Vatican News vipaumbele vyake: Habari za Baba Mtakatifu; Vatican, Kanisa la Kiulimwengu na Kanisa Barani Afrika. Tunazo habari za kisiasa na kijamii kutoka Barani Afrika na Dunia katika ujumla wake. Tovuti hii inapambwa na Tafakari ya Neno la Mungu pamoja na Makala mbali mbali. - Podcast - Radio Vaticana - Vatican News
…
continue reading
The How to Write The Future Podcast offers fiction writing tips for science fiction and fantasy authors who want to create optimistic stories because when we vision what is possible, we help make it so. By science fiction and fantasy author and fiction writing coach, Beth Barany.
…
continue reading
A swimming podcast featuring natural conversations about the sport. Chris DeSantis brings the poolside conversation to the podcast form.
…
continue reading
Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.
…
continue reading
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
…
continue reading
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
…
continue reading
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
…
continue reading
https://www.yeshivabneitorah.org/
…
continue reading
Makala ambayo inakupa nafasi ya kujua masuala mbalimbali ya Muziki na Burudani. Ndani ya makala haya utapata taarifa za wanamuziki, historia zao na bila kusahau mahojiano na wanamuziki mbalimbali. Hii ni fursa ya pekee kwa wasikilizaji kujiliwaza baada ya kazi za juma zima kupitia burudani ya muziki. Makala ya muziki ijumaa pia itakuwezesha kufahamu wasanii kutoka sehemu mbalimbali duniani na kujua wanafanya nini.
…
continue reading
JM Studio is the official Myanmar Artist Podcast with a large variety of songs from Myanmar artists available with new content being added regularly.
…
continue reading
Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.
…
continue reading
davidhochbaum.com davidstoupakisl.com Gimmie Babel is a podcast started in 2018 by visual artists and long time friends David Stoupakis and David Hochbaum featuring occasional guests to discuss process, inspiration and how they navigate the waters of living and working as a contemporary artist in the USA. Occasionally the artists would create videos to accompany the the episode. The agenda is open but usually revolves around art and food.
…
continue reading

1
Hali halisi ya Malaria barani Afrika wakati huu ufadhili ukiendelea kushuka
10:26
10:26
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:26Serikali za Afrika zitalazimika kuchangia ufadhili wa mipango ya kupambana na Malaria kufidia pengo kubwa la ufadhili Muungano wa viongozi wa Afrika wa kupambana na Malaria ,Africa Leaders Malaria Alliance unasema Afrika inahitaji dola bilioni 5 nukta nane mwaka huu wa kifedha hadi 2026. Hali hii pia imechangiwa na Marekani kukata ufadhili wa misaa…
…
continue reading
I’m speaking at the CSCAA annual meeting! I brought on Sam Barany to discuss the event and all the major issues facing college swimming.By Chris DeSantis
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading

1
Ushirikiano wa kibiashara kati ya Kenya na Ufaransa
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01Msikilizaji juma moja lililopita, mtandao wa wafanyabishara na makampuni ya Ufaransa hapa nchini Kenya, walikutana na wenzao wa Kenya kuangalia namna bora zaidi ya kushirikiana hasa katika masuala ya teknolojia. Kwa mujibu wa takwimu zilizoko hali ya biashara za mtandaoni kikanda inaendelea kuimarika, huku matarajio ya matumizi ya akili mnemba yaki…
…
continue reading

1
Mpango wa lishe katika shule za umma nchini Kenya kupambana na utapiamlo
10:07
10:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:07Ukosefu wa lishe bora huathiri afya na elimu nchini Kenya Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la linalowahudumia Watoto (UNICEF) imeonesha kuwa takriban watoto milioni mbili nchini Kenya wanakabiliwa na matatizo yanayotokana na utapiamlo. Mipango ya lishe bora shuleni eneo la Nyanza na maghari mwa Kenya umeonekana kuwa suluhu huku wanafunzi wakip…
…
continue reading
…
continue reading
Dave Denniston, the head coach of University of Wyoming, joins to share some good news from the world of college swimming.By Chris DeSantis
…
continue reading
…
continue reading

1
144. African Heritage Meets Interstellar Travel: Why Nnedi Okorafor's Binti Trilogy is Essential Afrofuturism
4:48
4:48
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:48“I think it's really important that we read books and reread authors who aren't similar to us, who are very different from us culturally come from different backgrounds, different parts of the world.” In this How To Write the Future episode, host Beth Barany explains in detail why you need to read the “Binti Trilogy by Nnedi Okorafor,” plus why she…
…
continue reading
…
continue reading

1
CAF: Motsepe achanguliwa tena kuwa rais kwa muhula wa pili wa miaka minne
23:49
23:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:49Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na uchaguzi wa CAF, uwanja wa Mkapa wafungiwa kwa muda, michuano ya kufuzu dimba la dunia kwa kina dada chini ya umri wa miaka 17, maandalizi ya mashindano ya kuendesha magari ya WRC Safari Rally, uchambuzi wa mechi za klabu bingwa Ulaya hatua ya kumi na sita bora naye Neymar alazimika kuaga kikosi cha Brazil …
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading

1
Miundombinu; changamoto ya upatikanaji wa nishati (umeme) Afrika
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02Wiki hii katika makala ya Gurudumu la Uchumi, tunajadili changamoto za upatikanaji wa nishati ya uhakika barani Afrika, ambapo pamoja na baadhi ya mataifa kuwa na rasilimali za kutosha kuzalisha nishati ya ziada, suala la miundombinu limeendelea kusalia kikwazo, ambapo baadhi ya mataifa yanalazimika kununua nishati toka mataifa jirani. Ali Mkimo, m…
…
continue reading

1
Machi nane siku ya kuangazia haki za mwanamke
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03Kwenye makala haya tunaangazia Siku ya kimataifa ya wanawake, inayoadhimishwa kila mwaka Machi 8, siku hii hutumika kutambua mchango wa wanawake katika jamii na kupigania usawa wa kijinsia. Ni siku ya kusherehekea mafanikio ya wanawake katika nyanja mbalimbali kama vile siasa, uchumi, sayansi, na sanaa, huku ikihamasisha juhudi za kuondoa changamot…
…
continue reading
…
continue reading

1
Haja ya huduma muhimu za wanawake waja wazito kupatikana kwa urahisi
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09WHO imetaja ukosefu wa huduma za kuokoa maisha wakati wa kujifungua huchangia vifo vingi vya wanawake waja wazito Huduma hizo za wanawake hata hivyo zina bei kubwaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
Wakenya wameshauriwa kutochukua hatua mikononi iwapo wana mzozo wa malipo baina yao na watu wanaowadai. Hii ni baada ya maafisa wanahudumu mahakamani, mawakili na asasi za kijamii kufanya mkutano wa kueneza uwepo Wa mahakama hizo nchini Kenya huku wakiwahimiza raia kutumia korti hiyo ambayo inatatua kesi chini ya miezi miwili. Kufahamu mengi zaidi …
…
continue reading
I go solo to give my take on the most recent USA Swimming CEO debacle and the ongoing developments in college swimming.By Chris DeSantis
…
continue reading
…
continue reading

1
143. Elizabeth Moon: Crafting Strong Female Protagonists in Science Fiction
6:02
6:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
6:02“So I highly recommend Elizabeth Moon, if you like military ship captains who are these strong, interesting women. I also really adored her fantasy.” In this episode, titled “Elizabeth Moon: Crafting Strong Female Protagonists in Science Fiction” host Beth Barany shines a spotlight on one of her favorite science fiction and fantasy authors and shar…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading

1
Athari kwa uchumi wa dunia kutokana na vikwazo vya kibiashara vilivyotangazwa na Marekani
9:52
9:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:52Katika makala ya Gurudumu la Uchumi juma tunajadili athari za kibiashara kimataifa kutokana na hatua ya hivi karibuni ya Marekani kutangaza vikwazo vya kikodi kwa mataifa ya Canada, Mexico, India na Uchina ambao ni washirika wake wakubwa kibiashara. Kujadili hili, kwenye line ya simu tunaungana na Profesa Wetengere Kitojo, mchambuzi wa masuala ya u…
…
continue reading
…
continue reading
Mike Peyrebrune joins once again to share sports science insights from training three Olympic gold medalists.By Chris DeSantis
…
continue reading
…
continue reading

1
142. How Science Fiction and Fantasy Can Change the World
8:13
8:13
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:13“ I would say I live in this space with my Janey McCallister Space Station Mystery series. I think a lot about the sweet spot between current technology and future speculation.” In this How To Write the Future podcast episode, host and award-winning science fiction author, Beth Barany, discusses how science fiction and fantasy can inspire social ch…
…
continue reading
…
continue reading

1
Misri, Morocco,Tunisia zang'ara mashindano ya tenisi ya vijana chini ya miaka 14
23:46
23:46
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:46Tuliyokuandalia hii leo ni pâmoja na matokeo ya mashindano ya tenisi ya vijana barani Afrika chini ya miaka 14, kocha mpya wa Kenya ni nani, matokeo ya mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada, timu sita kushiriki ligi ya Afrika ya basketboli kwa mara ya kwanza, huku Afrika Kusini ikijiandaa kutuma ombi rasmi la kuandaa mkondo mmoja…
…
continue reading
…
continue reading

1
Haki ya wanahabari kutumia teknolojia ya AI
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02Katika hii ya kidijitali na inayobadilika kwa kasi, teknolojia ya akili mnemba (AI) imekuwa sehemu muhimu ya sekta mbalimbali, ikiwemo uandishi wa habari. Katika mkutano wa "Ubunifu AI kwa Mustakabali Endelevu wa Vyombo vya Habari" ulioandaliwa na Tamasha la Vyombo vya Habari Afrika kwa kushirikiana na taasisi ya Baraza Media Lab, wadau wa sekta ya…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading

1
Sehemu ya Pili: Afrika na harakati za kudai mabadiliko kwenye taasisi za kifedha za kimataifa
9:52
9:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:52Msikilizaji juma lililopita tulianza kwa kujadili yaliyotokana na mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika, na suala kuu lilikuwa ni je, nchi za Afrika zitafanikiwa kushinikiza mabadiliko katika taasisi za kifedha za kimataifa na kuondokana na mikopo na madeni yasiyostahimilika ? Leo katika makala ya Gurudumu la Uchumi, nakuletea sehemu ya pili ya mjadal…
…
continue reading
…
continue reading

1
Kukata kiu ya jamii zinazoishi mpaka wa Kenya na Somalia ,waathiriwa wa mgogoro
8:57
8:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:57Mamia ya wakaazi wa kaskazini mashariki mwa Kenya maeneo yanayopakana na Somalia na waathiriwa wakubwa wa mzozo wa Somalia hawajakuwa na maji masafi , hali hiyo ikizidisha mgogoro wa kijamii ndani ya jamii hii ya wafugaji wanaotokea upande wa Kenya na upande mwingine wa Somalia. Kukabili hali hii ,kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu , Internati…
…
continue reading
…
continue reading

1
141. Favorite Science Explainers on YouTube (part 2)
5:45
5:45
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
5:45Science Explainer: That is a term that has come out in the last bit of years to explain someone or to describe somebody who shares about science to the general public. In this How To Write the Future podcast episode, host and science fiction author Beth Barany shares more of her “Favorite Science Explainers on YouTube (Part 2)” and the types of sci…
…
continue reading
Shiniko zaidi zinazidi kutolewa kwa mtoto wa kike kuendelea kuwepeza uwezo wa kujiendeleza kimasomo, licha ya kwamba wengi wao sasa wapo katika nafasi nzuri kimasomo ukilinganisha na awali. Katika makala haya Benson Wakoli, amezungumza na wanafunzi wa kike kufahamu lengo lao kujiendeleza kimasomo.By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading

1
Simba kukutana na Al Masry kwenye Droo ya robo fainali Kombe la Shirikisho CAF
23:49
23:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:49Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na matokeo kwenye mashindano ya kimataifa ya gofu ya Magical Kenya Open, bondia wa DRC kupambana na muingereza huko Saudi Arabia, maandalizi ya Tour du Rwanda, Droo ya robo fainali michuano ya klabu bingwa Afrika, mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada 2026 na basketboli ya 2025, halikadhalik…
…
continue reading