Collins bado
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii
DW.COM | Deutsche Welle
Vipindi vyetu vinajaribu kuwahamasisha wasikilizaji wetu vinazungumzia masuala ya afya katika jamii
Welcome to the youth talk podcast which is based on youth life including talents,callings, dreams,challenges,love and other stories other are good but other are sad and mad but entertaining......... "Youth represent the inspiration generation" In this podcast you will be able to hear some interviews from different people.
W
Wimbi la Siasa


1
M23 bado inashikilia baadhi ya maeneo mashiriki mwa DRC
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Licha ya tetesi za kundi la M23 kudai kuchilia baadhi ya maeneo mashariki mwa DRC, taarifa sinasema waasi hao bado wanashikilia maeneo mengi mashariki mwa DRC.Skiza makala haya ufahamu mengi.By RFI Kiswahili
W
Wimbi la Siasa


1
Joto la kisiasa limeanza kupanda nchini Kenya
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Nchini Kenya siasa zimeanza tena miezi tano tu baada ya uchuguzi mkuu, siasa hizo zikichochewa na kiongozi wa upinzani Raila Odinga kukataa kutambua serikali ya rais William Ruto.Je hili lina maana gani ?Benson Wakoli, amezungumza na mchambuzi wa siasa za Kenya Brain Mutie katika makala haya ya wimbi la siasa.…
W
Wimbi la Siasa


1
UHUSIANO WA UFARANSA NA NCHI ZA BURKINA FASO NA MALI
9:51
9:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:51
Msikilizaji katika miaka ya hivi karibuni, nchi ya Ufaransa, imeendelea kujikuta matatani na mataifa ambayo wakati mmoja iliwahi kuyatawala wakati wa ukoloni. Hata hivyo hivi karibuni uhusiano kati ya baadhi ya nchi hizo na utawala wa Paris, umekuwa ukizorota kuanzia Mali na sasa Burkina Faso. Makala ya wimbi la siasa juma hili, inaangazia hatua hi…
W
Wimbi la Siasa


1
Tanzania: Tundu Lissu atangaza kurejea nyumbani
10:04
10:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:04
Mwanasiasa wa Tanzania, Tundu Lissu, baada ya kuishi uhamishoni kwa karibu miaka saba, ametangaza kuwa anarejea nyumbani Januari 25 2023, kuendeleza harakati za kisiasa, baada ya rais Samia Suluhu Hassan, kutangaza kuondoa marufuku ya vyama vya siasa, kufanya mikutano ya kisiasa.By RFI Kiswahili
W
Wimbi la Siasa


1
Kufutwa kwa kesi zinazowahusu wandani wa rais William Ruto
10:05
10:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:05
Tangu mwaka jana ,idara ya mahakama nchini Kenya imefuta baadhi ya kesi dhidi ya watu walio karibu na rais William Ruto Mahakama nchini Kenya imefuta kesi nyingi zinazowahusu wandani wake rais William Ruto ,kwa msingi wa kukosa ushahidi.Baadhi ya waliofutiwa mashtaka ni naibu rais Rigathi Gachagua,waziri Aisha Jumwa na Minthika Linturi.Katika makal…
W
Wimbi la Siasa


1
Siku mia moja za rais wa Kenya William Ruto ofisini na ahadi alizoahidi kutimiza ndani ya siku hizo
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Disemba 22, rais wa Kenya William Ruto alitamatisha siku 100 ofisini, huku baadhi ya watu wakihoji kuhusu ahadi alizotoa kwa wakenya wakati wa kipindi cha kampeni na hata siku ya kuapishwa kwake.Moja ya aahdi alizotoa inayomgusa mwananchi wa kawaida moja kwa moja, ni kupunguza gharama ya maisha kutokana na kupanda kwa bei ya vyakula.…
W
Wimbi la Siasa


1
Matukio ya kisiasa tuliyoyapa uzito mwaka 2022
10:14
10:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:14
Nchi mbalimbali, zikiongozwa na Ufaransa pamoja na Kenya, ziliandaa uchaguzi wake mwaka huu. Tulijadili matukio hayo kwa kina, na leo tunakukumbusha baadhi ya matukio hayo, japo kwa kifupi.By RFI Kiswahili
W
Wimbi la Siasa


1
Mazungumzo ya amani kuhusu Mashariki mwa DRC yanafanyika jijini Nairobi
9:47
9:47
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:47
Makundi ya waasi, serikali ya DRC, mashirika ya kiraia na wadau wengine, wapo jijini Nairobi kwa ajili ya mazungumzo ya tatu ya amani, ili kuleta amani Mashariki mwa nchi hiyo. Je, suluhu itapatikana ?By RFI Kiswahili
W
Wimbi la Siasa


1
Mkataba wa kuanzishwa mfuko wa fedha kushughulikia athari za mabadiliko ya tabianchi COP27
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01
Katika mkutano wa kimataifa wa mazingira COP27, nchini Misri, mataifa karibu mia mbili yaliafikia makubaliano ya kuanzishwa kwa mfuko wa fedha wa kushughulikia hasara na uharibifu, fedha hizi zikitarajiwa kuzisaidia nchi masikini na zilizo katika hatari ya kuathirika zaidi na athari za mabadiliko ya tabianchi.…
W
Wimbi la Siasa


1
Juhudi za kidiplomasia kusaka amani Mashariki mwa DRC
9:07
9:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:07
Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta, anaongoza jitihada za kidiplomasia kusaidia kuleta amani Mashariki mwa DRC, kuelekea awamu nyingine ya mazungumzo ya amani jijini Nairobi. Juhudi hizi zinaendelea wakati huu waasi wa M 23 yakiendelea kati ya jeshi la serikali, FARDC. Je, suluhu itapatikana ?By RFI Kiswahili
Makala hii imeangazia hali ya usalama inayojiri huko mashariki ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, ambako Kundi la waasi wa M23 likiungwa mkono na Rwanda lilifanikiwa kuyateka miji miwili muhimu ya Rutshuru na Kiwanja mashariki ya DRC na kuendelea na mapigano kwenye viunga vya mliji hiyo, huku serikali ya Kinshasa ikichukua uamuzi wa kumfurusha Ba…
W
Wimbi la Siasa


1
Ongezeko la mapinduzi ya kijeshi Barani Afrika
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01
Msikilizaji utaskia mengi kuhusu chanzo cha ongezeko la mapinduzi ya kijeshi barani Afrika.Mapinduzi kama haya yameshafanyika kwenye nchi za Guinea na Mali, huku majaribio mengine kadhaa yakishindikana kwenye ukanda huo.Mwaka 2021 ulishuhudia idadi kubwa ya mapinduzu barani Afrika ukilinganisha na miaka iliyopita.Leo tunaangazia kwa kina yanayotoke…
W
Wimbi la Siasa


1
Mjadala kuhusu utovu wa usalama Mashariki mwa DRC
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Mapigano yaendelea kushuhudiwa nchini DRC, kati ya jeshi la serikali FARDC na waasi wa M23, serikali ya Kinshasa ikiendelea kushtumu nchi jirani ya Rwanda kuwaunga mkono waasi. Juhudi za mazungumzo hadi sasa hazijafua dafu.By RFI Kiswahili
W
Wimbi la Siasa


1
Mjadala kuhusu mchango wa vyama vya upinzani barani Afrika katika kukuza demokrasia
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Demokrasia ya kweli, wataalamu wanasema inajengwa na kuwa na mifumo mizuri ya kiutawala na kuruhusu uwepo wa vyama vingi, ambavyo hutumika kujenga utawala bora, na uwepo wa vyama vingi ni pamoja na kuwa na vyama vya upinzani vyenye ushawishi, vyenye uwezo wa kukosoa na kuishauri serikali pale ambapo inaonekana kwenda kinyume na matakwa ya demokrasi…
W
Wimbi la Siasa


1
Mjadala kuhusu kuondolewa kwa mipaka ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki
9:56
9:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:56
Karibu katika Makala yetu leo wimbi la siasa, kwenye usukani uko nami Ali Bilali ambapo tunajadili kuhusu maendeleo ya jumuiya ya Afrika Mashariki hususan kuhusu kauli ya hivi karibuni ya rais mpya wa Kenya William Ruto, ambae amemuomba Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akiwa kama mkongwe miongoni mwa Viongozi wa Afrika Mashariki kupambana ili kuhaki…
W
Wimbi la Siasa


1
Rais Macron anaweza kuwapatanisha, Kagame na Tshisekedi
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
Pembezoni mwa mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa jijini New York, rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alikutana na wenzake wa Rwanda, Paul Kagame na Felix Tshisekedi, kuona uwezekano wa wawili hao kufikia mkataba wa amani kuhusu utovu wa usalama, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.By RFI Kiswahili
W
Wimbi la Siasa


1
Antonio Guterres : M23 ni tishio kwa MONUSCO
9:49
9:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:49
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amedai kwamba waasi wa M23 wana silaha nzito kushinda wanajeshi wa Umoja wa mataifa wanaohudumu nchini DRC, MONUSCO, akisema sharti mbinu tofauti itumike kuwashinda waasi hao .Katika makala haya tunathimini kauli hii ya Guterres.By RFI Kiswahili
W
Wimbi la Siasa


1
Nini maana ya maamuzi ya mahakama ya juu nchini Kenya na vipi wakenya wataendelea mbele.
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Makala haya yanaangazia maana ya uamuzi wa mahakama ya upeo nchini Kenya ulioidhinisha ushindi wa William Ruto na nini kinastahili kutokea baada ya tukio hilo ili nchi kusonga mbele.By RFI Kiswahili
W
Wimbi la Siasa


1
Uwakilishi wa wanawake katika Bunge la 13 nchini Kenya
10:38
10:38
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:38
Makala haya tunajadili safari ya kupigia upato uwakilishi wa wanawake katika mabunge ya nchi za Jumuiya ya Afrika ,tukiangazia Bunge la 13 nchini Kenya.By RFI Kiswahili
Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi Mkuu nchini Kenya, tunaendelea kukuarifu kinachoendelea kipindi hiki joto la kisiasa linapoendelea kupanda.Wageni wetu ni Ababu Namwamba kutoka muungano wa Kenya Kwanza, unaomuunga mkono mgombea urais William Ruto na Beatrice Elachi kutoka muungano wa mgombea mwingine Raila Odinga, kutoka muungano wa A…
W
Wimbi la Siasa


1
Sudan: Jeshi latangaza kujiondoa kwenye mazungumzo ya kisiasa
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03
Uongozi wa kijeshi nchini Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan ametangaza kuwa, jeshi linajiondoa kwenye mazungumzo ya kisiasa ili kutoa nafasi kwa viongozi wa kiraia kuunda serikali kufuatia mwendelezo wa maandamano. Je, jeshi linamaanisha katika uamuzi wake ? Tunachambua.By RFI Kiswahili
Y
Youth talk podcast


1
SENSA YA MWAKA 2022 UNAELEWA NINI KUHUSIANA NA SENSA YA WATU NA MAKAZI NA INA UMUHIMU GANI KWAKO.
30:06
30:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
30:06
Sensa inaumuhimu gani kwako Kama kijana na umejipanga kushiriki vipi katika sensa ya 2022.--- Send in a voice message: https://anchor.fm/yeon-salta-1204/message
W
Wimbi la Siasa


1
Waasi wa M 23 wauteka mji wa Bunagana baada ya makabiliano na jeshi la DRC.
9:55
9:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:55
Siku ya Jumatatu, Juni 13, waasi wa M 23 waliokuwa wanapambana na wanajeshi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wameuteka mji wa Bunagana, ulio kwenye mpaka na Uganda. DRC inaishtumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi hao, madai ambayo Kigali inakanusha. Tunajadili.By RFI Kiswahili
Y
Youth talk podcast


1
JE WANACHUO KUCHUMBIANA WAKATI BADO WAPO CHUONI NI SAHIHI AU SI SAWA.....?
1:00:28
1:00:28
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:00:28
WANACHUO ni watu ambao wanaishi maranyingi wakiwa free na inaaminika wanaweza kujisimamia sasa je......wanachuo KUCHUMBIANA wakiwa Chuo ni sawa au sio sawa 😂😂😂 skia mtazamo wa wadau juu ya hili swala --- Send in a voice message: https://anchor.fm/yeon-salta-1204/message
Nchini Kenya, joto la kisiasa linapoendelea kupanda kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti, tunaangazia nafasi na mchango wa vijana kisiasa lakini pia katika kuendeleza miji.By RFI Kiswahili
W
Wimbi la Siasa


1
Mtoto wa rais Museveni aonesha nia ya kugombea uongozi wa Uganda
9:58
9:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:58
Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mtoto wa rais Yoweri Museveni, ameonesha nia ya kuwania uongozi wa nchi hiyo. Hii inakuja, kufuatia kauli zake anazozichapisha kwenye mtandao wake wake wa Twitter.By RFI Kiswahili
The episode is all about bad habits that youth have other are just due to influence from their friends but some are happening due to stresses 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥--- Send in a voice message: https://anchor.fm/yeon-salta-1204/message
All about youth and teenagers--- Send in a voice message: https://anchor.fm/yeon-salta-1204/message
The segment shows what we mainly gonna be based especially on issues concerning youth 💥💥💥--- Send in a voice message: https://anchor.fm/yeon-salta-1204/message
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
WHO yatangaza Ebola kuwa dharura ya kimataifa
2:25
2:25
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:25
Shirika la afya duniani WHO, limetangaza homa ya Ebola kuwa dharura ya kimataifa ya afya ya umma. Tangazo hilo limetolewa baada ya taarifa ya kisa cha mgonjwa wa Ebola mjini Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya CongoBy DW.COM | Deutsche Welle
Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa, Unicef limesema ndoa za utotoni zimepungua kwa kiwango kikubwa duniani, hususan katika nchi za Asia Kusini. Hata hivyo bado tatizo hilo ni kubwa Afrika ya Kusini mwa Sahara.By DW.COM | Deutsche Welle
Wanawake barani Afrika wamekuwa na nguvu nyingi katika miaka iliyopita na hata kushika nafasi za uongozi. Licha ya hilo, wasichana wengi bado wanapambana na ubaguzi. Safari ya kufikia usawa wa kijinsia bado ni ndefu.By DW.COM | Deutsche Welle
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
Mimi Bado ni Binadamu - Hadithi ya Wagonjwa wa Akili Barani Afrika
11:59
11:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
11:59
Ulemavu ni mwiko na laana miongoni mwa watu wengi barani Afrika. Hadithi hii inaelezea jinsi familia na marafiki wa watu wenye ulemavu wanavyojaribu kuelewa na kukabiliana na hali zao. Kwani ni binadamu tu kama wengine.By DW.COM | Deutsche Welle
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
Mwana Mpotevu - Hadithi ya akinamama wanaolea watoto peke yao Barani Afrika
12:00
12:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
12:00
Mara nyingi malezi ya mtoto huwa kazi ngumu, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha afya nzuri na elimu bora ya mtoto. Hali hii huwa ngumu zaidi hasa kwa mzazi mmoja wa kike ambaye mzigo wa kifedha na malezi umo mikononi mwake.By DW.COM | Deutsche Welle