Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.
…
continue reading
Kujitofautisha Cover art photo provided by Andrew Ridley on Unsplash: https://unsplash.com/@aridley88
…
continue reading
Hiki ni kipindi cha kila Mkristo anaye tarajia kwenda mbinguni, kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Fuata Bibblia Ikuongoze, Ina usika na MAULIZO, MAONYO na MAFUNDISHO ya Neno La Mungu. Soma: 2 Timotheo 3:16-17. Soma tena: Yohane 8:32 Lengo la Kipindi hiki ni, kuwaelimisha watu wa Mungu, katika Neno la Mungu. Kwakuwa Biblia ina sema katika: Methali 12:1. Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama. Kwahio kila Mkristo ana karibishwa katika kipindi hiki, cha ...
…
continue reading
Ni muda wa kuchukua nafasi yako katika meza ya H.W nasi tutawasilisha kwako mawazo ya thamani kwa maneno ya dhahabu. Mahali pa kwanza na pekee unapohitaji kuwa kwa ajili ya ustawi wako. Karibu tujifunze vingi. Pata nafasi ya kusikiliza mambo ya msingi sana yatakayonoa stadi zako, kukuongezea maarifa na kuchochea maendeleo yako ya kiutu. #Karibu_nyumbani.
…
continue reading
Wanawake wengi wanajikuta wana uzito fulani kuhusu mambo ya ndani(intimacy)Afya ya akili(Mental health ) ni muhimu na ni mazungumzo ambao yanabidi yazungumzwe kwa uwazi ili wanawake wasijisikie wako peke yao kwenye mambo mengi kwa hofu ya kudhalilishwa au kitiwa /kujihisi aibu kuwa wanapitia mengi yalokuwa yanawabomowa kisaikolojia.Jumuika nami tukuwa na wazungumzaji tofauti kila wiki tujijenge kiafya.
…
continue reading
Daily Swahili radio programs from Adventist World Radio - Karibu katika matangazo ya kiswahili ya Redio ya Waadventista Ulimwenguni
…
continue reading
Karibu tujifunze Biblia pamoja Barikiwa!
…
continue reading
We are ./Frag, a group of friends bringing laughter and entertainment to the world through video games, movies and all around nerd culture. Come stay awhile.
…
continue reading
1
Rais wa Tanzania Samia Suluhu na wanadiplomasia, msamaha kwa mkuu wa polisi Kenya
20:15
20:15
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:15
Makala hii imeangazia kauli ya rais wa Tanzania kwa mabalozi wanaowakilisha nchi zao ilivyozua gumzo katika uga wa kimataifa, msamaha wa mahakama kwa afisa mkuu wa polisi Kenya, ziara ya mjumbe wake katibu mkuu wa umoja wa mataifa anayehusika na masuala ya kibinadamu ulinzi wa amani Jean Pierre Lacroix huko DRC, UN kughadhabishwa na kuahirishwa uch…
…
continue reading
Usugu wa madawa, UshuhudaBy Adventist World Radio
…
continue reading
Ndoa na maisha 5By Adventist World Radio
…
continue reading
Vijana na mahusianoBy Adventist World Radio
…
continue reading
Visa mbali mbali kwa ajili ya WatotoBy Adventist World Radio
…
continue reading
Kumtukuza Mungu kwa njia ya nyimbo , MaombiBy Adventist World Radio
…
continue reading
Utakatifu wa SabatoBy Adventist World Radio
…
continue reading
Maswali ya BibliaBy Adventist World Radio
…
continue reading
1
Uchunguzi wa miili ya wanafunzi waliokufa Kenya, hali ngumu ya wakimbizi DRC na mengineyo
20:14
20:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:14
Ni wiki iliyoshuhudia matukio mengi miongoni ni pamoja na serikali ya Kenya kuendelea na uchunguzi wa mkasa wa moto uliowauwa wanafunzi, maandamano ya maelfu ya wakimbizi kwenye mji wa Goma mashariki mwa DRC wakiomba serikali iwarejeshe makwao na kumaliza vita, kule Senegal rais Bassirou alilivunja Bunge la taifa, na mdahalo wa kwanza wa televishen…
…
continue reading
Kumtukuza Mungu kupitia nyimbo za Kristo za vitabuni, MaombiBy Adventist World Radio
…
continue reading
Uzoefu wa WokovuBy Adventist World Radio
…
continue reading
Visa mbali mbali kwa ajili ya mafundisho ya watotoBy Adventist World Radio
…
continue reading
1
Mkutano wa 9 China na Afrika, miili200 yazikwa DRC, wanafunzi 17 wateketea Kenya.
20:12
20:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:12
Makala hii imeangazia mkutano wa tisa kati ya China na Afrika huko Beijing, wafungwa zaidi ya 100 waliuawa katika gereza la makala nchini DRC, Kenya na mkasa wa moto ulivyowaua wanafunzi Kaunti ya Nyeri, uchaguzi kufanyika nchini Tunisia, na nchini Ufaransa Michel Barnier aliteuliwa kuwa waziri Mkuu, miezi miwili baada ya mvutano wa kisiasa nchini …
…
continue reading
Msifu Bwana kwa njia ya nyimbo, Silaha ya damu ya YesuBy Adventist World Radio
…
continue reading
1
Kampeni ya Odinga kuwania uenyekiti tume ya AU, DRC yafungua kesi dhidi ya Rwanda
20:03
20:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:03
Uzinduzi wa kampeni ya aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga, anayegombea unyekiti wa tume ya Umoja wa Afrika, kongamano la 74 la WHO mjini Brazzaville, nchini Congo, DRC na Kampeni inayoitwa ICC Haki kwa DRC, hali ya usalama kuendelea kuzorota nchini Sudan, shambulio la kigaidi Burkina Faso laua zaidi ya watu 300, hali nchini Israeli, na mch…
…
continue reading
Kumsifu Bwana kwa njia ya nyimbo, Silaha ya Roho mtakatifuBy Adventist World Radio
…
continue reading
Maisha mauti na ufufuoBy Adventist World Radio
…
continue reading
1
DRC yaathirika na M-Pox, Raila asema siasa za Kenya, basi! na mengineyo
20:12
20:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:12
Tumeangazia katika makala ya wiki hii ni pamoja na ugonjwa wa Mpox ulitangazwa kuwa dharura ya kimataifa, DRC ikiathirika zaidi, nchini Kenya Raila Odinga kutojihusisha tena na siasa, jeshi la Uganda lilivamia na kuharibu kambi ya kundi la waasi la LRA huko Sudan pande hasimu zasusia mkutano wa Geneva, nchini Marekani, makamu wa rais Kamala Harris …
…
continue reading
Kumsifu Mungu kwa njia ya nyimbo, Maombi ni silahaBy Adventist World Radio
…
continue reading
1
Mpox yatangazwa janga la kimataifa la kiafya, mwanahabari wa Burundi Irangabiye aachiwa na mengineyo
20:00
20:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:00
Matukio ya dunia yaliyokithiri vichwa vya habari ni pamoja na virusi vya Mpox kutangazwa kuwa janga la dharura la kiafya huku bara la Afrika likiathiriwa zaidi, Burundi yamwachia mwanahabari aliyehukumiwa kifungo cha miaka 10, tutaangazia siasa za Tanzania baada ya wanasiasa wa upinzani kukamatwa baadaye wakaachiwa, lakini pia hatua za mazungumzo k…
…
continue reading
Lengo la ndoaBy Adventist World Radio
…
continue reading
Muungano wa FamiliaBy Adventist World Radio
…
continue reading
Kijana na MaendeleoBy Adventist World Radio
…
continue reading