VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo.
…
continue reading
Tutakuangazia Duniani kote, tukikupa habari, maoni, na mitazamo mbalimbali ju ya maswala ya maisha yetu ya kila siku kama Familia, Mahusiano, Elimu, Teknolojia,Michezo, sanaa, ubunifu, mavazi na mitindo Mafanikio, lengo letu ni kuelimisha, kuburudisha na kufundisha.
…
continue reading
1
Kongamano la kimataifa la kidijitali la Connected Africa Summit lamalizika Nairobi, na kupendekeza mengi yatakayonifaisha vijana. - Aprili 26, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Dunia inaadhimisha siku ya Malaria kwa kauli mbiu "Kuharakisha mapambano dhidi ya Malaria kwa dunia yenye usawa zaidi". - Aprili 25, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
Edwik anaeleza mafunzo aliyopata ya kuwalinda watoto wakati wa majanga katika warsha iliyoandaliwa na Raising Up Friendship ya Tanzania. - Aprili 24, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
Kuongeza miundombinu ya mawasiliano katika maeneo ya vijijini ni moja ya njia ya kumpa fursa mwanamke wa kijijini sawa na wa mjini - Aprili 23, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
By VOA
…
continue reading
1
Je ni njia ipi inayofaa zaidi katika kutoa ushauri nasaha? Ni ya moja kwa moja au ya kimitandao? Mtaalam atoa maoni. - Aprili 22, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Jamii imewaahidi vijana kuwa ni viongozi wa kesho. Je hilo limetimizwa au la? Vijana wanatoa maoni. - Aprili 19, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Nini mtazamo wa wanaharakati wa haki za binadamu hukusu mizozo kati ya wanandoa na wapenzi kutokana na fedha? - Aprili 18, 2024
30:00
30:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
30:00
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Umoja wa Mataifa wasema kuwa mashirika ya kimataifa ya wanawake ulimwenguni yapo kwenye hatari ya kuingiliwa kisiasa. - Aprili 17, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Uraibu wa dawa za kulevya waripotiwa kuongezeka kwa kiasi kikubwa Mombasa. Wataalam wanasemaje? - Aprili 16, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Vijana wa Afrika mashariki wanazungumzia mitandao ya kijamii inavyoficha uhalisia wa maisha ya mtaani. - Aprili 15, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
Mafuriko yamesababisha vifo na uharibifu Tanzania. Wafanyabiashara wamegoma Uganda. - Aprili 12, 2024
30:00
30:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
30:00
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo. VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma k…
…
continue reading
1
Wasikilizaji waeleza namna wanavyoendelea kusherehekea Eid, kutoka sehemu mbali mbali. - Aprili 10, 2024
29:58
29:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:58
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Wasikilizaji wazungmzia namna mwezi mtukufu wa Ramadan ilivyokuwa mwaka huu, na matarajio yao baada ya kufungua. - Aprili 09, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Vijana wanaeleza changamoto zinazowakabili kupata bima ya Afya wakati kauli mbiu ya WHO katika siku ya Afya inasema Afya Yangu, Haki Yangu - Aprili 08, 2024
30:00
30:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
30:00
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
Rwanda yafanya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 30 tangu kuzuka kwa mauaji ya kimbari Aprili 1994. - Aprili 05, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo. VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma k…
…
continue reading
1
Utapiamlo waibuka Zanzibar na serikali inafanya juhudi kusitisha tatizo hili ikishirikiana na taasisi zisizo za kiserikali katika maeneo - Aprili 03, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
Wanawake mashariki mwa DRC wanasema Waziri Mkuu mpya wa kwanza mwanamke nchini humo anatazamiwa kutetea haki za wanawake na kuleta amani. - Aprili 02, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
Afisa wa maandalizi ya mashindano ya magari ya Safari Rally yaliomalizika nchini Kenya azungmzia zoezi hilo. - Aprili 01, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
Kuna muda hata uwe na nguvu au akili au watu utagundua kuna muda mambo huwa hayaendi sawa.... aijarishi upo katika hali gani ila kuna muda mambo huwa hayakai sawa.
…
continue reading
Mafanikio ni nini?
…
continue reading
Inaeleze mahusiano mazuri yanayokwenda kudondokea Pua...
…
continue reading
Afrika ni nini, Afrika ni nani? Kwanini sisi Ni Afrika? Kwanini Afrika inaendelea kwa mwendo mdogo....
…
continue reading
Muendelezo wa Episode iliyopita tukichambua kwanini Vijana wanakufa katika UMRI mdogo ?
…
continue reading
Mtu asi udharau ujana wako....
…
continue reading
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kupoteza maisha katika umri mdogo, leo tutaangalia kwanini vijana wengi wanapoteza maisha katika umri mdogo?
…
continue reading
Familia ni msingi mkuu wa matokeo yote hapa Duniani, kila unapotembea na kila unacho kiona ni msingi wa familia japo kuna matokeo mabaya na mazuri ya familia. Lakini lengo kuu la familia ni chuo maalum kinachoanda wanafamilia kuweza kuishi kwa usalama, upendo, amani ili kufikia mafanikio..
…
continue reading