Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
…
continue reading
Ni Makala yanayoangazia kwa jicho la tatu mazingira halisi ya dunia yalivyo bila kusahau kile ambacho kinachangia kuyaharibu. Utapata kufahamu namna ambavyo mazingira na rasilimali zinavyoharibiwa huku pia teknolojia ikijumuishwa. Hakika mazingira mazuri ya leo ni dunia yako kesho.
…
continue reading
1
Kenya: Upanzi wa mimea yenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
9:46
9:46
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:46
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Watu wengi wanajikuta na magonjwa ya figo na ini,watoto wengi Sudan wakiaga
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
Kuna ongezeko la magonjwa ya figo na ini kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO inabashiri kuwa ongezeko hilo litakuwa juu zaidi kufikia mwaka 2030 ,hali hii ikichangiwa na hali ya maisha haswa ya raia katika nchi zinazoendelea Ugonjwa wa ini maarufu Hepatitis pia ni tishio kubwa haswa kwa raia wa Afrika ambayo inachangia asilimia 63 ya visa vya…
…
continue reading
1
Ukulima wa minyoo wa ardhini(Earthworm) katika utengenezaji wa mbolea asili
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Uhitaji wa huduma za dharura za afya washika kasi ukanda wa Afrika
9:55
9:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:55
Shirika la AMREF Flying doctors linaonya kuwa mlipuko wa magonjwa yasiyoambukizwa yanazidi kuongeza uhitaji huku wigo la kupanua biashara likitanuka piaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tamasha la mazingira liliandaliwa jijini GOMA nchini DRC
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Wanawake waongoza juhudi za kampeni za Afya bora ,DRC ikizidisha mapambano ya Kipindu Pindu
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59
Wawawake kutoka ukanda wa Afrika wanajumuika Dar Es Salaam mwishoni mwa juma kupiga jeki kampeni za kuboresha afya Nchini DRC mikakati iliyoweka kudhibiti mlipuko wa Kipindu Pindu ulioripotiwa katika mataifa ya Afrika ya Kusini ,inaendelea kulipa na hata kuwa msaada kwa mataifa jirani kama vile Zambia…
…
continue reading
1
Mataifa ya Afrika yanayoendelea bado yanachangia mzigo mkubwa wa TB
10:23
10:23
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:23
Usalama mdogo nchini Sudan Kusini umesababisha wagonjwa wengi kuchelewa kubainishwa TB na kupata matibabu ya mapema Watalaam wa afya wanashauri ulimwengu kukumbatia teknolojia za kisasa kama vile Akili Mnemba kurahisisha ubainishaji na kuongeza usahihi wa vipimoBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mageuzi yanayoletwa na nishati bunifu kisiwa cha Ndeda magharibi mwa Kenya
10:14
10:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:14
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Wakulima nchini Kenya wajiandaa kwa msimu wa kupanda
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Akina mama wahifadhi mashamba ya pweza Lamu katika bahari hindi
9:57
9:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:57
Sote tunataka familia zetu ziwe na chakula cha kutosha ili kula kile ambacho ni salama na chenye lishe. Na lengo la 2 la maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa ni ulimwengu usio na njaa ifikapo 2030. Lakini licha ya juhudi zinazowekwa, suala la njaa na uhaba wa chakula limeonyesha ongezeko la kutisha tangu 2015, hali hii ikichochewa na mseto wa mam…
…
continue reading
1
Wanawake mbele kuinua sekta ya sayansi na utafiti nchini Kenya
10:14
10:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:14
Idadi ya wanawake wanaongoza katika sekta mbali mbali bado ni ndogo barani Afrika. Kauli mbinu mwaka huu wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake ni kuwekeza zaidi kwa wanawake ili kuongeza kasi ya maendeleo,tunaangazia wanawake wanasayansi na watafiti nchini Kenya ,wakijikita kwenye utafiti wa magonjwa yaliyotengwa…
…
continue reading
1
Jamii ya Kibera jijini Nairobi inavyopambana na mimba za utotoni
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03
Mimba za utotoni ni kizingiti kikubwa kinachoathiri elimu ya wasichana barani AfrikaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
UNITAID mbioni kurahisisha upatikanaji wa dawa nadra sokoni
9:21
9:21
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:21
UNITAID imekuwa ikishirikiana na mataifa kuleta dawa mpya na za bei nafuu Upatikanaji wa dawa zilizo za viwango vya juu na kwa bei nafuu bado ni changamoto kubwa kwa mataifa yanayoendelea.Matibabu ambayo bado ni mapya hukumbwa na vikwazo vingi kuingia soko la kimataifa na sasa UNITAID imekuwa mbioni kuziba pengo hilo…
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mchango wa waziri mkuu wa zamani hayati Edward Lowassa katika siasa za Tanzania na Ukanda
10:05
10:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:05
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Ushirikiano kati ya shirika la Village Reach na wizara ya afya nchini Kenya na nchi za ukanda wa Afrika
10:07
10:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:07
Village Reach ambayo kwa tafsiri rahisi ni kufikia maeneo ya vijijini, imefungua ofisi za kikanda jijini Nairobi kujaribu kusaidia serikali kusimamia namba ya dharura,usafirishaji wa sampuli za Polio na kuboresha utendakazi wa wahudumu wa afya wanaofanya kazi katika jamii tofauti Baada ya kupata mafanikio makubwa katika nchi za Msumbiji, Malawi ,Vi…
…
continue reading
1
Matumizi ya pikipiki za umeme katika kusaidia kupunguza utoaji wa hewa ya kaboni kwenye mazingira
9:55
9:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:55
Wiki chache zilizopita, tulikuletea makala kuhusu pikipiki za umeme, na kupitia ukurasa wetu wa Facebook RFI KIswahili, tukawa na maswali mengi kuhusu pikipiki hizi. Katika makala haya tumemwalika, Raymond Kitunga, kutoka kampuni nyingine inayotengeneza pikipiki za umeme, Spiro Kenya, na hapa atakuwa anayajibu baadhi ya maswali kuhusu pikipiki hizi…
…
continue reading
1
Ukulima wa wadudu na hasa nzi aina ya black Soldier Fly, kama njia mbadala ya chakula cha mifugo wao
10:04
10:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:04
Nchini Kenya, wakulima wameanza kukumbatia ukulima wa wadudu na hasa nzi aina ya black Soldier Fly, kama njia mbadala ya chakula cha mifugo wao. Kulingana na wanasayansi, nzi hawa wana proteni ya kiwanngo cha juu, na hivyo wanatoa nafasi bora kwa wakulima kuboresha vyakula vya mifugo yao.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Changamoto za afya ya akili katika mitaa ya mabanda nchini Kenya
9:54
9:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:54
Shirika la afya duniani limeorodhesha ongezeko la watu wanaokumbwa na changamoto za afya ya akili hususan tangu kuzuka janga la Corona,kupanda gharama ya maisha na mfumuko wa beiBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Matumizi ya pikipiki za umeme katika kutunza mazingira kwa kupunguza uzalishaji wa hewa ukaa
9:58
9:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:58
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Shirika la GreenVenture, la jijini Arusha inavyotumia taka za plastiki kuunda vifaa vya kujengea
9:56
9:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:56
Makala ya leo yaliandaliwa Florence Kiwuwa, yanaangazia juhudi za jamii katika mji wa Arusha nchini Tanzania, na kile wanachokifanya kupiga jeki harakati za kukabilianana taka za plastiki.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Juhudi zinaendelea kuhakikisha dawa mwafaka ya TB miongoni mwa watoto zinaendelea Licha ya kuwa TB inaweza kuambukiza watu wa umri wowote ,watoto kwa miaka wamekuwa wakiachwa nyuma katika matibabu ya TB. Watoto kwa miaka walilazimika kutumia donge za watu wazima.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Muendelezo wa ugonjwa wa Kisukari nchini Kenya na Sudan Kusini
9:43
9:43
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:43
Nchi zinazoendelea zinashuhudia ongezeko la magonjwa yasiyoambukizwa ukiwemo KisukariBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Hatua zitakazochukuliwa baada ya azimio la pamoja la COP28 huko Dubai
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Mkutano wa COP28 uliafikia mataifa mbalimbali kuanza polepole kuachana na matumizi ya mafuta ya kisukuku, mataifa ya Afrika yakitoa wito wa mataifa yenye nguvu na yanayozalisha nishati hii kwa wingi kuwa mfano katika utekelezwaji wa hilo. Mwenyekiti wa shirika la vijana la Youth Survival Organization, YSO, linalojihusisha pia na mzingira, Humphrey …
…
continue reading
1
Wadau wa afya wapaza sauti kuhusu ongezeko la magonjwa tengwa wakionya ni tishio katika mifumo ya afya
10:20
10:20
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:20
Wadau katika sekta ya afya wana wasi wasi kuhusu ongezeko la magonjwa yaliyotengwa ambayo mengi yao hayana tiba au matibabu yao hayapatikani kwa urahisi au ni bei juu Wawekezaji katika sekta ya uzalishaji dawa ,chanjo hawavutiwi kuzitengeneza dawa za magonjwa hayo. Magonjwa hayo ni kama vile ugonjwa wa malale,matende ,Chikukungunya na Dengue.…
…
continue reading
1
Matumizi ya Akili mnemba au AI kuboresha huduma za Afya
10:06
10:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:06
Ulimwengu umeanza kukumbatia matumizi ya akili mnemba au AI kuboresha huduma muhimu licha ya kuwa bado kukamilika mchakato wa kudhibiti matumizi ya teknolojia hiyo. Katika sekta ya afya mfumo wa AI umeanza kutumika kwenye ubainishaji wa magonjwa na ufuatiliaji wa matibabu.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Ugonjwa wa Utindio wa Ubongo almaarufu Celebral Palsy
10:14
10:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:14
Ugonjwa unaofahamika kama Utindio wa ubongo au Cerebral Palsy kwa lugha ya kimombo ni ugonjwa unaoathiri ubongo, namara nyingi unatokea kwa watoto na husababishwa wakati damu inapovuja kwenye ubongo au hakuna hewa yakutosha. Unaweza kutokea wakati Mtoto anapoanza kupoteza fahamu punde baada ya kuzaliwa au mwezi wa kwanza wa kuzaliwa.Vilevile Jeraha…
…
continue reading
1
Mbinu za kiasili ili kukabiliana na changamoto za kijamii na hali ya hewa
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Suluhu za kiasili zinashirikisha hatua mbalimbali za kulinda na kurejesha mandhari ya bahari, maeneo ya maji na maeneo ya mijini ili viumbe hai waweze kukabiliana na changamoto kama vile usalama wa chakula na maji, mabadiliko ya hali ya hewa, hatari za maafa na afya ya binadamu. Suluhu hizi zinasaidia urejesho wa misitu, ardhioevu na pia kuabdili m…
…
continue reading
1
Jamii katika Pwani ya Kenya inavyotumia mswaki "Toothbrush" kurejesha mifumoikilojia ya matumbawe
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Mkutano wa mazingira wa kimataifa COP28 unaendelea jijini Dubai, Saudi Arabia, lengo lake likiwa ni kuangazia namna ya dunia kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Katika muktadha huo, mifumoikolojia ya bahari, ni nguzo muhimu katika kuisaidia dunia kuafikia lengo hili, kutokana na sababu kuwa bahari inasaidia kufyonza asilimia 25 ya hewa ya kabon…
…
continue reading
Kongamano la tatu la CPHIA kuhusu huduma za afya barani Afrika.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mikoko: Wanawake Lamu mbioni kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Athari za mabadiliko ya hali ya hewa hazichagui mtoto au mtu mzima, akina mama wamelichukua kuwa jukumu lao kuhakikisha mikakati imefanikishwa katika harakati za kupunguza athari hizi haswa kupitia upanzi na uhifadhi wa mikoko Katika kijiji cha Mtangawanda, jimboni Lamu pwani ya Kenya, tunakutana na kundi la akina mama ambao kupitia mafunzo, sasa n…
…
continue reading
Mataifa mengi yana matamanio ya kuhakikisha raia wake wanapata huduma bora za afya kwa bei nafuu,safari hii ikiwa bado ina panda shuka kwa mataifa mengi. Huduma za afya barani Afrika zina mfungamano na hali ya kisiasa,uchumi na pia utawala bora.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Maendeleo kidogo katika mazungumzo ya mkataba wa kukomesha uchafuzi wa plastiki
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Msikilizaji kwa juma moja, wajumbe kutoka mataifa takriban 175, walikusanyika jijini Nairobi kwa majadiliano ya awamu ya tatu kuelekea kuundwa kwa mkataba wa kisheria wa kimataifa kupambana na uchafuzi utokanao na taka za plasitki ikiwa ni pamoja na mazingira ya baharini. Katika kipindi hiki, wajumbe wa serikali na wadau wengine kutoka mashirika ya…
…
continue reading
1
Faida za mazoezi ya Yoga kwenye mwili wa mwanadamu
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Yoga ni mazoezi ya mwili yanayoongeza nguvu kwa misuli na kunyoosha mifupa lakini pia yoga inalenga kuunganisha mwili, ufahamu, na akili kwa pamoja. Hivyo ni tofauti kabisa na aina nyingine za mazoezi.Sikiliza makala haya kwa ufahamu zaidi.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Namna mabadiliko ya tabianchi inavyozidisha mahitaji ya kibinadamu katika nchi tofauti duniani
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
By RFI Kiswahili
…
continue reading
Watalaam wanahofu kuhusu ongezeko la watoto wanaozaliwa na mdomo sungura au Cleft Clip Licha ya kuwa utafiti haujabainisha moja kwa moja sababu ya mdomo sungura ,lishe,urithi na matumizi ya sigara zimetajwa kuchangia hali hiiBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Hali ya uchimbaji madini nchini DRC yatishia kutoweka kwa mji wa Kolwezi.
9:55
9:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:55
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Hofu kuhusu hatma ya mchakato wa amani DRC unaoratibiwa na AU
10:08
10:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:08
Umoja wa mataifa umeonya uwezekano wa kuibuka vita kati ya DRC na Rwanda Rwanda na DRC zimeendelea kulaumiana kuhusu hali mbaya ya usalama mashariki mwa DRC. Rwanda imeongeza usalama katika mipaka yake na DRC baada ya raia wake kujeruhiwa na risasi iliyotokea upande wa Congo.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirishia mafuta ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania, maarufu EACOP
9:34
9:34
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:34
Makala ya mazingira lezo dunia yako kesho juma hili, yanaangazia mradi huu wa ujenzi wa bomba la kusafirishia mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanzania, maarufu kama EACOP, mradi ambao unatazamiwa kugharimu dola bilioni 5.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mpango wa afya kwa wote nchini Kenya ambapo wafanyikazi watachangia 2.75 ya mishahara
10:18
10:18
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:18
Kenya katika sherehe za hivi karibuni za mashujaa ,imezindua mpango wa afya kwa wote. Mpango huu wa afya unazingatia raia kupata huduma bora kuanzia vituo vya afya vya daraja la kwanza hadi hospitali kubwa bila malipo .By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Ongezeko la akina baba wanaowalea watoto pekee yao
9:04
9:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:04
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Jamii ya Endorois nchini Kenya yaendelea kutaabika kutokana na kupanda kwa kina cha ziwa Bogoria
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Kulingana na ripoti ya wataalam, maziwa yanayopatikana eneo la Afrika mashariki yameendelelea kurekodi ongezeko ya kasi ya viwango vya maji, hali inayotajwa kuchangiwa na mabadiliko ya tabianchi. Nchini Kenya hali hii imeendelea kushuhudiwa kwenye maziwa yanayopatikana katika eneo la bonde la ufa.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Utayari na mikakati ya nchi za Afrika Mashariki kudhibiti majanga katika kipindi cha El Nino
9:30
9:30
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:30
Kulingana na wataalam, hali ya mabadiliko ya tabianchi imechangia pakubwa matukio ya el nino ambayo kwakawaida, athari zake hazitabiriki, lakini huathiri hali ya hewa duniani, kuanzia joto kali, mvua nyingi huku pia ikisababisha hali ya ukame katika baadhiya maeneoBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Athari ya sekta ya nguo kwenye mazingira, inachangia asilimia 8 ya utoaji wa gesi joto duniani
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Kulingna na UNEP, sekta hiyo inachangia asilimia 8 ya utoaji wa gesi joto duniani ambayo inachangia mabadiliko ya tabianchi. Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la mazingira la Greenpeace, vitambaa vinavyotumiwa kutengeneza nguo ni nyuzi za sanisia ambazo zinatengenezwa kutoka kwenye mafuta ya kisukuku ambayo pia ni hatari kwa mazingira…
…
continue reading
1
Matumizi ya magari na pikipiki za umeme nchini Kenya katika kupunguza uchafuzi wa hewa
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Kenya iko mbioni kuimairisha sekta ya usafiri wa uma, na kampuni ya kutengeneza magari ya Roam ni miongoni mwa zinazolenga kutumia fursa hiyo kuchangia katika kupunguza uchafuzi wa hewa unaotokanana sekta ya usafiri.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Azimio la kongamano la Afrika kuhusu tabianchi, ukosoaji kutoka kwa wanaharakati wa mazingira
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Mkutano wa tabianchi jijini Nairobi, ulikusudiwa kuja na azimio la pamoja kuhusu msimamo wa bara hilo kuhusu kukailiana na mabadiliko ya tabianchi. Ahadi ya Dola Bilioni 23 iliahidiwa na wadau kutoka mataifa mbalimbali, kusaidia kupambana na mabadiliko ya tabia nchi, barani Afrika.By RFI Kiswahili
…
continue reading