Bado public
[search 0]
More
Download the App!
show episodes
 
Artwork
 
Unbiased political analysis the way you wish still existed. Justin Robert Young isn't here to tell you what to think, he's here to tell you who is going to win and why. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
  continue reading
 
Artwork
 
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
  continue reading
 
Born in 1900, Nina Sorochenko lived through the Bolshevik Revolution, three famines, labor camps, DP camps and two world wars. She fled Ukraine during World War II with her young daughter. Her life under Soviet rule in Ukraine is almost identical to what's happening now. We said, "Never Again!" These are her memoirs. I am looking to add more memoirs from the past and present and will be posting them all in multiple languages. If you have any to share please contact me. 4loveukraine@gmail.com
  continue reading
 
Loading …
show series
 
Makala hii imeangazia hali ya kibinadamu inavyoendelea kuwa mbaya ndhini Sudan licha ya juhudi za kimataifa zinzoendelea.Nini kifanyike ili kufikia amani ya kudumu ya Sudan? kwa nini serikali imekataa kukaa meza moja na wapiganaji wa RSF? kuangazia hili, Ruben Lukumbuka anazungumza na Lugete Musa Lugete ni mchambuzi wa siasa za Kimataifa akiwa Tanz…
  continue reading
 
Makala hii imeangazia kauli ya rais wa Tanzania kwa mabalozi wanaowakilisha nchi zao ilivyozua gumzo katika uga wa kimataifa, msamaha wa mahakama kwa afisa mkuu wa polisi Kenya, ziara ya mjumbe wake katibu mkuu wa umoja wa mataifa anayehusika na masuala ya kibinadamu ulinzi wa amani Jean Pierre Lacroix huko DRC, UN kughadhabishwa na kuahirishwa uch…
  continue reading
 
Justin Robert Young and former Congressman Scott Klug delve into the intricacies of political campaigns, focusing on funding dynamics, the impact of controversial figures, and the role of polling in elections. They discuss the challenges candidates face in securing financial support, the importance of local relationships, and the influence of natio…
  continue reading
 
Evan Scrimshaw and Justin Young discuss the current political landscape in the United States, focusing on key states like Florida, North Carolina, and Michigan, as well as the implications of recent Canadian elections. They analyze the strategies Democrats should adopt to secure victories in critical House districts, the impact of abortion rights o…
  continue reading
 
Justin Robert Young discusses the recent assassination attempt on former President Donald Trump, exploring the details surrounding the incident, the background of the assailant Ryan Routh, and the implications for political security in the current climate. Chapters 00:00 Assassination Attempt on Trump 02:37 Political Rhetoric and Historical Context…
  continue reading
 
Ni wiki iliyoshuhudia matukio mengi miongoni ni pamoja na serikali ya Kenya kuendelea na uchunguzi wa mkasa wa moto uliowauwa wanafunzi, maandamano ya maelfu ya wakimbizi kwenye mji wa Goma mashariki mwa DRC wakiomba serikali iwarejeshe makwao na kumaliza vita, kule Senegal rais Bassirou alilivunja Bunge la taifa, na mdahalo wa kwanza wa televishen…
  continue reading
 
In this episode, Justin Robert Young discusses the recent debate between Kamala Harris and Donald Trump with experts Tom LoBianco and Michael Cohen. They analyze the performances of both candidates, focusing on Harris's strategic approach and Trump's chaotic style. The conversation also delves into post-debate polling and predictions for the upcomi…
  continue reading
 
Makala ya Wimbi la siasa inaangazia tukio la kutekwa na kuuawa, kwa wanasiasa wa upinzani kwenye nchi za Afrika mashariki,tukio la hivi punde likiwa ni kutekwa kwa mwanasiasa mwandamizi wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema Ali Kibao, na baadaye alikutwa ameuawa, na matukio haya yanaripotiwa pia nchini Uganda na DRC. Ungana na Ruben Luk…
  continue reading
 
Makala hii imeangazia mkutano wa tisa kati ya China na Afrika huko Beijing, wafungwa zaidi ya 100 waliuawa katika gereza la makala nchini DRC, Kenya na mkasa wa moto ulivyowaua wanafunzi Kaunti ya Nyeri, uchaguzi kufanyika nchini Tunisia, na nchini Ufaransa Michel Barnier aliteuliwa kuwa waziri Mkuu, miezi miwili baada ya mvutano wa kisiasa nchini …
  continue reading
 
Justin Robert Young deep dives into Kamala Harris's debate performances from 2016 to 2020. He analyzes her strengths and weaknesses, including her preparedness and prosecutorial style. Kamala Harris is effective when delivering practiced moments and looking directly into the camera. However, her instincts on when to do so may not be particularly go…
  continue reading
 
In this episode, Justin Robert Young and Jennifer Briney discuss their experiences at the Republican and Democratic conventions. Justin also cover topics such as the money spent on political ads, the importance of swing states like Pennsylvania and Georgia, and the Kamala Harris campaign's efforts to redefine her image. Chapters 00:00 Introduction …
  continue reading
 
Uzinduzi wa kampeni ya aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga, anayegombea unyekiti wa tume ya Umoja wa Afrika, kongamano la 74 la WHO mjini Brazzaville, nchini Congo, DRC na Kampeni inayoitwa ICC Haki kwa DRC, hali ya usalama kuendelea kuzorota nchini Sudan, shambulio la kigaidi Burkina Faso laua zaidi ya watu 300, hali nchini Israeli, na mch…
  continue reading
 
Justin Robert Young discusses the Kamala Harris-Tim Walz CNN interview and the return of Musa Al-Gharbi to the show. https://musaalgharbi.substack.com/p/we-have-never-been-woke-is-now-officially Chapters 00:00 Introduction and Overview 03:47 Harris Walz CNN Interview Thoughts 14:21 Trump WILL NOT Vote for FL Abortion Amendment 19:15 Altercation at …
  continue reading
 
Tumeangazia katika makala ya wiki hii ni pamoja na ugonjwa wa Mpox ulitangazwa kuwa dharura ya kimataifa, DRC ikiathirika zaidi, nchini Kenya Raila Odinga kutojihusisha tena na siasa, jeshi la Uganda lilivamia na kuharibu kambi ya kundi la waasi la LRA huko Sudan pande hasimu zasusia mkutano wa Geneva, nchini Marekani, makamu wa rais Kamala Harris …
  continue reading
 
In this episode, Justin Robert Young recaps Kamala Harris's speech at the DNC and discusses RFK Jr. dropping out of the race with Evan Scrimshaw. Chapters 00:18 Kamala Speech Review 09:43 Update on the Next Few Weeks of Shows 11:44 Evan Scrimshaw Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.…
  continue reading
 
Karibu katika Makala Wimbi la siasa ambapo tunazungumzia Mkutano wa 44 wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika uliofanyika Harare, Zimbabwe ambapo viongozi walijadili changamoto zinazolikabili kanda hilo hususan usalama mashariki mwa DRC. Wachangiaji mada ni Alhaj Mali Ali akiwa Paris Ufaransa na Andulkarim Atiki akiwa Dar es salaam Ta…
  continue reading
 
Matukio ya dunia yaliyokithiri vichwa vya habari ni pamoja na virusi vya Mpox kutangazwa kuwa janga la dharura la kiafya huku bara la Afrika likiathiriwa zaidi, Burundi yamwachia mwanahabari aliyehukumiwa kifungo cha miaka 10, tutaangazia siasa za Tanzania baada ya wanasiasa wa upinzani kukamatwa baadaye wakaachiwa, lakini pia hatua za mazungumzo k…
  continue reading
 
Justin Robert Young and Ryan McBeth discuss the ongoing conflicts in Ukraine and Israel. They explore the Ukrainian offensive against Russia and the potential strategic objectives behind it. They also speculate on the possibility of Russian soldiers defecting to the Ukrainian side. All that and so much more. Get more Ryan on his YouTube: https://ww…
  continue reading
 
Donald Trump's Twitter Spaces interview with Elon Musk gave us a lot of talking. But one bizarre quote does explain the difference Donald would like to draw between he and Kamala on foreign policy. Bill Scher (Washington Monthly) joins the show to discuss the rollout and rapid rise of Kalama Harris. Chapters 00:00 Analyzing the Trump-Musk Twitter S…
  continue reading
 
Makala ya Juma hili imeangazia hukumu iliyotolewa dhidi ya kiongozi wa chama cha waasi wa M23/AFC mashariki mwa DRC Corneille Nangaa, Rais wa Kenya aapisha baraza jipya la mawaziri miongoni mwao wanasiasa wa upinzani, mapigano ya nchini Sudan, maandamano nchini Nigeria na uongozi mpya wa mpito nchini Bangladesh baada ya kutoroka kwa waziri mkuu pia…
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide