Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
…
continue reading
Maelezo - Neno ni sehemu ya huduma ya kimataifa ya mafundisho ya biblia nzima ya Thru The Bible. Mfululizo wa mafundisho haya kwanza yaliandaliwa na Dkt. J. Vernon McGee na kutafsiriwa kwa lugha zaidi ya mia moja na kabila. mafundisho hayo yakusudiwa kuwa ya dakika 30 kwenye radio ambayo kwa mpangilio maalum humwezesha msikilizaji kujifunza Biblia nzima. Sasa ujumbe ndizo twakusilishia kwenye mtandao. Twashukuru kwamba umeanza kujifunza mengi zaidi katika Neno la Mungu kwa njia ya ujumbe hiz ...
…
continue reading
Familia moja
…
continue reading
Andreas ana shughuli nyingi za kufanya. Inambidi kushughulikia wageni hotelini, kuwatafutia wazazi wake chumba na pia kumhoji Charlemagne. Ziada ya hayo, wazazi wake wanamchunguza ex ni nani na wapi alikutana na binti yao. Mambo muhimu ya sarufi: Vitenzi vya utaratibu, wakati timilifu, uhusika usioungwa moja kwa moja.
…
continue reading
Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.
…
continue reading
Redio podcast hii inalengo la kuhabarisha,burudisha na kuelimisha kwa kukuletea habari moto moto sanjari na matukio ya kijamii yasio chacha yanayo jiri kutoka kila sehemu Duniani kote. B-Voice Radio Dunia moja habari pamoja!
…
continue reading
Wybieram Biznes pokazuje krok po kroku moją drogę w rozwijaniu swojej firmy.
…
continue reading
Nikiwa Kama mwanahabari chipukizi naamini kuwa siku moja nitatimiza ndoto zangu lakini marafiki ndugu na jamaa wote na Kila mtu ndio nguzo yangu katika hii fani . Mimi sio mkamilifu endapo Kuna mahali nimekosea kwa kile ambacho nafanya Basi nitashukuru nikipata mtu na kuniongoza . Katika podcast hii hutuma habri na maelezo mbali mbali ya kijamii .
…
continue reading
Podcast jest nagrywany w języku angielskim. Spędź kilka chwil ze mną a ja postaram się przekazać Ci mnóstwo energii i zarazić moją pasją do tego języka. Każdy podcast będzie miał swój transkrypt, który pomoże wytropić dowolne słówko i zwrot. Transkrypt znajdziecie na naszej stronie My podcast is recorded in English. Spend some time with me and I will try and share with you loads of energy and passion for this language. Each podcast will have its transcript which will help you trace any word ...
…
continue reading
Ujumbe Muhimu Sana Kwa Wagonjwa Wa GOITA Kama wewe ni mgonjwa wa GOITA ambaye umekuwa unahangaika kwa muda mrefu na tatizo hilo bila ya kupata utatuzi wa uhakika basi naomba unisikilize kwa makini kabisa kwani huenda taarifa ifuatayo ikawa taarifa muhimu kuliko taarifa yoyote katika maisha yako. Baada ya kuwasaidia zaidia ya wagonjwa 200 wa GOITA nimekuja kugundua kuwa tiba ya ugojwa huo sio upasuaji tu kama madaktari wengi wanavyodai bali ni jambo ambalo ukilifahamu utaweza kuondokana na ta ...
…
continue reading
Amelcio Radio Krypto Show - czyli Radio ARKshow!
…
continue reading
#Talks4Change is a podcast series created, hosted and narrated by Curtin young alumni. This podcast series celebrates and shares the journey of young Curtin graduates who are inspiring social change within the community. Follow us on LinkedIn: @CurtinYoungAlumni Email us: youngalumni@curtin.edu.au Visit our website: curtin.edu/youngalumni 2021 host: Sam Panickar – Bachelor of Commerce (Tourism, Hospitality and Event Management and Marketing), 2014 2021 editor: Apurva Gupta Backing Music: Iks ...
…
continue reading
Learn Polish by listening to easy to follow and interesting short stories. This free course contains 12 stories for Polish language beginners. Check our website for transcripts, vocabulary lists, and exercises: Polish short stories for beginners A2
…
continue reading
The Dominic, Andrew, and Matthew podcast was started by 3 college students with a love for everything that involves the Culture and wanted an outlet to speak their minds freely and give all generations a channel to relate to. We dedicate ourselves to discovering and meeting individuals from all walks of life that can share their experiences and passions to the world through our Platform. Experiences vary from trending Politics, News, Pop Culture, Urban Culture, Sports, Music, Entertainment, ...
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Kauli ya rais Kagame kuhusu haja ya kuimarishwa kwa usalama wa kikanda
10:15
10:15
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:15
Wakati wa kuapishwa kwake, Rais wa Rwanda Paul Kagame alikiri kuwepo kwa haja ya kuimarishwa zaidi kwa usalama katika nchi za Ukanda haswa katika eneo la mashariki ya DRC. Ruben Lukumbuka amezungumza na wachambuzi wa masuala ya kisiasa kuhusu kauli hii.By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Waasi wa M23 wauteka mji wa Ishasha licha ya sitisho la mapigano
10:10
10:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:10
Wiki hii askari wanaofikia 100 wa DRC, walikimbilia Uganda baada ya waasi wa M23 kuuteka mji wa Ishasha ulioko mpakani na Uganda hali ambayo ilijiri wakati sitisho la mapigano lilikubaliwa kati ya DRC na Rwanda mjini Luanda Angola chini ya Upatanisho wa rais wa Angola Joao Laurenco. Kwa nini mapigano yanaendelea licha ya juhudi za kikanda na za kim…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
DRC : Yatangaza mpango wake wa kupunguza idadi ya wafungwa magerezani
9:42
9:42
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:42
Serikali ya DRC imetangaza mpango wa kuwapunguza wafungwa katika magareza yake, ili kuondoa mrudiko katika taifa hilo. Katika makala haya wanaharakati wanajadili haki za wafungwa kutoka nchini DRC na Uganda.By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Ufaransa : Macron afanikiwa kufungia mrengo wa kulia nje ya siasa za Ufaransa
9:55
9:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:55
Nchini Ufaransa licha ya mrengo wa kushoto kuibuka na ushindi kwenye awamu ya kwanza ya uchaguzi wa wabunge, duru ya pili ilikuwa kitendawili kwao baada ya vyama vya mrengo wa ksuhoto kushirikiana na kuzuia vyama vya mrengo wa kulia kupata ushindi. Benson Wakoli anaangazia mbinu alaizotumia rais Emmanuel Macron kuvizuia vyama vya mrengo wa kulia ku…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Kenya: Vijana watoa chanzo na suluhu ya ufisadi nchini mwao.
10:31
10:31
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:31
Serikali ya rais William Ruto ipo kwenye shinikizo kubwa kutoka kwa vijana nchini humo, wanaomtaka kuchukua hatua kali, kupambana na ufisadi. Tunaugana na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Multi Media nchini Kenya, wanaozungumzia mtazamo wao kuhusu vita dhidi ya ufisadi katika nchi yao.By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Uchaguzi wa wabunge nchini Ufaransa na mustakabali wa ulaya
10:07
10:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:07
Makala ya wimbi la siasa imeangazia uchaguzi wa wabunge nchini Ufaransa baada ya kufanyika kwa duru ya kwanza ya uchaguzi huo jumapili iliyopita na sasa duru ya pili imepangwa kufanyika julai 07.Uchaguzi huu unaweka wapi siasa za ufaransa, nini mustakabali wa kisiasa kwenye nchi hii, iwapo chama cha mrengo wa kulia cha National Rally kitaibuka mshi…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Nini hatima ya maandamano yanayoendelea nchini Kenya ?
11:00
11:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
11:00
Siku ya Jumanne, Kenya ilishuhudia maandamano makubwa kupinga mswada tata wa sheria uliopitishwa na wabunge, kuongzeza kodi. Waandamanaji wenye hasira, walivamia majengo ya Bunge jijini Nairobi na kusababisha uharibifu, huku polisi wakiwapiga risasi na kuwauwa waandamanaji. Nini itakuwa suluhu ya mzozo huu ? Tunachambua suala hili na Majeed Ali, mm…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Kuapishwa kwa Cyril Ramaphona na mstakabali wa serikali mpya ya Afrika kusini
10:10
10:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:10
Makala hii inaangazia mchakato wa kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa huko Afrika kusini, baada ya kuapishwa kwa rais Ramaphosa huku chama tawala ANC kikitangaza kufikia makubaliano na vyama vingine, kama DA. Kudadavua hili mwandishi wetu Ruben Lukumbuka anazungumza na Lugete Musa Lugete ni mchambuzi wa siasa za kimataifa akiwa Jijini Daresala…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading