubwa dunia…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Wataalamu: Uchumi Samawati utumiwe vizuri kwa maendeleo endelevu
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Kulingana na Benki ya Maendeleo ya Afrika, uchumi wa bluu barani Afrika una uwezo wa kuchangia pakubwa katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya bara hilo. Uchumi wa bluu unatajwa kuchangia dola za Marekani trilioni 1 kila mwaka, Sekta ya uvuvi ikiwa kitovu kikuu na kuajiri zaidi ya watu milioni 12. Profesa Omary Mbura, mtaalamu na mhadhiri wa masual…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Kongamano la idhaa za kiswahili duniani, umuhimu wa kujifunza lugha ya Kiswahili
19:57
19:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:57
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na Msimamizi wa kituo cha radio China Kimataifa ambaye ni raia wa China kufahamu zaidi kwanini alivutiwa na swala la kujifunza lugha ya kiswahili, ni katika muktada wa kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika Mbeya nchini Tanzania. Kwenye Muziki utasikiliza wimbo wa mwanamuziki Lupman …
…
continue reading
…
continue reading
“Editing is challenging. So whenever you get lost, feel overwhelmed, confused, just in a state about the editing process, come back to your goal, motivation, conflict about why you write. " “Know Yourself” In episode 95 of the How To Write the Future podcast, Beth Barany explains the importance of knowing why you write, focusing on your strengths, …
…
continue reading
…
continue reading
1
CAFCL:Simba na Yanga zabanduliwa michuano ya Klabu Bingwa Afrika
23:45
23:45
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:45
Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na uchambuzi wa hatua ya robo fainali mkondo wa pili michuano ya Klabu Bingwa Afrika, matokeo ya kufuzu soka Olimpiki ya kina dada, mwanasoka wa Afrika Kusini kuuawa, PSG Academy yatoa mafunzo kwa makocha nchini Rwanda, Kenya yatangaza orodha yake ya wanariadha wa mbio za Marathon kwenye Olimpiki ya mwaka huu,…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
94. Tropes for Fiction Writing with Jennifer Hilt
26:49
26:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:49
“I'm trying to be creative and original and all that and so I was like, thinking, yes, but how come we need to have these words in common in order to build a story?” -- Jennifer Hilt In this episode of How To Write the Future, podcast host Beth Barany talks with USA Today Bestselling author of The Trope Thesaurus, Horror Trope Thesaurus, and Trope …
…
continue reading
…
continue reading
1
Kongamano la nne la idhaa za kiswahili duniani "Tasnia ya habari na ubidhaishaji Kiswahili duniani"
20:00
20:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:00
Karibu kuungana nami katika Makala haya Changu Chako Chako Changu, Makala ambyo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni, le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea sehemu ya kwanza ya mazungumzo kuhusu Kongomano la nne la idhaa za Kiswahili duniani. Kwenye le Parler francophone nitakueleza ratiba ya shughuli za kitamaduni Allia…
…
continue reading
1
WRC Safari Rally Kenya : Mashindano ya mbio za magari yanaendelea nchini Kenya
23:53
23:53
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:53
Karibu katika makala jukwaa la michezo, leo hii tumekuandalia taarifa kadhaa kuanzia katika mashindano ya mbio za magari Safari rally nchini kenya, michuano ya klabu bingwa barani afrika Al Ahly wakiishinda Simba goli moja sifuri kisha Tp Mazembe kupata sare dhidi ya Petro Atletico ya Angola na mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Sierra Leone Lamin …
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya lugha ya kifaransa sehemu ya pili
19:45
19:45
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:45
Makala haya yameandaliwa na Florence Kiwuwa kwa ushirikiano na Ruben Lukumbuka.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
93. Know Your Genre and Characters, part 3 of 4
9:22
9:22
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:22
“Take the expectations of the genre and spin it. That's our job, is to take what's expected and play around and work through multiple iterations.” Know Your Genre and Characters. In episode 93 of the How To Write the Future podcast, host Beth Barany explains the importance of knowing your genre, shares about reader expectations and tropes, and abou…
…
continue reading
…
continue reading
1
92. Creative Writing and AI with Adam Fleming
32:34
32:34
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
32:34
"You can tell them what a brain freezes, but they'll never feel it. That's right." -- Adam Fleming In “Creative Writing and AI,” How To Write the Future podcast host Beth Barany talks to author, leadership coach, and hybrid publisher, Adam Fleming about the positives and negatives of using AI for creative writing, the origins for Adam’s fantasy ser…
…
continue reading
1
Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya lugha ya kifaransa
20:22
20:22
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:22
Makala maalum ya changu chako chako changu inafanyika hapa Mombasa pwani ya Kenya katika luktadha wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya lugha ya kifaransa, inayofahamika Kama La Francophonie, ambapo Taasisi inayofundisha watu lugha hii na tamaduni za Ufaransa, Alliance Francaise ya Mombasa, imeandaa maadhimisho haya maalum kwa kuenzi namna ambavyo…
…
continue reading
1
91. Transform Your Novel with These 7 Editing Tips for Bestselling Success, part 2 of 4
9:18
9:18
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:18
“Creativity is our superpower. With the power of our imagination and bringing in curiosity, courage, compassion, and connection.” Transform Your Novel with These 7 Editing Tips for Bestselling Success, part 2 of 4, in episode 90, of the How To Write the Future podcast. Host Beth Barany talks about what it takes to be a bestseller, why not every wri…
…
continue reading
1
CAF CL: Tp Mazembe, Yanga na Simba wafahamu wapinzani wao wa robo fainali
23:54
23:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:54
Karibu katika makala ya jukwaa la michezo, leo tumekuandalia mengi tukianzia na droo ya robo fainali katika michuano ya klabu bingwa barani afrika, mashindano ya bara afrika pamoja na droo ya robo fainali katika mashindano ya klabu bingwa barani ulaya.By RFI Kiswahili
…
continue reading