Vatican News vipaumbele vyake: Habari za Baba Mtakatifu; Vatican, Kanisa la Kiulimwengu na Kanisa Barani Afrika. Tunazo habari za kisiasa na kijamii kutoka Barani Afrika na Dunia katika ujumla wake. Tovuti hii inapambwa na Tafakari ya Neno la Mungu pamoja na Makala mbali mbali. - Podcast - Radio Vaticana - Vatican News
…
continue reading
The How to Write The Future Podcast offers fiction writing tips for science fiction and fantasy authors who want to create optimistic stories because when we vision what is possible, we help make it so. By science fiction and fantasy author and fiction writing coach, Beth Barany.
…
continue reading
Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.
…
continue reading
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
…
continue reading
Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.
…
continue reading
JM Studio is the official Myanmar Artist Podcast with a large variety of songs from Myanmar artists available with new content being added regularly.
…
continue reading
Kupitia vipindi vyetu tunajaribu kuwahamasisha vijana wa Afrika kuhusu elimu ya jamii. Inasaidia kuyafanya maisha yao kuwa rahisi.
…
continue reading
Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.
…
continue reading
davidhochbaum.com davidstoupakisl.com Gimmie Babel is a podcast started in 2018 by visual artists and long time friends David Stoupakis and David Hochbaum featuring occasional guests to discuss process, inspiration and how they navigate the waters of living and working as a contemporary artist in the USA. Occasionally the artists would create videos to accompany the the episode. The agenda is open but usually revolves around art and food.
…
continue reading
1
Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofu
9:51
9:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:51
Umoja wa Afrika, unasema ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali inatia hofu na hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa ili kukabiliana na hali hii.By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
1
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya duniaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
1
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
10:13
10:13
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:13
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
1
98. Feminine Sovereignty, Envisioning Positive Futures, and Revolution with Maggie Ostara (part 2)
17:31
17:31
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
17:31
“We are the culture makers. And your book, I feel, really invites people into that in such a beautiful way. “ -- Beth Barany In this episode of How To Write the Future, podcast host Beth Barany talks with Amazon bestselling author, Maggie Ostara about the concept of feminine sovereignty, the evolution of sovereignty, and about Thrutopia as a way to…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Sikiliza maoni yako kwenye makala Habari Rafiki Mada huru
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikali
9:53
9:53
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:53
Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki kama vile Kenya, Uganda na Tanzania zikipendekeza mabadiliko ya sheria ili kuongeza kodi, kwa lengo la serikali kuongeza mapatoBy RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
1
Marekani kupendekeza suluhu kuhusu mzozo wa mashariki mwa DRC kwa njia ya mazungumzo
9:52
9:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:52
By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
1
Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC
9:52
9:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:52
Umoja wa Mataifa unaomba msaada wa haraka wa kibinadamu kuwasaidia raia wa DRC zaidi ya milioni nane walioathiriwa na utovu wa usalama mashariki mwa nchi yao.By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
1
97. Storytelling to Share Complex Ideas with Maggie Ostara (part 1)
15:50
15:50
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
15:50
“Human brains work. We live in story.” -- Maggie Ostara In this episode of How To Write the Future, podcast host Beth Barany talks with Amazon Bestselling author, Maggie Ostara. Together they discuss the concept of Feminine Sovereignty explored in Maggie's book “Feminine Sovereignty: 8 Pillars for Regenerating Ourselves and Our World.” They delve i…
…
continue reading
…
continue reading
1
Maoni ya washiriki katika kongamano la idhaa za kiswahili duniani sehemu ya mwisho
20:02
20:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:02
Ni jumapili nyingine tunakutana tena katika Makala haya Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni, le parler francophone na Muziki, na leo tunahitimisha mlolongo wa Makala kuhusu kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika huko Mbeya, na kwenye le parler francophone nakuletea ratiba ya shug…
…
continue reading
1
KipKeino Classic: Mmarekani Kenneth Bednarek ashinda mbio za mita 100
23:51
23:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:51
Tuliyokuandalia hii leo ni pamoja na matokeo ya riadha za KipKeino Classic, uchambuzi wa debi la Tanzania na Mashemeji nchini Kenya, mabondia 11 wa DRC wafuzu nusu fainali ya michuano ya African Boxing Cup, matokeo ya ligi ya basketboli Afrika mkondo wa Nile na Ligi ya Mabingwa barani UlayaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
96. Confidence and Purpose with Writing Coach, Kirsten McNeill
14:45
14:45
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
14:45
“I really wanna be able to help writers focus on themselves, be themselves, figure out what they wanna write, and create, a community and a, a library of fiction novels or any kind of novels that they've written and live life and have fun because we need more of that positivity and that sunshine in the world.” In “Confidence and Purpose with Writin…
…
continue reading
…
continue reading
1
Sehemu ya tatu ya Makala kuhusu kongamano la nne la idhaa za Kiswahili duniani
20:00
20:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:00
Ni Jumapili nyingine tunakutana katika Makala Changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, Utamaduni, le parler francophone na Muziki, leo ninakuletea mazungumzo kuhusu ubidhaishaji wa lugha ya kiswahili, ikiwa ni kauli mbiu ya kongamano la nne za idhaa za Kiswahili Duniani lililofanyika mkoani Mbeya Mwezi Machi.…
…
continue reading
1
Olimpiki: Nigeria na Zambia zafuzu mashindano ya Olimpiki soka ya kina dada
23:55
23:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:55
Kwenye makala haya utasikiliza uchambuzi wa mechi za kufuzu soka ya kina dada Olimpiki na shirikisho la riadha duniani kuwa shirikisho la kwanza kutoa tuzo za fedha, maandalizi kuelekea riadha za KipKeino Classic, mkusanyiko wa michezo DRC, uchambuzi wa mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Tiger Woods na Novak Djokovic waweka historia kubwa dunia…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Kongamano la idhaa za kiswahili duniani, umuhimu wa kujifunza lugha ya Kiswahili
19:57
19:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:57
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na Msimamizi wa kituo cha radio China Kimataifa ambaye ni raia wa China kufahamu zaidi kwanini alivutiwa na swala la kujifunza lugha ya kiswahili, ni katika muktada wa kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika Mbeya nchini Tanzania. Kwenye Muziki utasikiliza wimbo wa mwanamuziki Lupman …
…
continue reading
…
continue reading
“Editing is challenging. So whenever you get lost, feel overwhelmed, confused, just in a state about the editing process, come back to your goal, motivation, conflict about why you write. " “Know Yourself” In episode 95 of the How To Write the Future podcast, Beth Barany explains the importance of knowing why you write, focusing on your strengths, …
…
continue reading
…
continue reading
1
CAFCL:Simba na Yanga zabanduliwa michuano ya Klabu Bingwa Afrika
23:45
23:45
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:45
Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na uchambuzi wa hatua ya robo fainali mkondo wa pili michuano ya Klabu Bingwa Afrika, matokeo ya kufuzu soka Olimpiki ya kina dada, mwanasoka wa Afrika Kusini kuuawa, PSG Academy yatoa mafunzo kwa makocha nchini Rwanda, Kenya yatangaza orodha yake ya wanariadha wa mbio za Marathon kwenye Olimpiki ya mwaka huu,…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
94. Tropes for Fiction Writing with Jennifer Hilt
26:49
26:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:49
“I'm trying to be creative and original and all that and so I was like, thinking, yes, but how come we need to have these words in common in order to build a story?” -- Jennifer Hilt In this episode of How To Write the Future, podcast host Beth Barany talks with USA Today Bestselling author of The Trope Thesaurus, Horror Trope Thesaurus, and Trope …
…
continue reading
1
Kongamano la nne la idhaa za kiswahili duniani "Tasnia ya habari na ubidhaishaji Kiswahili duniani"
20:00
20:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:00
Karibu kuungana nami katika Makala haya Changu Chako Chako Changu, Makala ambyo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni, le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea sehemu ya kwanza ya mazungumzo kuhusu Kongomano la nne la idhaa za Kiswahili duniani. Kwenye le Parler francophone nitakueleza ratiba ya shughuli za kitamaduni Allia…
…
continue reading
1
WRC Safari Rally Kenya : Mashindano ya mbio za magari yanaendelea nchini Kenya
23:53
23:53
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:53
Karibu katika makala jukwaa la michezo, leo hii tumekuandalia taarifa kadhaa kuanzia katika mashindano ya mbio za magari Safari rally nchini kenya, michuano ya klabu bingwa barani afrika Al Ahly wakiishinda Simba goli moja sifuri kisha Tp Mazembe kupata sare dhidi ya Petro Atletico ya Angola na mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Sierra Leone Lamin …
…
continue reading