Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
…
continue reading
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza kipindi cha Naweza | Radio Free Afrika kila Jumamosi saa 11 jioni | Radio TBC Taifa kila Jumapili saa 11:30 jioni | Radio One kila Jumamosi saa 2:15 usiku Kipindi cha Naweza Show kinaletwa kwenu na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma (HPS)
…
continue reading
1
Kenya : Watoto wateketea shuleni, je jukumu la nani kumlinda mtoto akiwa shuleni
9:43
9:43
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:43
Nchini Kenya zaidi serikali inaendesha uchunguzi wa chembechembe za DNA, za wanafunzi 21 wa shule ya msingi ya Endatasha baada yao kuteketea kiasi ya kutotambulika, kabla ya miili yao kutolewa kwa familia. Miili limewaacha wazazi kwenye njia panda wasijue la kufanya, wakati huu maswali yakiendelea kuulizwa je nani wakulaumiwa baada ya mkasa huo wa …
…
continue reading
1
DRC : Wanawake wabakwa katika gereza la Makala nchini
9:30
9:30
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:30
Katika makala haya tunaangazia ripoti ya umoja wa mataifa kusema kwamba zaidi ya wanawake wafungwa ya 260 walibakwa katika jela ya Makala nchini DRC, mapema mwezi huu wakati wa jaribio la wafungwa kutoroka jela. Ripoti hiyo imebaini kwamba kati ya wafungwa 348 katika gereza hilo la Makala, wafungwa 268, walitendewa vitendo vya unyanyasaji wa kingon…
…
continue reading
1
Kenya: Vikundi vya kina mama vyajitokeza kupinga ukeketaji
10:04
10:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:04
Katika makala haya tunajikiti kuangazia uketetetaji ambapo wasichana wamekuwa ukiendelea kukeketewa nchini Kenya licha ya serikali kanzisha kampeni ya kuhamasisha umma kuhusu athari zinazotokana na ukeketaji huo. Jamii za Kenya, kupitia kwa kina mama na wasichana waliopitia ukeketaji kwa ushirikiano na mashirika ya kijamii wameanzisha vikundi vya k…
…
continue reading
1
Kenya : Jamii za mipakani zataka serikali kuwapa vitambulisho
9:57
9:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:57
Jamii zinazoishi mikapani nchini Kenya kwa muda zimekuwa zikikosa huduma muhimu ya kupata vitambulisho kutoka na sababu ambazo wenyewe wanasema serikali inawabagua. Katika makala haya tunajikiti kuangazia masaibu ya jamii za mipakani nchini kenya kupata vitambulisho. Kufahamu mengi zaidi skiza makala haya.…
…
continue reading
1
Kenya : Mawikili watoa mafunzo ya sheria kwa vijana
9:57
9:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:57
Mawakili mjini Mombasa pwani ya Kenya wamenza kutoa mafunzo ya sheria kwa vijana waliokuwa wakiandamana kushinikiza mabadiliko. Mawakili hao ambao ni wanachama wa chama cha mawakili nchini LSK, wamesema hatua hiyo imechochewa na maandamano yaliokuwa ya vijana maarufu kama Gen-Z leo lengo lao kuu likiwa kuwawajibisha viongozi serikalini. Kufahamu me…
…
continue reading
1
Tanzania : Human Right Watch lasema Tanzania inawahangaisha raia wa Ngorongoro
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Katika makala haya saba yetu inalenga taifa la Tanzania eneo la Ngorongoro ambapo serikali imekuwa ikiwahamisha wenyeji eneo hilo, ili kuihifadhi eneo hilo kutokana na historia yake. Tuangazia repoti ya shirika la kimataifa la kutete haki za biandamu la Human Watch ambayo imetuhumu serikali ya Tanzania kwa kuwafurusha kwa nguvu mamia ya raia wa kim…
…
continue reading
1
Kenya : Haki za wanawake pamoja na kina dada wanaojiuza
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Katika makala haya tunajadili haki za kina dada pamoja na kina dada wanaojiuza. Nchini Kenya, kina dada wanaojiuza pia wanataka kutambuliwa.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Kenya : Haki ya wanahabari kuteleza majukumu yao bila vikwazo
9:22
9:22
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:22
Juma hili tunaangazia haki za wanahabari kupeperusha habari zao bila kuingiliwa na vyombo vya usalama katika mataifa yao. Shaba yetu bila shaka inalenga taifa la Kenya, nchi ambayo wanahabari wamejeruhiwa wakati wakitekeleza majukumu yao, ya kuangazia maandamano ya vijana wa Gen Z, ambao wamekuwa wakishinikiza mabadiliko nchini Kenya. Kwa siku sasa…
…
continue reading
1
Kenya : Polisi wa Uingereza watuhumiwa kwa ukiukaji wa haki za binadamu
9:29
9:29
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:29
Katika makala haya tunaangazia dhuluma zinazodaiwa kutekelezwa na wanajeshi wa Uingereza ambao wana kambi ya mazoezi nchini Kenya leo la Nanyuki. Wanajeshi hao wanadaiwa kuwabaka na kuwaua wanawake mbali na kuwacha vilipuzi katika maeneo ya mazoezi ambavyo baadaye hulipuka na kusababisha majiraha na maafa. Wanawake wambao wamekuwa na uhusiano wa ki…
…
continue reading
1
Kenya : Wanaume wanapitia dhuluma za kijinsia kwenye ndoa, ila wamesalia kimya
9:58
9:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:58
Visa vya dhuluma dhidi ya wanawake vimekuwa vikiripotiwa mara kwa mara katika jamii mbalimbali barani Afrika na hata duniani,jambo ambalo limechangia sheria nyingi kuanzishwa kulinda wanawake,lakini hata hivyo dhuluma hizo zimeanza kuwakumba wanaume wengi kwa kunyanyaswa na kupingwa na wake wao. Katika makala haya tunaangazia dhuluma za kijinsia dh…
…
continue reading
1
Sudan Kusini inakabiliwa na hali ya binadamu kutokana na wimbi kubwa la wakimbizi
9:57
9:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:57
Taifa la Sudan Kusini linashuhudia wimbi kubwa la wakimbizi wanaoendelea kukimbia vitra nchini Sudan, licha taifa hilo kuendelea kushuhudia changamoto nyingi tu ikiwemo ukosefu wa amani katika baadhi ya majimbo yake. katika makala haya tunazama kuangazia ripoti ya shirika la Care in South Sudan ambayo imechangia ripoti kuhusiana na hali ya binadamu…
…
continue reading
1
Kenya : Haki ya raia kuandamana kufikisha ujumbe kwa serikali
9:57
9:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:57
Nchini Kenya vijana wamekuwa wakiandamana kulalamikia kile wataja mpango wa serikali kuongeza kodi kwa kutumia mswada wa fedha wa mwaka 2024. Idadi kubwa ya vijana hao wanapinga mswaada huo wanaosema utaongeza gharama ya maisha kipindi hiki wengi wao wakiwa tayari hawana ajira, makali ya gharama ya maisha nayo yakiendelea kulemaza shughuli zao za k…
…
continue reading
1
Amnesty International : Adabu ya kifo imeongezeka zaidi duniani
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Idadi ya watu waliopewa adabu ya kifo iliongezeka zaidi mwaka 2023, mataifa ya mashariki ya kati na nchini Somalia abadu hiyo ikiripotiwa kuwa ya juu zaidi. Kwa mjibu wa shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International, katika ripoti yake ya kila mwaka, zaidi ya watu 1, 153 walipewa adabu ya kifo mwaka 2023 pekee, bila kujumu…
…
continue reading
1
Kenya : Haki za watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi wanataka kutambuliwa zaidi
9:51
9:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:51
Katika makala haya ni awamu ya pili tunaendelea na mazungumzo yetu na bwana meshaka Sisende raia wa Kenya anayeishi na ulemavu wa ngozi. Juma lililopita tuliangazia pakubwa changamoro wanazopitia raia hawa naoishi na ulemavu wa ngozi na hapa tunazidi kuangazia mananikio ya raia wanaoishi na ulemavu wa ngozi. Miaka kadhaa iliopita mauwaji ya raia wa…
…
continue reading
1
Haki za raia wanaoishi na ulemavu wa ngozi hapa Africa
9:40
9:40
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:40
Kila mwaka Juni 14 dunia huadimisha siku ya watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi sherehe zilizoanza kuadimisha tangu mwaka 2014, ili kuhamasisha jamii kwamba watau wanaoishi na ulemavu wa ngozi wao ni watu wa kawaida katika jamii. Katika makala haya Meshaka Sisende kutoka nchini Kenya anasimulia maisha ya kawaida ya watu wanaoishi na ulemavu wa ngozi…
…
continue reading
1
Tume ya haki za binadamu nchini Uganda yatuhumiwa kuegemea upande wa serikali
9:38
9:38
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:38
Makala haya yanaangazia tendekazi wa tume za kutetea haki za biandamu za serikali zetu za Africa mashariki. Hii ni baada ya lalama kutoka kwa kiongozi wa upinznai nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu Bobi Wine kwamba tume ya haki nchini Uganda imekuwa ikiegemea upande wa serikali katika kutekeleza majukumu yake. Robert Kyagulanyi,amelazimika k…
…
continue reading
1
Kenya : Unyanyapaa wanaopitia kina mama tasa kwa jamii
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03
Katika makala haya tunaangazia haki za kina dada ambao hawajafanikiwa kupata watoto katika jamii zetu za kiafrica. Barani Afrika wanawake ambao hawana uwezo kupata watoto au wale huchukuwa muda mrefu kupata watoto , hupitia changamoto si haba ,na kukosa haki,kama vile kutotambuliwa na jamii,uridhi wa Mali na hata wengine kufukuzwa kwenye ndoa,hali …
…
continue reading
1
DRC : Makundi ya waasi yatuhumiwa kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya raia mbilimo
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Nchini DRC ; familia ya jamii ya mbilikimo , ukipenda wambute kama wanavyo wanavyofahamika nchini DRC, wanakabiliwa na changamoto kubwa ya ukiukaji wa haki za binadamu. Wanawake na wasichana kutoka jamii hii wengi ni waathiriwa wa vitendo vya ubakaji , vinavyo tekelezwa na wanaume kutoka makundi ya waasi mashariki mwa DRC, visa hivi vina tendwa na …
…
continue reading
1
Je haki za mtoto wa kiume unazifahamu, na je unafikiri zimekiukwa?
9:54
9:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:54
Katika makala haya mtetezi wa haki za mtoto wa kiume Faith Maina Wanjiku, anasisitiza kwamba kampeini za kumpa uwezo mtoto wa kike ndizo zimechangia kudidimia kwa hadhi ya mtoto wa kiume. Wajiku Maina raia kutoka nchini Kenya, anasema katika jamii ya leo hakuna anayeshughulikia haki na majukumu ya mtoto wa kiume, hali ambayo imechangia kizazi kizem…
…
continue reading
1
Kenya : Polisi watuhumiwa kuwaua raia kiholela zaidi ya raia 118 wakiuawa mwaka 2023
9:56
9:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:56
Makala haya tunaangazia ripoti ya mashirika ya kiraia nchini kenya kuhusu vifo vya kiholela vinavyodaiwa kutekelezwa na polisi. Ripoti hiyo inakaria kwa mwaka uliopita wa 2023, polisi waliwaua zaidi ya raia 118, masharika hayo yakisema licha ya mauwaji hayo ya raia hakuna hatua ambazo zimechukuliwa na serikali waathibu wahusika. Hata hivyo masharik…
…
continue reading
1
Kenya : Serikali yaanza kutoa miili ya waumini waliofariki baada ya kususia chakula ili wamuone Yesu
9:51
9:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:51
Unamkumbuka kiongozi wa wa dini Paul Mackenzi anayetuhumiwa kwa kushiwishi waumini wake kususia chakula hadi kufa, ili kukutana na yesu nchini Kenya. Baada ya takriban mwaka moja na mwezi mmoja wa serikali ya Kenya kufukua miili ya waumini waliofariki na kuzikwa katika msiku wa Shakahola na kuzifanyia uchuguzi wa vina saba yaani DNA, serikali sasa …
…
continue reading
1
Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua
9:09
9:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:09
Shirika lisilo la kiserikali la kutetea haki za binadamu la African Futures Lab, lenye makao yake jijini Brussels nchini Ubelgiji, lilizindua ripoti kushinikiza watoto chotara na mama zao kutoka nchini DRC, Rwanda na Burundi, kulipwa fidia, kutambuliwa kuwa raia wa Ubelgiji na kupata haki nyingine za msingi. Wakati wa ukoloni wa nchi ya Ubelgiji kw…
…
continue reading
1
Madaktari nchini Kenya wagoma kuishinikiza serikali kuzingatia haki zao
9:29
9:29
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:29
Muungano wa madaktari, wauza dawa na madakrati wa meno, KMPDU, ambao unawakilisha zaidi ya wanachama 7,000 uliitisha mgomo Machi 15, ili kudai mishahara iliyocheleweshwa, pamoja na kupewa ajira mara moja kwa madaktari wanafunzi.Mgomo ambao umesababisha hali ya sintofahamu kwa wagonjwa kwa takribani wiki tatu sasa.…
…
continue reading
1
DRC : Jamii ya mbilikimo yalilia serikali kuwapa nafasi kuhudumu serikalini
10:05
10:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:05
Nchini DRC , mara kwa mara jamii ya mbilikimo ama wambute kama wanavyo julikana katika taifa hilo, wamekuwa kilalamikia kile wanachodai kubaguliwa na raia kutoka jamii ya wabantu nchini DRC. Jamii hiyo imekuwa ikidai wameachwa nje kwenue nyadhifa kama vile viongozi wa nyumba 10 hadi cheo cha rais, wanadai hakuna raia kutoka jamii hiyo anashikilia w…
…
continue reading
1
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 10:Umuhimu wa Afya ya Uzazi kabla na baada ya ujauzito
26:53
26:53
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:53
Hapa tunakuletea simulizi kutoka kwa Salome. Binti huyu alikuwa na ndoto ya kuwa fundi cherehani lakini aliozeshwa na familia akajikuta akipata mtoto na ndoto kupotea ilionekana kama ndoto yake ilikuwa matatani lakini baadae Salome alifanikiwa, Je alifanyaje?
…
continue reading
1
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 9: Umuhimu wa kumnyonysha mtoto maziwa ya mama pekee kwa miezi sita ya mwanzo bila kumpa kitu chochote..
26:24
26:24
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:24
inakuletea simulizi kutoka kwa Chagu. Mama mkwe wake na Chagu hakuona umuhimu wa Chagu kumnyonyesha mwanae mchanga maziwa yake tu kwa miezi sita ya mwanzo, ni yapi yalimsibu chagu baada ya hapo.
…
continue reading
1
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 8: Umuhimu wa kumpeleka mwanao katika kituo cha kutolea huduma za afya ili apate chanjo na kujenga kinga ya mwili wake.
26:51
26:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:51
Hapa tutasikiliza simulizi ya Maua na mumewe Kingolile hawa wawili hakukamilisha ratiba za chanjo ya mtoto wao hivyo ikawapelekea kumuuguza kwa mda mrefu.
…
continue reading
1
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 7: Hatua za kuchukua pale tunapoona Dalili za Hatari kwa Mtoto Mchanga na jinsi ya kumkinga dhidi ya magonjwa.
26:59
26:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:59
Sehemu ya 7 ya Naweza Show inakuletea simulizi kutoka kwa Tulia. Yeye ni binti aliyepitia maisha mengi magumu na machungu ndani ya jiji la dar es salaam, na tunajifunza umuhimu wa kuwapeleka watoto wetu katika vituo vya kutolea huduma za afya pale tupoona dalili hatarishi kwao na tunashauriwa kutowapa dawa watoto wetu bila kuwapima na kupata ushaur…
…
continue reading
1
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 6: Umuhimu wa Kumnyonyesha mtoto mchanga maziwa ya mama pekee kwa muda wa miezi sita ya awali.
26:55
26:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:55
Sehemu ya 6 ya Naweza Show inakuletea simulizi kutoka Mama kiko. Yeye ni Mama ila alishindwa kabisa kufuata kanuni za kumnyonyesha mwanae kwa kipindi cha miezi sita, sasa ni yapi yalimsibu mama kiko baada ya hapo? Simulizi hii itakufunza umuhimu ya maziwa ya mama kwa mtoto ndani ya miezi sita ya mwanzo bila kumpatia kitu chochote kile zaidi ya mazi…
…
continue reading
1
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 5: Umuhimu wa Afya ya Uzazi kabla na baada ya ujauzito
26:36
26:36
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:36
Katika sehemu ya pili ya msimu mpya wa Naweza Show tunasikiliza simulizi kutoka kwa Bupe. Simulizi hii itakufunza mengi kuhusu umuhimu wa afya ya uzazi kabla na baada ya ujauzito.
…
continue reading
1
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 4: Hatua za kuchukua pale tunapoona Dalili za Hatari kwa Mtoto Mchanga na jinsi ya kumkinga dhidi ya malaria.
26:40
26:40
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:40
Katika sehemu ya nne ya msimu mpya wa Naweza Show tunasikiliza simulizi kutoka kwa Sitti. Simulizi hii itafundisha mengi kuhusu hatua za kuchukua pale tunapoona dalili za hatari kwa mtoto. Na jinsi gani wanaume wanapaswa kushiriki katika malezi ya watoto na kuwapeleka watoto katika vituo vya kutolea huduma za afya pale tu waonapo dalili za hatari.…
…
continue reading
1
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 3: Hatua za kuchukua pale tunapoona Dalili za Hatari kwa Mtoto Mchanga
26:54
26:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:54
Katika sehemu ya pili ya msimu mpya wa Naweza Show tunasikiliza simulizi kutoka kwa Waridi. Simulizi hii itafundisha mengi kuhusu hatua za kuchukua pale tunapoona dalili za hatari kwa mtoto mchanga.
…
continue reading
1
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 2: Umuhimu wa Afya ya Uzazi kabla na baada ya ujauzito
26:51
26:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
26:51
Katika sehemu ya pili ya msimu mpya wa Naweza Show tunasikiliza simulizi kutoka kwa Bhoke. Simulizi hii itakufunza mengi kuhusu umuhimu wa afya ya uzazi kabla na baada ya ujauzito.
…
continue reading
1
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 1: Kumpeleka mtoto kwenye kituo cha afya anapoonesha dalili ya #Malaria. #Naweza
25:14
25:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
25:14
Sikiliza simulizi ya Ruta, kutoka Bukoba. Leo tutajifunza kuhusu umuhimu wa kumuwahisha mtoto kwenye kituo cha afya pale anapoonesha dalili za #Malaria. #Naweza
…
continue reading
1
NAWEZA Show - Sehemu ya 12 (Janet): Umuhimu wa mwenzi kupimwa VVU iwapo mama mjamzito anaishi na VVU
25:44
25:44
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
25:44
Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya kumi na moja ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Janet.
…
continue reading
1
NAWEZA Show - Sehemu ya 11 (Aisha): Dalili hatarishi kwa mtoto
24:04
24:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
24:04
Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya kumi na moja ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Aisha.
…
continue reading
1
NAWEZA Show - Sehemu ya 10 (Riziki): Umuhimu wa mama kujua hali yake ya afya baada ya kujifungua
27:24
27:24
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
27:24
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya kumi ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Riziki.
…
continue reading
1
NAWEZA Show - Sehemu ya 9 (Mama Salma): Umuhimu wa kulala kwenye chandarua chenye dawa
25:09
25:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
25:09
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya tisa ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Mama Salma.
…
continue reading
1
NAWEZA Show - Sehemu ya 8 (Mama Imani): Umuhimu wa kutumia uzazi wa mpango
22:03
22:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
22:03
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya nane ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Mama Imani
…
continue reading
1
NAWEZA Show - Sehemu ya 7 (Samia: Umuhimu wa Kumnyonyesha mtoto mchanga maziwa ya mama ndani ya saa moja baada ya kujifungua)
21:51
21:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
21:51
Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya saba ya kipindi cha Naweza, leo tena sikiliza stori ya Samia. Kupitia simulizi yake tutajifunza umuhimu wa kumnyonyesha mtoto mchanga maziwa ya mama ndani ya saa moja baada ya kujifungua.
…
continue reading
1
Naweza Show - Sehemu ya 6 (Anitha - ya pili): Huduma ya Nesi kwa Mama Mjamzito aliyekuwa kwenye hali mbaya
21:33
21:33
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
21:33
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya sita ya kipindi cha Naweza, leo tena sikiliza stori ya Anitha. Atasimulia jinsi alivyompokea mama mjamzito aliyekuwa kwenye hali mbaya sana.
…
continue reading
1
NAWEZA Show - Sehemu ya 5 (Anitha): Msaada wa Nesi kwa mama mjamzito
21:59
21:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
21:59
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya tano ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Anitha.
…
continue reading
1
NAWEZA Show - Sehemu ya 4 (Mama Tabitha): Umuhimu wa kutumia dawa za ARV wakati wa ujauzito iwapo mama anaishi na VVU
25:10
25:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
25:10
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza sehemu ya nne ya kipindi cha Naweza, leo sikiliza stori ya Mama Tabitha
…
continue reading
1
NAWEZA Show - Sehemu ya 3 (Mwajuma): Umuhimu wa mama mjamzito kutumia dawa ya SP
19:44
19:44
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:44
Sikiliza sehemu ya tatu ya show ya #Naweza. Leo tunasikia stori ya Mwajuma inayohusu umuhimu wa mama mjamzito kutumia dawa ya SP.
…
continue reading
1
NAWEZA Show Sehemu ya Pili (Sada): Ushirikiano baina ya wenzi kipindi cha ujauzito
19:02
19:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:02
Sikiliza sehemu ya pili ya show ya #Naweza. NAWEZA Show Sehemu ya Pili (Sada): Ushirikiano baina ya wenzi kipindi cha ujauzito
…
continue reading
1
Naweza Show Sehemu ya 1 (Mwanja): Changamoto kipindi cha ujauzito
27:01
27:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
27:01
Sikiliza sehemu ya kwanza ya show ya #Naweza.
…
continue reading