Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.
…
continue reading
Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.
…
continue reading
Ni Makala yanayoangazia kwa jicho la tatu mazingira halisi ya dunia yalivyo bila kusahau kile ambacho kinachangia kuyaharibu. Utapata kufahamu namna ambavyo mazingira na rasilimali zinavyoharibiwa huku pia teknolojia ikijumuishwa. Hakika mazingira mazuri ya leo ni dunia yako kesho.
…
continue reading
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
…
continue reading
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
…
continue reading
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
…
continue reading
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
…
continue reading
Makala ambayo inakupa nafasi ya kujua masuala mbalimbali ya Muziki na Burudani. Ndani ya makala haya utapata taarifa za wanamuziki, historia zao na bila kusahau mahojiano na wanamuziki mbalimbali. Hii ni fursa ya pekee kwa wasikilizaji kujiliwaza baada ya kazi za juma zima kupitia burudani ya muziki. Makala ya muziki ijumaa pia itakuwezesha kufahamu wasanii kutoka sehemu mbalimbali duniani na kujua wanafanya nini.
…
continue reading
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
…
continue reading
Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.
…
continue reading
Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.
…
continue reading
Talisman Brisé ni tamthilia ya redio inayosimulia hadithi ya mtunza bustani Kwame ambaye bosi wake Profesa Omar anatekwa nyara na watu wasiojulikana. Kwa nini Profesa Omar anatekwa nyara na watu hao? Mfanyakazi wake Kwame atafanikiwa kumuokoa Bosi wake? Fuatilia haya kwenye tamthilia ya Talisman Brise hapa rfi kila siku ya jumapili ndani ya Makala ya Changu Chako Chako Changu.
…
continue reading
1
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya duniaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
10:13
10:13
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:13
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Hali ya mafuriko katika nchi za Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03
Kulingana na jumuiya ya IGAD, zaidi ya vifo 190 vimeriotiwa katika eneo la pembe ya Afrika, huku watu wengine laki 7 wakiyahama makazi yao.By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
Katika kipindi hiki mtangazaji wa zamu anakuchezea kibao unachokipenda kwenye redio kila siku ya Ijumaa.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Muziki wa injili na Obby Alpha ambaye ametunga vibao kama bora kushukuru
20:02
20:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:02
Msani huyo amesema kuwa alitunga vibao kama bora kushukuru kutokana na changamoto za kimaisha alizokuwa anakabiliwa nazo kipindi fulani katika maisha yake.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tanzania yaadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika ,mafuriko yaripotiwa Kenya
19:51
19:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:51
Makala haya yanaangazia yaliyojiri nchini Kenya na Tanzania kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha vifo vya watu zaidi ya 70 ,mgomo wa madaktari nchini Kenya, Tanzania kuadhimisha miaka 60 tangu kuundwa kwa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, safari za wahamiaji walioko nchini Uingereza kuelekea nchini Rwanda Tutaangazia pia uchaguzi wa wabunge nch…
…
continue reading
1
Sikiliza maoni yako kwenye makala Habari Rafiki Mada huru
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofu
9:51
9:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:51
Umoja wa Afrika, unasema ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali inatia hofu na hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa ili kukabiliana na hali hii.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Kenya : Serikali yaanza kutoa miili ya waumini waliofariki baada ya kususia chakula ili wamuone Yesu
9:51
9:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:51
Unamkumbuka kiongozi wa wa dini Paul Mackenzi anayetuhumiwa kwa kushiwishi waumini wake kususia chakula hadi kufa, ili kukutana na yesu nchini Kenya. Baada ya takriban mwaka moja na mwezi mmoja wa serikali ya Kenya kufukua miili ya waumini waliofariki na kuzikwa katika msiku wa Shakahola na kuzifanyia uchuguzi wa vina saba yaani DNA, serikali sasa …
…
continue reading
1
Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikali
9:53
9:53
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:53
Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki kama vile Kenya, Uganda na Tanzania zikipendekeza mabadiliko ya sheria ili kuongeza kodi, kwa lengo la serikali kuongeza mapatoBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Marekani kupendekeza suluhu kuhusu mzozo wa mashariki mwa DRC kwa njia ya mazungumzo
9:52
9:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:52
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC
9:52
9:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:52
Umoja wa Mataifa unaomba msaada wa haraka wa kibinadamu kuwasaidia raia wa DRC zaidi ya milioni nane walioathiriwa na utovu wa usalama mashariki mwa nchi yao.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Ajali za barabara Afrika huchangiwa na utepetevu, kasi na msongo wa mawazo
10:25
10:25
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:25
Ajali za barabara huchangia vifo vingi vya watu walio katika umri kati ya miaka mitano hadi 29 kwa mujibu wa WHO Uchunguzi unaofanywa baada ya ajali huonesha madereva wengi hulaumi kufeli kwa breki ilhali wengi wana msongo wa mawazo ,imesema mamlaka ya usalama barabarani nchini Kenya ,National Transport and Safety Authority. Ongezeko la magari,mchi…
…
continue reading
1
Maoni ya washiriki katika kongamano la idhaa za kiswahili duniani sehemu ya mwisho
20:02
20:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:02
Ni jumapili nyingine tunakutana tena katika Makala haya Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni, le parler francophone na Muziki, na leo tunahitimisha mlolongo wa Makala kuhusu kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika huko Mbeya, na kwenye le parler francophone nakuletea ratiba ya shug…
…
continue reading
1
KipKeino Classic: Mmarekani Kenneth Bednarek ashinda mbio za mita 100
23:51
23:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:51
Tuliyokuandalia hii leo ni pamoja na matokeo ya riadha za KipKeino Classic, uchambuzi wa debi la Tanzania na Mashemeji nchini Kenya, mabondia 11 wa DRC wafuzu nusu fainali ya michuano ya African Boxing Cup, matokeo ya ligi ya basketboli Afrika mkondo wa Nile na Ligi ya Mabingwa barani UlayaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mkuu wa majeshi ya Kenya Francis Ogolla aaga dunia, ziara ya wajumbe wa EU DRC
20:07
20:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:07
Makala hii inaangazia yaliyojiri nchini Kenya na kifo cha mkuu wa majeshi ya nchi hiyo KDF aliyepoteza maisha na maafdisa wengine tisa wa jeshi katika ajali ya helikopta Alhamisi Aprili 18, rais William Ruto alitangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa, mgomo wa wafanyabiashara huko Kampala Uganda, ziara ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa na EU huko Go…
…
continue reading
1
Kwenye Makala ya Muziki hapa RFI tunakuchezea kibao unachokipenda
10:40
10:40
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:40
Florence Kiwuwa amekuchezea ombi lako kwenye makala ya wiki hii ya muziki Ijumaa.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tanzania:Juhudi za wabunifu katika kupunguza hewa ya ukaa kutunza mazingira
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Masuala na Utalii, katika taarifa ya misitu na ufugaji nyuki inabainisha kuwa mkaa ni chanzo kikubwa cha nishati ya kaya katika maeneo ya mijini kwa kupikia na kupasha joto, kwa kuwa inachukuliwa kuwa ya bei nafuu na inapatikanakwaurahisi. Inakadiriwa kuwa asilimia 85 ya watu wote wa Tan…
…
continue reading
1
Watu wengi wanajikuta na magonjwa ya figo na ini,watoto wengi Sudan wakiaga
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
Kuna ongezeko la magonjwa ya figo na ini kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO inabashiri kuwa ongezeko hilo litakuwa juu zaidi kufikia mwaka 2030 ,hali hii ikichangiwa na hali ya maisha haswa ya raia katika nchi zinazoendelea Ugonjwa wa ini maarufu Hepatitis pia ni tishio kubwa haswa kwa raia wa Afrika ambayo inachangia asilimia 63 ya visa vya…
…
continue reading
1
Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua
9:09
9:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:09
Shirika lisilo la kiserikali la kutetea haki za binadamu la African Futures Lab, lenye makao yake jijini Brussels nchini Ubelgiji, lilizindua ripoti kushinikiza watoto chotara na mama zao kutoka nchini DRC, Rwanda na Burundi, kulipwa fidia, kutambuliwa kuwa raia wa Ubelgiji na kupata haki nyingine za msingi. Wakati wa ukoloni wa nchi ya Ubelgiji kw…
…
continue reading
1
Mwaka mmoja wa mapigano nchini Sudan kati ya jeshi la serikali na RSF
9:34
9:34
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:34
Wiki hii, ilikuwa ni mwaka mmoja wa vita nchini Sudan, kati ya jeshi la taifa chini ya Jenerali Abdel Fattah al-Burhan na wanamgambo wa RSF wanaongozwa na Jenerali Mohammed Hamdan Dagalo. Mwaka mmoja baadaye, vita vimeendelea na kusababisha vifo vya maelfu ya watu, huku wengine Milioni 8.5 wakiyakimbia makaazi yao wakiwemo Milioni 1.8 waliokwenda k…
…
continue reading
1
Ukulima wa minyoo wa ardhini(Earthworm) katika utengenezaji wa mbolea asili
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Madaktari nchini Kenya wagoma kuishinikiza serikali kuzingatia haki zao
9:29
9:29
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:29
Muungano wa madaktari, wauza dawa na madakrati wa meno, KMPDU, ambao unawakilisha zaidi ya wanachama 7,000 uliitisha mgomo Machi 15, ili kudai mishahara iliyocheleweshwa, pamoja na kupewa ajira mara moja kwa madaktari wanafunzi.Mgomo ambao umesababisha hali ya sintofahamu kwa wagonjwa kwa takribani wiki tatu sasa.…
…
continue reading
1
Kenya: Upanzi wa mimea yenye uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
9:46
9:46
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:46
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Sehemu ya tatu ya Makala kuhusu kongamano la nne la idhaa za Kiswahili duniani
20:00
20:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:00
Ni Jumapili nyingine tunakutana katika Makala Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, Utamaduni, le parler francophone na Muziki, leo ninakuletea mazungumzo kuhusu ubidhaishaji wa lugha ya kiswahili, ikiwa ni kauli mbiu ya kongamano la nne za idhaa za Kiswahili Duniani lililofanyika mkoani Mbeya Mwezi Machi.…
…
continue reading