WHO na wadau wake Tanzania yasaidia kupunguza vifo vya wajawazito wakati wa kujifungua
MP3•Episode home
Manage episode 428180683 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hakuna mwanamke anayepaswa kufa wakati wa kujifungua, ndio maana Shirika la Umoja wa Mataifa la afya Ulimwenguni WHO nchini Tanzania baada ya kushuhudia ongezeko la vifo vya wajawazito kutokana na wajawazito kupata ugumu kuvifikia vituo vya afya ilitafuta fedha ya kusaidia kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo miundombinu na kuongeza maarifa kwa wataalamu wa afya.Hatimaye WHO Tanzania wakafanikiwa kupata fedha kutoka Ubalozi wa Norway nchini Tanzania na kuzielekeza katika kutatua changamoto mbalimbali na sasa vifo vya uzazi vimepungua katika kanda ukanda huo. Ni kwa vipi basi ? Tuungane na Leah Mushi katika makala haya.
…
continue reading
101 episodes