Artwork

Content provided by Carlton. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by Carlton or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

The Story time: What to Expect while in Uni

37:12
 
Share
 

Manage episode 352233147 series 3405885
Content provided by Carlton. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by Carlton or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.

Send us a Text Message.

Ukiongea na mtoto mdogo atakuambia anatamani kuwa mkubwa na kuanza kujitegemea, sawa sawa na mtu alie Advance anavyotamani kwenda chuo bila kuwaza ya kwamba tunavyokuwa majukumu nayo yanaongezeka. Ila ndo ‘nature’ yetu wanadamu, kuwa na expectations ya mazuri tu bila kuziwazia changamoto tunazotakiwa kuzipitia ili kufikia hizo expectation zetu

2013 ndio mwaka nilikutana na Salim ila sio kwa ukaribu kwani ndio mwaka tulianza kusoma shule mmoja. Tulipokaribia kuhitimu kidato cha nne ndipo ukaribu wangu na salim ulijengeka na ilitokana na kuwa tulijikuta wote tunataka kubadilisha ‘curriculum’ na ndipo tukawa tunakaa Pamoja na kuapply shule Pamoja. Na hio safari ya urafiki ndipo ilianzia hapo na nikabahatika kumaliza nae mpaka chuo kimmoja tukiwa tunafanya course mmoja. Ingawa ndio mtu ambaye nabisha nae sana, Salim ni kati ya watu ninao wajua ambao ni humble sana na mshauri mzurii sana.

Kwenye episode hii Salim amejaribu kutupa experience yake ya kielimu alioipata sehem tofauti. Kajaribu pia kutoa maoni yake juu ya education system iliopo Tanzania kulingana na exposure yake alioipata kwa kupata nafasi yakusoma UK pia. Humu ndani pia tumeongelea vitu vya ku concider kabla ya kuchagua chuo na mafunzo machache aliyoyapata salim, kutokana na chuo.

Funzo kubwa nilioipata kupitia epidode hii ni kuwa tuwe tunafikiria jambo kwa ukubwa sana kabla ya kufanya na tukiwa tunafikiria tuwe tunaziangalia pande zote mbili za shilingi na tusiangalie upande mmoja tu.

  continue reading

31 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 352233147 series 3405885
Content provided by Carlton. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by Carlton or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.

Send us a Text Message.

Ukiongea na mtoto mdogo atakuambia anatamani kuwa mkubwa na kuanza kujitegemea, sawa sawa na mtu alie Advance anavyotamani kwenda chuo bila kuwaza ya kwamba tunavyokuwa majukumu nayo yanaongezeka. Ila ndo ‘nature’ yetu wanadamu, kuwa na expectations ya mazuri tu bila kuziwazia changamoto tunazotakiwa kuzipitia ili kufikia hizo expectation zetu

2013 ndio mwaka nilikutana na Salim ila sio kwa ukaribu kwani ndio mwaka tulianza kusoma shule mmoja. Tulipokaribia kuhitimu kidato cha nne ndipo ukaribu wangu na salim ulijengeka na ilitokana na kuwa tulijikuta wote tunataka kubadilisha ‘curriculum’ na ndipo tukawa tunakaa Pamoja na kuapply shule Pamoja. Na hio safari ya urafiki ndipo ilianzia hapo na nikabahatika kumaliza nae mpaka chuo kimmoja tukiwa tunafanya course mmoja. Ingawa ndio mtu ambaye nabisha nae sana, Salim ni kati ya watu ninao wajua ambao ni humble sana na mshauri mzurii sana.

Kwenye episode hii Salim amejaribu kutupa experience yake ya kielimu alioipata sehem tofauti. Kajaribu pia kutoa maoni yake juu ya education system iliopo Tanzania kulingana na exposure yake alioipata kwa kupata nafasi yakusoma UK pia. Humu ndani pia tumeongelea vitu vya ku concider kabla ya kuchagua chuo na mafunzo machache aliyoyapata salim, kutokana na chuo.

Funzo kubwa nilioipata kupitia epidode hii ni kuwa tuwe tunafikiria jambo kwa ukubwa sana kabla ya kufanya na tukiwa tunafikiria tuwe tunaziangalia pande zote mbili za shilingi na tusiangalie upande mmoja tu.

  continue reading

31 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide