Welcome to the Prince Vyas podcast, where amazing things happen.
…
continue reading
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
…
continue reading
1
Nyumba ya sanaa na msanii Tourna Boy kuhusu muziki wa kizazi kipya
20:10
20:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:10
Karibu katika makala ya Nyumba ya sanaa nami Steven Mumbi, hii leo Msanii Tourna Boy wa kizazi kipya kutoka mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo akielezea kuhusu juhudi za vijana wasanii kuchangia katika juhudi za kurejesha amani ya mashariki mwa nchi hiyo, katika mazungumzo na mwenzangu Ruben Lukumbuka alipotembelea eneo la Go…
…
continue reading
1
Muziki wa Singeli na Torino Abdul Sykes kutoka Mbagala Tanzania
20:09
20:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:09
Kwenye Makala ya wiki hii Stephen Mumbi anazungumza na msani Abdul Sykes kutoka Mbagala Tanzania.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Wasanii wa mashariki ya DRC wachangia juhudi za upatikanaji wa amani
20:10
20:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:10
Makala ya Nyumba ya sanaa wiki hii inamuangazia msanii wa muziki wa regae Mack El Sambo ambaye kwa zaidi ya miaka ishirini amekuwa akihimiza amani katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, hususan kwenye mji wa Goma katika mkowa wa Kivu Kaskazini. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka ambaye hivi karibuni alitembelea mji wa …
…
continue reading
1
DRC: Ubunifu wa viatu vya ngozi mjini Goma na Christian Bazika
20:04
20:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:04
Katika Nyumba ya sanaa wiki hii Steaven Mumbi akishirikiana na Ruben Lukumbuka ambaye wiki iliyopita alitembelea mji wa Goma ulioko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambako alikutana na mbunifu wa sanaa mbalimbali ikiwemo ubunifu wa kutengeneza viatu bwana Christian Bazika anayetengeneza bidhaa za ngozi mashariki mwa nchi hiyo.…
…
continue reading
1
Muziki wa dansi na prince Muumin mwijuma kutoka nchini Tanzania
20:05
20:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:05
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tanzania: Sanaa ya uigizaji, tunamuangazia Asha Jumbe maarufu White Maria
20:12
20:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:12
Asha Jumbe maarufu White Maria ni Muigizaji aliyejizolea umaarufu akiwa na umri wa Miaka nane tu, sasa ni mtu Mzima aja kivingine kufanya sanaa ya Fimalu za kiswahili,Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumzia safari yake ya Uigizaji.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Wiki hii makala haya yanamuangazia Steven Ibrahim maarufu Eddy Music
20:03
20:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:03
Sanaa ya Muziki imenihitaji kuliko nilivyo ihitaji, ni kauli yake Steven Ibrahim maarufu Eddy Music alipozungumza na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Muziki wa injili na Obby Alpha ambaye ametunga vibao kama bora kushukuru
20:02
20:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:02
Msani huyo amesema kuwa alitunga vibao kama bora kushukuru kutokana na changamoto za kimaisha alizokuwa anakabiliwa nazo kipindi fulani katika maisha yake.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Zanzibar: Fahamu zaidi kuhusu Muziki wa Baibuda katika makala haya
20:09
20:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:09
Mwandishi wetu Steven Mumbi amezungumza na msani wa muziki huu wa BaibudaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
Makala haya hukuletea historia ya sanaa na wasani barani Afrika.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Sanaa ya muziki wa kizazi kipya na Sam Silver
20:03
20:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:03
Sam Silver anazungumza naye Steve Mumbi katika makala ya Nyumba ya Sanaa wiki hii.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Muziki wa Taarab na chid boy mpiga kinanda wa bendi ya nakshi nakshi
20:07
20:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:07
Muziki wa Taarab unashehenezwa na mirindimo ya vyombo kwa kisasa sambamba na Kinanda , Kutana na Chid Boy Mpiga kinanda wa Bendi ya Nakshi Nakshi na Mmiliki wa Bendi hiyo.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Muziki wa kizazi kipya na Kadason kutoka nchini Tanzania
20:10
20:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:10
Sanaa ya muziki wa kizazi kipya.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Huduma kwa watu wenye ulemavu nchini Tanzania
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59
Hospitali ya Inuka iliyo katika Wilaya ya Makambako Mkoani Njombe nchini Tanzania ni moja ya hospital inayotoa huduma ya utengamao kwa walemavu wa viungo na kuibua tabasamu kwa wana wa taifa hili kutoka mikoa mbali mbali nchini humu.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Zanzibar: Wasani waliotumbuiza katika tamasha la sauti za busara
20:05
20:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:05
Wasani mbali kutoka Afrika walihudhuria tamasha hilo wakiwemo wale wa jamii ya wamaasai kutoka Kenya.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Zanzibar: Kuanzishwa kwa sauti za busara festival
20:02
20:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:02
Tamasha la sauti za busaraBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Ubunifu wa mavazi na Doreen Mashika Visiwani Zanzibar
20:05
20:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:05
Doreen Mashika ni mbunifu kutoka visiwani ZanzibarBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Maendeleo ya muziki wa taarab nchini Tanzania
20:07
20:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:07
Steven Mumbi amefanya mahojiano na Rahama Machupa msanii wa nyimbo za taarab nchini Tanzania.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tamasha la sauti za busara kufanyika visiwani Zanzibar
20:10
20:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:10
Tamasha hilo litafanyika mwezi Februari.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Innocent Galinoma anazungumzia maisha ya Kimuziki ya Marekani
20:04
20:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:04
Innocent Galinoma anazungumzia maisha ya Kimuziki ya Marekani katika Makala ya Nyumba ya SanaaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
Muziki wa Reggae ni miongoni mwa Miziki iliyopata mashiko mapema zaidi ukilinganisha na aina nyingine ya Muziki nchini Tanzania, Innocent Galinoma akiishi nchini Marekani ni miongoni mwa wasanii wa Mwanzo wa Muziki huo nchini Tanzania, Steven Mumbi amezungumza naye katika Makala haya.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Ambwene Mwasongwe Muimbaji wa Nyimbo za Injili kutoka nchini Tanzania
20:04
20:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:04
Ambwene Mwasongwe ni Muimbaji wa Nyimbo za Injili kutoka nchini Tanzania, aliyejizolea umaarufu kutokana na nyimbo zilizojaa simulizi za Maisha na kubadili mitizamo kuhusu Maisha, Ungana na Steven Mumbi anazungumza na Muimbaji huyo.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Fresh Jumbe mwanamuziki wa dansi nchini Tanzania
20:19
20:19
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:19
Miongoni ma wanamuziki wa muziki wa dansi waliofanikiwa kwenda barani Ulaya ni pamoja na Fresh Jumbe, baada ya kufanya sanaa hiyo kwa miaka mingi nchini Japan sasa amerejea Tanzania, Ungana na Steven Mumbi katika makala ya nyumba ya sanaa akizungumza na msanii huyo.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Amina Ahmed Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania
20:04
20:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:04
Amina Ahmed Mzee Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania anasema Rushwa ya Ngono imewaathiri wasichana kushindwa kufanya kazi zao kwa ufasaha.By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading