Mada hii inazungumzia haki za mume na haki za mke katika maisha yandoa kwamtizamo wa sheria ya kiislam.
Muhadhara huu unazungumzia uislam,historia ya uislam. na ujumbe wa mwanadamu,na dini ya haki kwa allah,na chanzo cha kukengeuka mwanadamu,na wito wa uislam kwa ulimwengu.
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
The TK Podcast is a podcast started by KingsHaki and RoronoaTrey. We discuss One Piece but also all anime/manga/nintendo games and sometimes other things. The hosts are KingsHaki, RoronoaTrey and Bluefirecrashdown. Contact us here, or on twitter at Kings_Haki, RoronoaTrey15 or Azure_Ursus
Mada hii inazungumzia umuhimu wa elimu ya dini na kubainisha haki ya mtoto katika kumsomesha elimu ya dini,na majukumu ya wazazi kwa watoto,khatari ya kusoma katika mashule ya kikafiri.
Vipindi vyetu vinajaribu kuwahamasisha wasikilizaji wetu vinazungumzia masuala ya afya katika jamii
Anuwani ya mada hii ni: Da’awa ya haki inapiga vita makundi ya kisiasa, imeongelea pia aina za makundi na misingi ya da’awa ya kisnna.
Kupitia vipindi vyetu tunajaribu kuwahamasisha vijana wa Afrika kuhusu elimu ya jamii. Inasaidia kuyafanya maisha yao kuwa rahisi.
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Tamko la Afrika kuhusu demokrasia chaguzi huru na utawala bora linatekelezeka?
10:17
10:17
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:17
By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Fahamu kuhusu utaratibu wa kisheria baada ya kuvunjika kwa uchumba
9:32
9:32
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:32
Mara kadhaa katika mataifa ya Afrika kumeripotiwa matukio ya kuvunjika kwa uchumba baina ya mwanaume na mwanamke waliokuwa na matarajio ya kufunga ndoa. Je utaratibu wa kisheria ukoje? Ungana na Fredrick Nwaka katika makala ya Jua Haki ZakoBy RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Ulimwengu waadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake huku vitendo hivyo badoi vikiripotiwa katika mataifa mbalimbali
9:56
9:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:56
Dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na wasichana huku kundi hili likikabiliwa na changamoto mbal;imbali kama ndoa za utotoni, kudhalilishwa na kupigwa, ukatili wa kingono n.k. Ungana na Fredrick Nwaka aliyekuandalia makala ya Jua Haki Zako.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Haki ya mwajiri na mwajiriwa kwa kuzingatia misingi ya mikataba ya kimataifa na kikanda
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Makala ya Jua haki zako wiki hii inaangazia haki za mwajiri na mwajiriwa kulingana na mikataba ya kimataifa, kikanda na sheria za nchi mbalimbali. Ungana na Fredrick Nwaka akizungumza na mwanaharakati wa haki za binadamu nchini Tanzania Tito Magoti hasa wakiangazia ripoti ya haki za binadamu na biashara iliyotolewa na kituo cha sheria na haki za bi…
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Ukatili wa kijinsia na wajibu wa raia na serikali kukabiliana na vitendo hivyo
9:57
9:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:57
Matukio ya ukatili wa kijinsia bado ni changamoto katika mataifa ya Afrika mashariki na kati, tunaangazia namna utafiti na sheria zinavyoweza kusaidia kutatua changamoto hii. Ungana na Fredrick Nwaka aliyekuandalia makala hayaBy RFI
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
WHO yatangaza Ebola kuwa dharura ya kimataifa
2:25
2:25
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:25
Shirika la afya duniani WHO, limetangaza homa ya Ebola kuwa dharura ya kimataifa ya afya ya umma. Tangazo hilo limetolewa baada ya taarifa ya kisa cha mgonjwa wa Ebola mjini Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya CongoBy DW.COM | Deutsche Welle
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Umoja wa Mataifa unatekeleza kwa vitendo ulinzi wa haki za binadamu
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia ikiwa umoja wa Mataifa unatekeleza kwa vitendo kuhusu ulinzi wa haki za binadamu kiduni.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Ripoti ya shirika la save the children kuhusu hali ya watoto
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaitazama kwa kina ripoti ya shirika la kimataifa la Save the Children iliyoangazia hali ya watoto duniani.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Uwepo wa vituo vya Mateso kwenye mataifa
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inajadili kuhusu uwepo wa vituo vya kutesea ambavyo vimetengenezwa kwa siri na serikali mbalimbali duniani kwa lengo la kuwahoji kwa njia ya mateso watuhumiwa ili kupata ukweli.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Ripoti ya LHRC kuhusu ukatili wa kingono dhidi ya watoto nchini Tanzania
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaidadavua kwa kina ripoti ya kituo cha sheria na haki za binadamu nchini Tanzania LHRC kuhusu ukatili wa kingono dhidi ya watoto.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Haki za Wanawake na Watoto Nchini Tanzania
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inazungumza na wanaharakati wa nchini Tanzania ambao wanafanya sanaa ya muziki na wanatumia muziki kufikisha ujumbe kuhusu kuheshimiwa kwa haki za watoto nchini Tanzania. Sikiliza makala ya juma hili.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Dhana ya utawala bora barani Afrika na haki za binadamu
9:57
9:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:57
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inajadili kwa kina kuhusu dhana ya utawala bora barani Afrika, kwanini viongozi wengi wa Afrika wanangangania kukaa madarakani hata baada ya muhula wao? Kwanini wanashuhudia utekelezaji wa vitendo vya unyanyasaji na ukatili dhidi ya raia wao? fuatilia makala haya.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Ripoti ya Amnesty International kuhusu utekelezwaji wa adhabu ya kifo duniani
9:58
9:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:58
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia ripoti ya shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International kuhusu utekelezaji wa adhabu ya kunyonga duniani, unajua ni mataifa mangapi bado yananyonga na yale ambayo yameacha kunyonga? Fuatilia makala haya.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Dunia inajifunza nini kutokana na mauaji ya kimbari na kuheshimu haki za binadamu
10:05
10:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:05
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia maadhimisho ya mauaji ya kimbari, ikitazama kwa kina ni ikiwa dunia imejifunza kutokana na ukatili na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu uliotekelezwa wakati wa mauaji ya Kimbari.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Haki za Watoto: Dhulma za Kingono pwani ya Kenya
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto pwani ya Kenya. Karibu usikilize makala haya.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Sheria za makosa ya ubakaji Afrika Mashariki
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia sheria za makosa ya ubakaji kwenye nchi za Afrika Mashariki, je zinafanya kazi vema kuzuia ubakaji dhidi ya wasichana? Ungana na mtayarishaji wa makala haya.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Mpango wa kufunga kambi ya Daadab: Zipi haki za wakimbizi wanaoishi kwenye kambi
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia mpango wa Serikali ya Kenya kutaka kuifunga kambi kubwa ya wakimbizi duniani ya Daadab, je hatua hii watetezi wa haki za binadamu wanaitazamaje? Makala ya juma hili inatathmini hatua ya Kenya kwa kina.By RFI
T
The TK Podcast (Nintendo and Anime Podcast)


1
THE RETURN PT 1 - IS MY HERO TOP TIER?
1:00:03
1:00:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:00:03
the boys are back!Check out the youtube:Kings HakiFollow us on twitter:Kings_hakiroronoatrey15Azure_Ursus
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Haki ya Kupata Dhamana kwa Mtuhumiwa Sehemu ya Pili
10:04
10:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:04
Karibu katika Sehemu ya pili Katika Makala Haya tukiangazia Haki ya kupata Dhamana kwa Mtuhumiwa.Unagana na Steven Mumbi katika Makala haya akizungumza na Wakili wa Kujitegemea kutoka nchini Tanzania, Jebra Kambole katika sehemu ya pili ya Haki ya Kupata Dhamana, karibu Msikilizaji.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Haki ya Kupata Dhamana kwa Mtuhumiwa
6:17
6:17
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
6:17
Katika Makala Haya tunaangazia Haki ya kupata Dhamana kwa Mtuhumiwa.Unagana na Steven Mumbi katika Makala haya akizungumza na Wakili wa Kujitegemea kutoka nchini Tanzania, Jebra Kambole katika sehemu ya kwanza ya Haki ya Kupata Dhamana, karibu Msikilizaji.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Kuzimwa kwa Internet DRC ni ukiukaji wa haki za binadamu?
9:57
9:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:57
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia hatua ya kuzimwa kwa huduma ya mtandao {Internet} nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, je kitendo kilichofanywa na Serikali kinakiuka haki za binadamu? Ungana na mtayarishaji wa makala haya pamoja na wakili Ojwan'g Agina.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Tathimini ya haki za binadamu barani Afrika mwaka 2018 na matarajio ya 2019
9:39
9:39
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:39
Bara la Afrika mwaka 2018 limekabiliwa na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu ikiwemo mauaji, utekaji nyara, utungwaji wa sheria zinazokinzana na uhuru wa kujieleza na kukusanyika. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya ya Jua haki zako.By RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Raia wa Afrika mashariki wako huru kufanya shughuli za kiuchumi katika nchi wanachama?
10:12
10:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:12
Raia wa Afrika Mashariki wako huru kufanya bioashara na shughuli nyingine za kiuchumi na kijamii katika nchi wanachama za Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi na Sudani Kusini. Fredrick Nwaka amekuandalia makala hayaBy RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Wanaharakati wanavyokabiliana na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na wasichana
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
Novemba 25 kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake lakini bado zipo changamoto zinazomkabili mwanamke. Fredrick Nwaka amekuandalia makala hayaBy RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Haki za Kiuchumi zilivyojadiliwa katika mkutano wa haki za binadamu barani Afrika
10:13
10:13
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:13
Hivi karibuni kulifanyika mkutano wa 63 wa haki za binadamu barani Afrika ambao uliangazia mwenendo wa haki za binadamu kwa mataifa mbalimbali ya Afrika. Miongoni mwa agenda zilizojadiliwa ni haki za kiuchumi. Fredrick Nwaka amekuandalia makala hayaBy RFI
J
Jua Haki Zako


1
Jua Haki Zako - Haki za wanawake katika nafasi za uongozi nchini DRC
8:37
8:37
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:37
Makala ya Jua Haki Zako juma hili inaangazia kuhusu ushiriki wa wanawake katika siasa na uongozi nchini DRC na hasa wakati huu nchi hiyo ikijiandaa kufanya uchaguzi wake mkuu.By RFI
Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa, Unicef limesema ndoa za utotoni zimepungua kwa kiwango kikubwa duniani, hususan katika nchi za Asia Kusini. Hata hivyo bado tatizo hilo ni kubwa Afrika ya Kusini mwa Sahara.By DW.COM | Deutsche Welle
D
Da’awa Ya Haqi Inapiga Vita Makundi Ya Kisiasa,Naubaguzi


1
Da’awa Ya Haqi Inapiga Vita Makundi Ya Kisiasa,Naubaguzi
51:08
51:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
51:08
Da’awa Ya Haqi Inapiga Vita Makundi Ya Kisiasa,NaubaguziBy Qasim Mafuta
UislamBy Shahidi Muhamad Zaid
Wanawake barani Afrika wamekuwa na nguvu nyingi katika miaka iliyopita na hata kushika nafasi za uongozi. Licha ya hilo, wasichana wengi bado wanapambana na ubaguzi. Safari ya kufikia usawa wa kijinsia bado ni ndefu.By DW.COM | Deutsche Welle
Haki Za Mume Na Mke 03By Salim Barahiyan
Haki Za Mume Na Mke 02By Salim Barahiyan
Haki Za Mume Na Mke 01By Salim Barahiyan
Haki Za Mume Na Mke 04By Salim Barahiyan
Umuhimu Wa ElimuBy Salim Barahiyan
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
Mimi Bado ni Binadamu - Hadithi ya Wagonjwa wa Akili Barani Afrika
11:59
11:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
11:59
Ulemavu ni mwiko na laana miongoni mwa watu wengi barani Afrika. Hadithi hii inaelezea jinsi familia na marafiki wa watu wenye ulemavu wanavyojaribu kuelewa na kukabiliana na hali zao. Kwani ni binadamu tu kama wengine.By DW.COM | Deutsche Welle
L
Learning by Ear – Elimu ya Jamii


1
Ardhi ya Ahadi – Hadithi ya Uhamiaji wa Waafrika barani Ulaya
11:59
11:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
11:59
Huku Farahani na Sule wakiota kuwa na maisha bora Ulaya, mwanafunzi Linda tayari yuko njiani kuelekea huko. Mchezo huu unalinganisha ndoto za vijana wa Kiafrika za kusoma na kufanya kazi Ulaya na hali halisi ya mambo.By DW.COM | Deutsche Welle
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
Mwana Mpotevu - Hadithi ya akinamama wanaolea watoto peke yao Barani Afrika
12:00
12:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
12:00
Mara nyingi malezi ya mtoto huwa kazi ngumu, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha afya nzuri na elimu bora ya mtoto. Hali hii huwa ngumu zaidi hasa kwa mzazi mmoja wa kike ambaye mzigo wa kifedha na malezi umo mikononi mwake.By DW.COM | Deutsche Welle
L
Learning by Ear – Elimu ya Jamii


1
Haki za binaadamu ni za watu wote lakini...
12:00
12:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
12:00
Kila binaadamu hapa duniani ana haki ya uhuru na usawa - kwa mujibu wa azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binaadamu. Lakini katika mataifa mengi barani Afrika, utakuta haki hizi zinaendelea kukanyagwa na kukiukwa.By DW.COM | Deutsche Welle
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
Watu wenye ulemavu – Kipindi 10 – Hadithi ya Oluanda
12:30
12:30
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
12:30
Msisimko ni mkubwa na nderemo zinasikika Maganye. Kabla kuungana na umati wa watu, tujifunze kilichomsibu Chitoto na kilichoandikwa kwenye barua ambayo wazazi wa Kangwa wanaipata.By DW.COM | Deutsche Welle
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
Watu wenye ulemavu – Kipindi 09 – Kufanya Historia
12:30
12:30
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
12:30
Katika kipindi hiki, mengi yanaonekana yakijitokeza. Chitoto anakanyagwa na gari na bwana na Bi Mali! Na Oluanda na Kangwa wana habari mpya motomoto kwa wazazi wao. Tamthiliya yaendelea.By DW.COM | Deutsche Welle
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
Watu wenye ulemavu – Kipindi 08 – Sio rahisi hivyo
12:30
12:30
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
12:30
Babake Kangwa, Bwana Mali anajitolea kusaidia. Mabango yamebandikwa na watu wako tayari kwa maandamano ya amani. Lakini subiri, jambo moja muhimu linakosekana. Bonyeza hapa upate kujua!By DW.COM | Deutsche Welle
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
Watu wenye ulemavu – Kipindi 07 – Kupigania usawa
12:29
12:29
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
12:29
Oluanda huenda akalazimika kukabiliana na changamoto za kutembea lakini amedhamiria kuwahimiza watu wenye ulemavu Maganye kudai haki sawa. Tuchunguze atafika umbali gani anapoendelea na mipango yake.By DW.COM | Deutsche Welle
N
Noa Bongo - Afya na Masuala ya Jamii


1
Watu wenye ulemavu – Kipindi 06 – Kufanya mabadiliko
12:30
12:30
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
12:30
Mshonaji viatu mwenye mguu mmoja ambaye sasa ni maarufu, ana rafiki mpya wa karibu. Mrembo Kangwa amechochea kitu katika maisha ya Oluanda na mabadiliko yanatokea.By DW.COM | Deutsche Welle
Katika kipindi hiki, tutageuka na kuangazia sekta ya muziki na kupata nafasi ya kumfahamu Chimere Emejuobi, mwimbaji kutoka Lagos. Muziki ni muhimu sana katika jamii nchini Nigeria.By DW.COM | Deutsche Welle
Hatutazungumzia juu ya taaluma fulani, lakini ni juu ya wale wote ambao hawana ajira. Idadi ya wasio na ajira hususan miongoni mwa vijana imeongezeka sana barani Afrika. Kila kijana mmoja kati ya watano hana ajira.By DW.COM | Deutsche Welle
L
Learning by Ear – Elimu ya Jamii


1
Kazi – Kipindi 6 – Kazi za sekta isiyorasmi
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01
Katika mji mkuu wa Kenya, tunakutana na watu wanaofanya shughuli zao ambazo ziko nje ya sekta rasmi ya uchumi. Wanashughulika kinyume na sheria bila ya kuwa na elimu stahiki, mfano biashara ya kiwango cha rejareja.By DW.COM | Deutsche Welle
Tutaiangazia sekta ya elimu huko Lagos Nigeria. Kwa jumla waalimu hulipwa mshahara mdogo. Lakini kwa baadhi yao, la muhimu ni hamasa ya kufundisha na hamu ya kuwapatia ufahamu wanafunzi wao.By DW.COM | Deutsche Welle
Katika kipindi hiki tutapata nafasi ya kumfahamu kijana mmoja nchini Uganda ambaye ni meneja wa hoteli. Je kuna ugumu gani wa kufanya kazi ya umeneja wa hoteli katika nchi zinazoendelea kama Uganda?By DW.COM | Deutsche Welle
L
Learning by Ear – Elimu ya Jamii


1
Kazi – Kipindi 3 –Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01
Mtandao wa Intaneti ni lango kuu la kujiunga na jamii duniani. Hata hivyo bado watu wengi hawana uwezo wa kuitumia. Wafanyakazi katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wanajaribu kulibadilisha suala hili.By DW.COM | Deutsche Welle