Un Global Communications Digital Solutions Unit public
[search 0]
More
Download the App!
show episodes
 
Artwork

1
UN Interviews

United Nations

Unsubscribe
Unsubscribe
Weekly+
 
UN News interviews a wide range of people from senior news-making officials at Headquarters in New York, to advocates and beneficiaries from across the world who have a stake in helping the UN go about its often life-saving work in the field.
  continue reading
 
Artwork

1
The Lid is On

United Nations

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly+
 
This flagship podcast series from UN News takes its name from the words that correspondents at UN Headquarters in New York hear each night, at the end of the working day. We highlight the in-depth human stories behind the UN’s work and the way that it touches and impacts ordinary lives around the world.
  continue reading
 
Artwork
 
There’s no denying it - we have to tackle the climate emergency. Burning fossil fuels to get energy has to end. It's doable but it's going to take solutions in every industry, at every scale, in every nation in the world. No Denying It, the UN climate action podcast, brings you the voices of young climate changemakers from across our warming planet. These activists, engineers, and entrepreneurs show us how we can make big changes - in our homes, our jobs, where we vote and where we pray, and ...
  continue reading
 
Loading …
show series
 
This is Daniel Johnson for UN News. Superbugs – or bacteria that are resistant to antibiotics – continue to be a major worry for the medical community and health authorities, because if they emerge and spread globally, life-saving drugs will no longer work. As part of the global effort to prevent such antimicrobial resistance, the UN World Health O…
  continue reading
 
The fighting hasn’t stopped in Gaza but that hasn’t prevented tens of thousands of parents from making sure that their children are given the first of two polio vaccines. The UN-led initiative inoculated 15,000 youngsters in one school-turned-shelter in central Deir Al-Balah on Monday, according to Louise Wateridge, a spokesperson for the UN agency…
  continue reading
 
Sudan, kila uchao ripoti za majanga, mapigano na ukosefu wa huduma za msingi vinaripotiwa wakati huu ambapo mzozo ulioanza mwezi Aprili mwaka jana hadi leo hii, umezidi kutia moto kwenye mafuta na kuyoyomesha matumaini ya kufikia sitisho la mapigano kati ya jeshi la serikali na lile la usaidizi wa haraka, RSF.Umoja wa Mataifa ukaamua kufika mji wa …
  continue reading
 
Mradi wa Vijana Kilimo Biashara (VKB) unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani (WFP) nchini Tanzania unawapatia vijana wakulima wadogo ujuzi na rasilimali zinazohitajika ili kuboresha uzalishaji wa chakula na kujenga uchumi endelevu wakati huu ambao madhara ya El niño [EL NINYO] yanayosabisha ukame na mafuriko yamek…
  continue reading
 
Afya ya mlinda amani wa Umoja wa Mataifa aliyejeruhiwa katika shambulizi lilitekelezwa na kundi la waasi, CODECO juzi Agosti 28 huko Bali, kaskazini mashariki mwa Djugu jimboni Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inaendelea vizuri. Anold Kayanda na maelezo zaidi. Stéphane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,…
  continue reading
 
Hii leo jaridani mwenyeji wako ni Cecily Kariuki akikupatia yaliyojiri kutoka huko Paris, Ufaransa. Anamulika usalama wa walinda amani wa Umoja wa Mataifa huko DRC; Mradi wa WFP Tanzania kwa vijana wakulima; makala ni ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa UN Sudan na mashinani ni afya Tanzania.Afya ya mlinda amani wa Umoja wa Mataifa aliyejeruhiwa katika s…
  continue reading
 
Yaliyomo kwenye Jarida la Habari za UN hii leo ni pamoja na ziara ya Katibu Mkuu wa UN huko Timor-Leste; maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kupinga majaribio ya nyuklia na kauli ya Mkurugenzi Mteule wa WHO kanda ya Afrika, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuteuliwa. Mada kwa kina ni Morogoro Tanzania. Na pia kuna kujifunza lugha ya kiswahili. Kari…
  continue reading
 
The UN human rights office, OHCHR, on Wednesday condemned Israel’s military escalation in the occupied West Bank, calling for attacks by the Israeli Defense Forces (IDF) to stop, along with settler violence and the forcible transfer of Palestinians. Ajith Sunghay, Head of OHCHR in the Occupied Palestinian Territory, told UN News that as the situati…
  continue reading
 
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO, umeboresha huduma za afya kwenye Gereza Kuu la Beni, jimboni Kivu Kaskazini mashariki mwa taifa hilo la Maziwa Makuu barani Afrika kwa kujenga zahanati iliyoboresha sit u mazingira ya kazi kwa wahudumu wa afya bali pia huduma za matibabu kwa wafungwa.…
  continue reading
 
Kila mmoja achukue hatua kuondokana na vikwazo vya ujumuishaji watu wenye ulemavu - GuterresUmoja wa Mataifa uko tayari kufanya kazi na Kamati ya Kimataifa ya Michezo ya Olimpiki ya Watu wenye Ulemavu (Paralympic) ili kufikia maono ya jamii shirikishi, jumuishi na endelevu, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito michuano ya Pa…
  continue reading
 
Karibu kusikiliza jarida linaloletwa kwako hii leo na Leah Mushi ambapo miongoni mwa utakayo yasikia ni wito uliotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu michuano ya watu wenye ulemavu. Kutoka barani Afrika hii leo utasikia MONUSCO na msaada wao kwa jamii huko Mashariki ya Kati nchini DRC. Makala yetu hii leo inatoka Gaza, utamsikia mzazi w…
  continue reading
 
Mgonjwa wa kwanza wa polio kubainika Gaza huko Mashariki ya Kati baada ya miaka 25 ni mtoto wa kiume mwenye umri wa miezi 10. Mtoto huyo na mama yake pamoja na familia nzima wamekuwa wakihamahama na hivyo akakosa chanjo dhidi ya polio. Amri za Israeli za kutaka wapalestina wahame mara kwa mara sasa zinaleta madhara kwa asilimia 90 ya wakazi wa Gaza…
  continue reading
 
Kati Jarida la Habari za UN hii leo: Juhudi za WHO kudhibiti Mpox kwa wakimbizi wa ndani mshariki mwa DRC. WHO inasema kugundulika kwa maambukizi ya mpox katika kambi ya wakimbizi wa ndani karibu na Goma kunatia wasiwasi kwani msongamano mkubwa wa watu unaweza kusababisha kuenea zaidi kwa ugonjwa, na mienendo ya watu inaweza kutatiza juhudi za kuka…
  continue reading
 
Limiya Daud mwenye umri wa miaka 30 ni mmoja wa wakimbizi wa Sudan aliyekimbilia nchini Sudan Kusini kusaka hifadhi baada ya machafuko kuibuka nchini mwake. Kutokana na wingi wa wakimbizi wanaoingia katika nchi zilizo jirani na Sudan baadhi yao wamekuwa wakihamishwa na kupelekwa katika kambi za wakimbizi ambazo zilishaanzishwa hapo awali ili waweze…
  continue reading
 
Kwa wakimbizi, kurudi nyumbani ni jambo moja na kuanza upya ni jambo lingine. Wengi wao hawana chaguo lingine isipokuwa kuanza maisha yao upya. Mkoani Makamba, nchini Burundi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Korea (KOICA) wanawawezesha wakimbizi kujenga upya na ku…
  continue reading
 
Hatimaye shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF linapeleka Gaza huko Mashairki ya Kati dozi milioni 1.2 za chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio aina ya 2, wakati huu ambapo ugonjwa huo hatari umethibitishwa kuweko eneo hilo. Anold Kayanda na maelezo zaidi.Kupitia ukurasa wake wa X zamani Twitter, UNICEF inasema dozi hizo milioni 1.2 za…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunamulika kupelekwa kwa chanjo dhidi ya polio huko Gaza; mkimbizi wa Burundi aliyerejea nyumbani kutoka Tanzania ainuliwa kiuchumi; makala ni mkimbizi wa Sudan aliyeko ugenini naye awezeshwa kijasiriamali na mashinani tunabisha hodi nchini Rwanda kumulika usawa wa kijinsia kwenye michezo.Hatimaye shirika la Umoja wa Mataifa la kuh…
  continue reading
 
Ikiwa leo ni siku ya mwisho ya maonesho ya picha yaliyoandaliwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani, Anold Kayanda anatupitisha katika picha hizo zinazoonesha athari mbalimbali kwa wanadamu kutokana na uhalifu unaotekelezwa katika maeneo mbalimbali duniani.Maonyesho haya yanachun…
  continue reading
 
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi, amezindua mpango wa kitaifa wa kuhakikisha kila mtu anapata Maonyo ya Mapema kuhusu hali ya hewa, EW4All ifikapo mwishoni mwa mwaka 2027 huku akitangaza uwekezaji mpya muhimu ili kuboresha uchunguzi wa kimsingi wa hali ya hewa, uzinduzi uliofanyika katika mji mkuu wa Msumbiji, Maputo.Mpango huo unajumuisha mnyororo mz…
  continue reading
 
Vuta nikuvute ikiendelea Gaza kuhusu ufikishaji, usambazaji na utoaji wa chanjo dhidi ya polio wakati huu ambapo makombora yanaendelea kurindima kutoka jeshi la Israeli, hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO, limethibitisha kubainika kwa mgonjwa mmoja wa polio, ikiwa ni miaka 25 tangu ugonjwa huo utokomezwe eneo hilo. Assumpta…
  continue reading
 
Civilians in Lebanon - particularly in the volatile south - are grappling with constant threats of violence, high levels of displacement and economic deprivation, as the standoff between Israel and Hezbollah militants continues in the shadow of the Gaza war. Fadel Saleh, from the UN aid coordination office (OCHA) in Lebanon, told UN News that tens …
  continue reading
 
Hii leo jaridani mwenyeji wako ni Leah Mushi akimulika ripoti ya kuthibitishwa kwa mgonjwa wa polio huko Gaza; Tukio la uzinduzi wa mpango wa utoaji taarifa mapema kuhusu majanga; Makala ikimulika kazi za Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC na mashinani ikienda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kwa mhudumu wa afya anayefanikisha kazi za uteguaji …
  continue reading
 
Karibu kusikiliza jarida ambapo hii leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kuwakumbuka waathiriwa wa vitendo vya ghasia kwa misingi ya dini na imani, msomaji wako wa jarida ni ANOLD KAYANDA na jaridani anakuletea mada kwa kina ambayo inamulika wanawake wa kimasai na biashara ya bidhaa zitokanazo na shubiri nchini Kenya. Pia utapata fursa ya kusikiliza m…
  continue reading
 
Tarehe 21 ya mwezi Agosti kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Kuwakumbuka na Kuwaenzi Wathirika wa Ugaidi, Anold Kayanda anatupitisha katika moja ya shoroba za ndani ya makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani ambako zimewekwa picha za baadhi ya manusura na waathirika wa ugaidi zikiwa na maelezo ya kile kinachowafanya kusonga mbele.…
  continue reading
 
Idadi ya watoto wanaoshindwa kupata huduma za msingi ikiwemo maeneo rafiki ya kucheza ikizidi kuongeza nchini Haiti kutokana na magenge ya uhalifu kuendesha ghasia, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linaendelea kufungua vituo rafiki kwa watoto ili waweze kujifunza na kucheza badala ya kukumbwa na msongo kama anavyosimulia Bosco…
  continue reading
 
Wakati dunia hii leo inawakumbuka na kutoa heshima kwa waathirika na manusura wote wa ugaidi duniani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema huu ni wakati muhimu wa kuwasilikiza waathirika hao na kujifunza kutoka kwao.Katika ujumbe wake wa siku hii alioutoa kwa njia ya video Guterres amesema vitendo vya ugaidi vinaleta huzuni isiy…
  continue reading
 
Hii leo ikiwa ni siku ya Kimataifa ya Kuwakumbuka na Kuwaenzi Wathirika wa Ugaidi msomaji wako Leah Mushi anakuletea ujumbe uliotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kuhusu haja ya kuwasikiliza na kujifunza kutoka kwa waaathirika wa ugaidi, pia utapata simulizi ya maonesho ya picha za wahanga wa ugaidi zilizowekwa katika makao …
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide