Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

10 JULAI 2024

9:57
 
Share
 

Manage episode 428180684 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunaangazia ripoti ya Uchumi wa kidijitali 2024, na uvuvi nchini Sudan Kusini. Makala inatupeleka nchini Tanzania kumulika afya kwa wajawazito na mashinani nchini Kenya kusikia simulizi ya mwathirika ya mafuriko.Ripoti mpya iliyozinduliwa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo UNCTAD kuhusu “Uchumi wa kidijitali 2024” imeweka bayana kuhusu athari za kimazingira za sekta ya kimataifa ya kidijitali na mzigo mkubwa wa athari hizo unaobebwa na nchi zinazoendelea.Wananchi katika Kaunti ya Terekeka nchini Sudan Kusini wameeleza kufurahishwa na mafanikio wanayoyapata kutokana na mradi wa miaka mitano wa kuboresha mnepo wa Jamii za Wavuvi (FICREP).Na kikao cha 56 cha kawaida cha Baraza la Haki za Binadamu kikiendelea huko Geneva Uswisi Katika kikao hicho Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk ameitaka jumuiya ya kimataifa kufikiria upya kuhusu kusitisha makubaliano yake na nchi za Kaskazini mwa Afrika kuhusu watafuta hifadhi.Katika tutakupeleka katika mitaa ya Mathare iliyoko Nairobi nchini Kenya kusikia simulizi ya mwathirika wa mafuriko.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
  continue reading

101 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 428180684 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunaangazia ripoti ya Uchumi wa kidijitali 2024, na uvuvi nchini Sudan Kusini. Makala inatupeleka nchini Tanzania kumulika afya kwa wajawazito na mashinani nchini Kenya kusikia simulizi ya mwathirika ya mafuriko.Ripoti mpya iliyozinduliwa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo UNCTAD kuhusu “Uchumi wa kidijitali 2024” imeweka bayana kuhusu athari za kimazingira za sekta ya kimataifa ya kidijitali na mzigo mkubwa wa athari hizo unaobebwa na nchi zinazoendelea.Wananchi katika Kaunti ya Terekeka nchini Sudan Kusini wameeleza kufurahishwa na mafanikio wanayoyapata kutokana na mradi wa miaka mitano wa kuboresha mnepo wa Jamii za Wavuvi (FICREP).Na kikao cha 56 cha kawaida cha Baraza la Haki za Binadamu kikiendelea huko Geneva Uswisi Katika kikao hicho Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk ameitaka jumuiya ya kimataifa kufikiria upya kuhusu kusitisha makubaliano yake na nchi za Kaskazini mwa Afrika kuhusu watafuta hifadhi.Katika tutakupeleka katika mitaa ya Mathare iliyoko Nairobi nchini Kenya kusikia simulizi ya mwathirika wa mafuriko.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
  continue reading

101 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide