Artwork

Content provided by Carlton. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by Carlton or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

Prelude: Know what this Podcast is about

3:25
 
Share
 

Manage episode 344323955 series 3405885
Content provided by Carlton. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by Carlton or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.

Send us a Text Message.

Kila mtu huwa na ndoto za mafanikio tunachotofautiana ni njia, na ukubwa wa ndoto hizo. Wapo wenye ndoto za kuwa mabilionea, na pia wapo wenye ndoto za kuweza kupata mlo wa leo tu. Na tofauti hizo naimani husababishwa na makuzi ya nyumbani, marafiki tunaojizungunga nao Pamoja na fursa tunazozipata au kuzaliwa nazo. Mimi binafsi naamini vitu hivyo vitatu vinaenda sambamba kuijenga ‘mindset’ ya mtu. Nchi nyingi za Africa hali duni ya manyumbani hupelekea mtu kujifunga kifikra na hii husababishwa sana na ukosefu wa elimu Pamoja na utandawazi. Marafiki pia hujenga mindset ya mtu kwani ukijizunguka na marafiki wenye mawazo makubwa na chanya huwenda kukafanya pia akili yako kupanuka na kuweza kuwa na mawazo makubwa na chanya ila pia ukiwa na marafiki wasiwo na mawazo makubwa, hata kama wewe unamawazo makubwa huwenda wakasababisha akili yako kudumaa na kuona kila unalofikiria ni hadithi tu, yaani mawazo yasiowezekana.

Nina Imani kwamba mtu kupata fursa sio bahati bali ni kujituma na kuitafuta hio fursa au kujiweka njia amazo fursa hizo hupita. Ila kutokana na ukosekanaji wa ‘exposure’ kwa watu wengi naamini ndo maana huwenda hatuzipati fursa hizo. Hii ndio mmoja ya sababu ya kuanzisha podcast hii Career talks na washkaji. Ambapo tutakuwa tunajaribu kukusogezea karibu washkaji walioweza kupata fursa tofauti tofauti ili waweze kutuvumbua ni jinsi gani wameweza kupata fursa hizo ili nasi tuweze kujifunza na kujiegesha katika njia za hizo fursa

Kujifunza sio darasani tu, ila hata kusikiliza story za washkaji huwenda ukajifunza kitu na ndio maana tumejaribu kuwaomba washkaji zetu bahadhi waweze kutuelezea uni experience zao ili sisi ambao bado hatujaanza chuo tuweze kupata picha ya kifwatacho mbele ila pia hatakama sio kitu kitakachofwata kwako kusikiliza experience ya mwingine huwenda ukajifunza kitu kutoka kwake na kikakusaidia maishani.

  continue reading

31 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 344323955 series 3405885
Content provided by Carlton. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by Carlton or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.

Send us a Text Message.

Kila mtu huwa na ndoto za mafanikio tunachotofautiana ni njia, na ukubwa wa ndoto hizo. Wapo wenye ndoto za kuwa mabilionea, na pia wapo wenye ndoto za kuweza kupata mlo wa leo tu. Na tofauti hizo naimani husababishwa na makuzi ya nyumbani, marafiki tunaojizungunga nao Pamoja na fursa tunazozipata au kuzaliwa nazo. Mimi binafsi naamini vitu hivyo vitatu vinaenda sambamba kuijenga ‘mindset’ ya mtu. Nchi nyingi za Africa hali duni ya manyumbani hupelekea mtu kujifunga kifikra na hii husababishwa sana na ukosefu wa elimu Pamoja na utandawazi. Marafiki pia hujenga mindset ya mtu kwani ukijizunguka na marafiki wenye mawazo makubwa na chanya huwenda kukafanya pia akili yako kupanuka na kuweza kuwa na mawazo makubwa na chanya ila pia ukiwa na marafiki wasiwo na mawazo makubwa, hata kama wewe unamawazo makubwa huwenda wakasababisha akili yako kudumaa na kuona kila unalofikiria ni hadithi tu, yaani mawazo yasiowezekana.

Nina Imani kwamba mtu kupata fursa sio bahati bali ni kujituma na kuitafuta hio fursa au kujiweka njia amazo fursa hizo hupita. Ila kutokana na ukosekanaji wa ‘exposure’ kwa watu wengi naamini ndo maana huwenda hatuzipati fursa hizo. Hii ndio mmoja ya sababu ya kuanzisha podcast hii Career talks na washkaji. Ambapo tutakuwa tunajaribu kukusogezea karibu washkaji walioweza kupata fursa tofauti tofauti ili waweze kutuvumbua ni jinsi gani wameweza kupata fursa hizo ili nasi tuweze kujifunza na kujiegesha katika njia za hizo fursa

Kujifunza sio darasani tu, ila hata kusikiliza story za washkaji huwenda ukajifunza kitu na ndio maana tumejaribu kuwaomba washkaji zetu bahadhi waweze kutuelezea uni experience zao ili sisi ambao bado hatujaanza chuo tuweze kupata picha ya kifwatacho mbele ila pia hatakama sio kitu kitakachofwata kwako kusikiliza experience ya mwingine huwenda ukajifunza kitu kutoka kwake na kikakusaidia maishani.

  continue reading

31 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide