Hizi ndizo shughuli zetu CIMIC ya TANBAT 7 - Kapteni John Zablon Mashamy
MP3•Episode home
Manage episode 426592956 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Kutokana na hali tete ya usalama nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, Umoja wa Mataifa kwa miaka mingi umekuwa ukifanya juhudi za kuleta amani na kuilinda kwa kutuma ujumbe wake, MINUSCA ambapo nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa huchangia vikosi mbalimbali. Kikosi cha 7 kutoka Tanzania, TANBAT 7 ni miongoni mwa walinda amani waliko huko, hususani wakihudumu katika eneo la Berbérati, magharibi mwa nchi.Kupitia makala hii, Afisa uhusiano wa TABAT 7, Kapteni John Zablon Mshamy anaeleza shughuli zinazofanywa na kitengo cha uhusiano, CIMIC anachokiongoza.
…
continue reading
100 episodes