Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

18 JULAI 2024

9:58
 
Share
 

Manage episode 429529074 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea -WFP limeonya kwamba amri ya hivi karibuni kabisa ya Jeshi la Israel ya watu kuondoka Gaza imesababisha idadi kubwa zaidi ya watu kutawanywa tangu mwezi Oktoba mwaka jana.-Leo ni siku ya kimtaifa ya Nelson Mandel mwaka huu ikibeba maudhui “Bado ni jukumu letu kutokomeza njaa na pengo la usawa” -Hatua za haraka zinahitajika kuhakikisha haki za binadamu katika vituo vya rumande nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo na Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kuleta Utulivu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati MINUSCA. -Mada yetu kwa kina leo inaangazia siku ya Mandela na jinsi watu wanavyomfahamu na kuenzi mchango wake-Na matika jifunze Kiswahili tunakupeleka Baraza la Kiswahili Zanzibar BAKIZA nchini Tanzania kupata ufafanuzi waneno HAZAMA
  continue reading

100 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 429529074 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea -WFP limeonya kwamba amri ya hivi karibuni kabisa ya Jeshi la Israel ya watu kuondoka Gaza imesababisha idadi kubwa zaidi ya watu kutawanywa tangu mwezi Oktoba mwaka jana.-Leo ni siku ya kimtaifa ya Nelson Mandel mwaka huu ikibeba maudhui “Bado ni jukumu letu kutokomeza njaa na pengo la usawa” -Hatua za haraka zinahitajika kuhakikisha haki za binadamu katika vituo vya rumande nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo na Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kuleta Utulivu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati MINUSCA. -Mada yetu kwa kina leo inaangazia siku ya Mandela na jinsi watu wanavyomfahamu na kuenzi mchango wake-Na matika jifunze Kiswahili tunakupeleka Baraza la Kiswahili Zanzibar BAKIZA nchini Tanzania kupata ufafanuzi waneno HAZAMA
  continue reading

100 episodes

Усі епізоди

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide