Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
…
continue reading
Ujumbe wa Kutia Moyo na Mafundisho Mafupi Ya Neno La Mungu Kutoka Kwenye Biblia.
…
continue reading
1
Mwaka mmoja wa mapigano nchini Sudan kati ya jeshi la serikali na RSF
9:34
9:34
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:34
Wiki hii, ilikuwa ni mwaka mmoja wa vita nchini Sudan, kati ya jeshi la taifa chini ya Jenerali Abdel Fattah al-Burhan na wanamgambo wa RSF wanaongozwa na Jenerali Mohammed Hamdan Dagalo. Mwaka mmoja baadaye, vita vimeendelea na kusababisha vifo vya maelfu ya watu, huku wengine Milioni 8.5 wakiyakimbia makaazi yao wakiwemo Milioni 1.8 waliokwenda k…
…
continue reading
1
Uhusiano kati ya Somalia na Ethiopia waendelea kuingia baridi
9:21
9:21
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:21
Wiki iliyopita, Somalia ilimfukuza nchini mwake Balozi wa Ethiopia Mukhtar Mohamed kwa madai kuwa nchi hiyo inaingilia mambo yake ya ndani. Mwezi Januari, mzozo wa kidiplomasia ulianza kushuhudiwa nchini humo baada ya Ethiopia kuingia kwenye makubaliano na jimbo la Somaliland, kutafuta njia ya kufika baharini na kujenga kambi ya jeshi kwenye ukanda…
…
continue reading
1
Maadhimisho ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari nchini Rwanda ,ulimwengu umejifunza nini?
9:48
9:48
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:48
Kumbikizi ya miaka 30 tangu mauaji ya kimbari yaliyosababisha vifo vya watu hadi laki 8 ,kuna wito wa ulimwengu kuhakikisha watuhumiwa zaidi kusakwa na mataifa yaweke mikakati kuzuia mauaji kama haya kutojirudia Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Human Rights Watch, sasa linataka jumuiya ya kimataifa kuongeza kasi ya kuwasaka watuhum…
…
continue reading
1
Raia wa Senegal wamchagua Faye kuwa rais wao mpya
10:15
10:15
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:15
Bassirou Diomaye Faye amechaguliwa kuwa rais mpya wa Senegal. Faye mwenye umri wa miaka 44, mshirika wa karibu wa mwanasiasa mwenye ushawishi Ousamane Sonko, ameahidi kufungua ukura mpya wa uongozi wa nchi hiyo. Kwanini raia wa Senegal wamemchagua Faye ? Tunachambua pamoja na Mali Ali akiwa jijini Paris, na Lutege Musa Lutege akiwa jijini Dar es sa…
…
continue reading
1
Makala haya yanatupia jicho uchaguzi wa urais nchini Urusi, nini maana ya ushindi wa rais Vladimir Putin.
10:04
10:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:04
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Burundi: Mgawanyiko kwenye chama kikuu cha upinzani CNL
10:22
10:22
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:22
Nchini Burundi, chama kikuu cha upinzani cha CNL kinashuhudia mgawanyiko baada ya kiongozi wake Agathon Rwasa kuondolewa kwenye nafasi kiongozi wa chama. Hii ilitokea wakati Rwasa akiwa ziarani nchini Kenya. Nini hatima ya kisiasa ya Rwasa ? Tunazungumza naye lakini pia Mali Ali mchambuzi wa siasa za Burundi akiwa jijini Paris.…
…
continue reading
1
Kenya: Kutuma polisi wake nchini Haiti kuthibiti magenge ya wahalifu
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59
Serikali ya Kenya na Haiti zimetiliana saini ili kufanikisha Kenya kutuma polisi wake nchini Haiti kudhibiti magenge ya wahalifu ambayo yameendelea kutatiza usalama nchini Haiti. Katika makala haya Domic Wabala mchambuzi wa usalama na dkt Braine Wanyama, mchambuzi wa siasa za kimataifa wanatathimini nini maana ya Kenya kutuma polisi kule Haiti.…
…
continue reading
1
Uongozi wa rais wa Sudan Kusini Salva Kiir katika jumuiya ya Afrika Mashariki
10:14
10:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:14
Rais Salva Kiir amekuwa ziarani Rwanda na Burundi kuangazia swala la usalamaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
AU yakosa kupata suluhu kwa mizozo ya Africa
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Viongozi wa Africa wamekutana mwisho wa juma katika mkutano wao wa kila mwaka wa 37, nchini Ethiopia walishindwa kuja na njia ya mapoja kumaliza migogoro barani. Je tatizo la Africa nini? Je Africa inaweza jitegemea? ndio baadhi ya maswali Benson Wakoli, na wachmbuzi mwanadiplomasia Macharia Munene pamoja na mchambuzi wa siasa za kimataifa dkt Brai…
…
continue reading
1
Wabunge nchini Tanzania wapitisha mageuzi ya sheria za uchaguzi
9:40
9:40
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:40
Wiki iliyopita, wabunge nchini Tanzania, walipitisha miswada mitatu ya sheria ya uchaguzi kuelekea uchaguzi mkuu mwaka ujao. Tume ya uchaguzi itabadilishwa jina na sasa itafahamika kama Tume huru ya taifa ya Uchaguzi. Mwenyekiti wa Tume na Makamu wake, watateuliwa na rais baada ya kupokea majina matatu kutoka kwenye Kamati ya usaili.Chama kikuu cha…
…
continue reading
1
Niger, Mali na Burkina Faso kujiondoa ndani ya ECOWAS
9:42
9:42
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:42
Mataifa ya Mali, Niger na Burkina Faso, yametangaza kujiondoa kwenye muungano wa ECOWAS, baada ya vikwazo ambayo muungano huu ulitangaza dhidi ya mataifa hayo, kipindi baada ya mapinduzi ya kijeshi. Benson Wakoli pamoja na wachanganuzi wa siasa za kimataifa, dkt Braine Wanyama na Mali Ali, wanatathimini Athari ya Niger, Mali na Burkina Faso kujiond…
…
continue reading
1
Matarajio ya wakongo baada ya kuapishwa kwa rais Félix Tshisekedi
10:11
10:11
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:11
Wimbi la siasa imeangazia fursa iliyopo kidiplomasia kwa rais wa DRC Felix Thisekedi aliyeapishwa Jumamosi iliyopita, kuongoza nchi hiyo kwa muhula wa pili.DR Congo, imekuwa kwenye mvutano wa kidiplomasia na Rwanda, kwa madai kuwa Kigali inawaunga mkono waasi wa M23 eneo la mashariki. Ruben Lukumbuka amewaalika Francois Alwende, mtaalamu wa siasa z…
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
1
Mvutano kati ya ofisi ya rais nchini Kenya na idara ya mahakama
10:04
10:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:04
Rais wa Kenya William Ruto, ameingia kwenye mvutano na idara ya Mahakama. Ruto anasema Mahakama imejawa na Majaji mafisadi, wanaopindisha haki na kukwamisha miradi za serikali. Jaji Mkuu Martha Koome amekanusha madai hayo. Nini hatima ya mvutano huu ?By RFI Kiswahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
1
Mkataba kati ya Ethiopia na eneo lililojitenga na Somalia la Somaliland, kizungumkuti
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01
Makala hii imejadili hatua ya rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud kusaini sheria ya kufuta makubaliano kati ya Ethiopia na eneo lililojitenga la Somaliland, hii ikiashiria kutoridhishwa na matumizi ya bandari ya Berbera, uamuzi unaoibua hofu ya kutokea mgogoro baina ya pande hizo mbili.Mwandishi wetu Ruben Lukumbuka ameangazia hili pamoja na mch…
…
continue reading
1
Utendakazi wa CENI na mrengo wa upinzani katika uchaguzi wa Disemba 20
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01
Maandamano yaliotishwa na upinzani kupinga utendakazi wa CENI yalizimwa na polisi nchini DRCBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tume ya uchaguzi nchini DRC kumtangaza rais Felix Tshisekedi mshindi uchaguzi wa Disemba 20 2023.
9:54
9:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:54
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Raia wa DRC wapiga kura kumchagua rais na viongozi wengine
8:28
8:28
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:28
Wananchi wa DRC zaidi ya Milioni 40 wanapiga kura kumchagua rais, wabunge na madiwani. Tunachambua kwa kina.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Suala la gharama ya maisha kupunguzwa lilikosa kupewa nafasi kwenye vikao vya jopo la maridhianoBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mjadala mkali Tanzania juu ya katiba mpya kwanza au mageuzi ya uchaguzi
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01
Mwishoni mwa wiki jana mjadala umeibuka kati ya wadau wa kisiasa nchini Tanzania kuhusu nini kingekuwa cha kwanza kuwasilishwa bungeni, muswada wa marekebisho ya katiba au sheria za uchaguzi. Ni mjadala ambao umewagawa hata wapinzani, ambapo chama kikuu cha upinzani Chadema chenyewe kinataka katiba mpya kwanza, huku vyama vingine vyenyewe vikisema …
…
continue reading
1
Mkutano wa SADC watamatika bila kuzaa matunda
9:50
9:50
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:50
Katika makala wimbi la siasa tunaangazia hisia mseto zinazoenea kwenye eneo la ukanda wa nchi za maziwa makuu, baada ya mwishoni mwa juma lililopita, wakuu wa nchi kutoka Jumuiya ya SADC waliokutana mjini Luanda, Angola, kushindwa kutoa terehe kamili ya vikosi vyake kupelekwa mashariki mwa DRC. Aidha, viongozi wa SADC walikubaliana kumpa muda zaidi…
…
continue reading
1
Wanasiasa wa upinzani wa Afrika kuungana hivi karibuni
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
Makala ya Wimbi la siasa wiki hii inampokea kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Burundi, CNL Bwana Agathon Rwassa katika mahojiano maalum na Idhaa hii ya RFI KiswahiliBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Bunge la seneta nchini DRC larefusha muda wa dharura kwa siku 15
8:47
8:47
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:47
Siku chache baada ya rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Félix Tshisekedi kutangaza kulegeza hatua kwa hatua makataa ya hali ya dharura kwenye majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri mashariki mwa nchi hiyo, wiki hii bunge la seneta lilikutana na kuongeza muda wa hali hiyo, Ungana na mwandishi wetu Victor Moturi pamoja na Omari Kavota mtaalamu wa s…
…
continue reading
1
Mataifa mbalimbali dunia, yamelaani hatua Hamas kuivamia Israel
10:10
10:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:10
Mataifa mbalimbali dunia, yamelaani hatua ya kundi la Hamas kutoka Mamlaka ya Palestina kushambulia miji mitatu ya Kusini mwa Israeli na kurusha maelfu ya maroketi kutokea ukanda wa Gaza. Aidha Urusi imesema kuundwa kwa taifa la Palestina, ndilo suluhu kwa mzozo wa Isreali na Palestina, waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov, akisema vita ha…
…
continue reading
1
Baraza la usalama la UN kuidhinisha Kenya kuongoza kikosi cha polisi cha kimataifa nchini Haiti
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03
Kenya ilijitolea kuongoza kikosi hicho ambacho kimepewa mamlaka ya kukabiliana kwa mtutu na makundi yenye silaha nchini humo ambayo kwa muda mrefu yametatiza usalama wa taifa taifa hilo la Karibia.By RFI Kiswahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading
By New Life Africa Satellite Network Swahili
…
continue reading