Artwork

Content provided by France Médias Monde and RFI Kiswahili. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by France Médias Monde and RFI Kiswahili or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

Tume ya haki za binadamu nchini Uganda yatuhumiwa kuegemea upande wa serikali

9:38
 
Share
 

Manage episode 421328811 series 1220196
Content provided by France Médias Monde and RFI Kiswahili. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by France Médias Monde and RFI Kiswahili or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.

Makala haya yanaangazia tendekazi wa tume za kutetea haki za biandamu za serikali zetu za Africa mashariki.

Hii ni baada ya lalama kutoka kwa kiongozi wa upinznai nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine kwamba tume ya haki nchini Uganda imekuwa ikiegemea upande wa serikali katika kutekeleza majukumu yake.

Robert Kyagulanyi,amelazimika kuondoa lalama zake mbele ya tume ya haki ya kutetea haki za biandamu nchini Uganda kutokana na madai inayosema tume hiyo imeshindwa kuyashughulikia.

Wine alikuwa amewasilisha kesi yake mwaka 2018 akilalamikia hatua ya polisi nchini Uganda kukiuka haki zake kwa kumzuia kuandaa tamasha za muziki zaidi ya 20, mbali na polisi kuchukuwa nyombo vyake vya mziki, hili akidai lilimzuia kupata haki yake ya kupata mapato kutokana na mrengo wake wa kisiasa.

Fahamu mengi kwa kuskiza makala haya.

  continue reading

24 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 421328811 series 1220196
Content provided by France Médias Monde and RFI Kiswahili. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by France Médias Monde and RFI Kiswahili or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.

Makala haya yanaangazia tendekazi wa tume za kutetea haki za biandamu za serikali zetu za Africa mashariki.

Hii ni baada ya lalama kutoka kwa kiongozi wa upinznai nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine kwamba tume ya haki nchini Uganda imekuwa ikiegemea upande wa serikali katika kutekeleza majukumu yake.

Robert Kyagulanyi,amelazimika kuondoa lalama zake mbele ya tume ya haki ya kutetea haki za biandamu nchini Uganda kutokana na madai inayosema tume hiyo imeshindwa kuyashughulikia.

Wine alikuwa amewasilisha kesi yake mwaka 2018 akilalamikia hatua ya polisi nchini Uganda kukiuka haki zake kwa kumzuia kuandaa tamasha za muziki zaidi ya 20, mbali na polisi kuchukuwa nyombo vyake vya mziki, hili akidai lilimzuia kupata haki yake ya kupata mapato kutokana na mrengo wake wa kisiasa.

Fahamu mengi kwa kuskiza makala haya.

  continue reading

24 episodes

Усі епізоди

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide