Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

Wafugaji Samburu: Ngamia sio tu wamenusuru familia zetu, pia wametufungulia ukurasa mpya

3:09
 
Share
 

Manage episode 430207731 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Kauti ya Samburu Kaskazini mwa Keny ni miongoni mwa maeneo mengi yaliyoathirika na ukame kutokana na mabadiliko ya tabianchi. Jamii ya Wasamburu kwa kawaida ni wafugaji, baada ya ukame kukatili maisha ya mifugo yao haswa ng’ombe na mbuzi wakazi wengi walipoteza matumaini hadi pale FAO ilipowaletea mradi wa ufugaji wa ngamia kama mbadala wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi. Nankaya Lepitiling, mwanachama wa kikundi cha wanawake cha Salato Samburu ambaye ameona faida ya ufugaji wa ngamia kupitia mradi wa FAO, anasema “Tumewaonna ngamia kwa mda mrefu kwenye kikundi chetu, na mimi niimeshakuwa kiongozi wa kikundi cha Salato, tulipewa ngamia wa mradi, wanafika karibu ngamia 30 hivi”Ntomuan Selaina naye ni mnufaifa wa mradi huo..“Wametusaidia sana kwa chakula cha watoto, hakuna shida hata kidogo, hata chai wengine wanakunywa ya siturungi nami nakunywa ya maziwa , nawapatia pia watu wengine na sasa kuna huyu mtoto amekuja hapa kwa sababu mama yake hana maziwa tunampatia ya ngamia wngu.”Kwamujibu wa FAO ukame ulichochea ongezeko la utapiamlo na magonjwa mengine ya ukosefu wa lishe bora hususan miongoni mwa watoto ndio FAO ikachukua hatua kwa kuanza kugawa ngamia kupitia mradi wa ubunifu wa PEAR ambao pia unawapa wafugaji mafunzo . Timothy Lesingran ni mtaalam wa wanyama katika mradi huo wa PEAR“Tunatoa mafunzo kwa wanawake na tumewafunza wanawake wengi tuu katika ngazi mbalimbali na wengi wamefurahia sana kufanyakazi nasi.”Pia mradi huu umewapa wanawake hawa wafugaji fursa nyingine kama wanavyosema Ntomuan na Nangaya,“Hata vikapu tunavyotumia kukamua maziwa tunavishona wenyewe na tunaviuza pesa tunayopata tunanunua chakula cha kutulisha sisi na watoto wetu. Na tangu tulipopata ngamia tena tukenda kujenga mahali pengine duka la maziwa sasa tunakamua maziwa , tunayaweka kwenye mashine, tunachuja mafuta , tunauza maziwa freshi na mazia lala, na tunatengeneza peremende ya jibini ya maziwa ya ngamia”Mradi huu wa FAO umewalenga zaidi wanawake na familia zinazogawiwa ngamia zimewajibika kutia saini mkabata unaosema ngamia waliyepokea ni wa mama wa familia hiyo, lakini faida kubwa imekuwa kwa familia nzima na hasa watoto kama Juma Lesaina mtoto wa Ntomuan, anasema mama (PARAPHRASE)“Alininunulia sare za shule kutokna na maziwa aliyopata ya ngamia na ndipo nilipoweza kujiunga na shule kwa msaada wa ngamia, na nimesomea uhandisi wa masualaya umeme , hivyo nimefika hapa nimatokeo ya ngamia na watu waliona ngamia maisha yao yamebadilika.”FAO sasa imepanua wigo wa mradi huo katika kaunti zingine za jirani ikiwemo Isiolo na lengo ni kuzifikia kaunti nyingi zaidi za wafugaji.
  continue reading

104 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 430207731 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Kauti ya Samburu Kaskazini mwa Keny ni miongoni mwa maeneo mengi yaliyoathirika na ukame kutokana na mabadiliko ya tabianchi. Jamii ya Wasamburu kwa kawaida ni wafugaji, baada ya ukame kukatili maisha ya mifugo yao haswa ng’ombe na mbuzi wakazi wengi walipoteza matumaini hadi pale FAO ilipowaletea mradi wa ufugaji wa ngamia kama mbadala wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi. Nankaya Lepitiling, mwanachama wa kikundi cha wanawake cha Salato Samburu ambaye ameona faida ya ufugaji wa ngamia kupitia mradi wa FAO, anasema “Tumewaonna ngamia kwa mda mrefu kwenye kikundi chetu, na mimi niimeshakuwa kiongozi wa kikundi cha Salato, tulipewa ngamia wa mradi, wanafika karibu ngamia 30 hivi”Ntomuan Selaina naye ni mnufaifa wa mradi huo..“Wametusaidia sana kwa chakula cha watoto, hakuna shida hata kidogo, hata chai wengine wanakunywa ya siturungi nami nakunywa ya maziwa , nawapatia pia watu wengine na sasa kuna huyu mtoto amekuja hapa kwa sababu mama yake hana maziwa tunampatia ya ngamia wngu.”Kwamujibu wa FAO ukame ulichochea ongezeko la utapiamlo na magonjwa mengine ya ukosefu wa lishe bora hususan miongoni mwa watoto ndio FAO ikachukua hatua kwa kuanza kugawa ngamia kupitia mradi wa ubunifu wa PEAR ambao pia unawapa wafugaji mafunzo . Timothy Lesingran ni mtaalam wa wanyama katika mradi huo wa PEAR“Tunatoa mafunzo kwa wanawake na tumewafunza wanawake wengi tuu katika ngazi mbalimbali na wengi wamefurahia sana kufanyakazi nasi.”Pia mradi huu umewapa wanawake hawa wafugaji fursa nyingine kama wanavyosema Ntomuan na Nangaya,“Hata vikapu tunavyotumia kukamua maziwa tunavishona wenyewe na tunaviuza pesa tunayopata tunanunua chakula cha kutulisha sisi na watoto wetu. Na tangu tulipopata ngamia tena tukenda kujenga mahali pengine duka la maziwa sasa tunakamua maziwa , tunayaweka kwenye mashine, tunachuja mafuta , tunauza maziwa freshi na mazia lala, na tunatengeneza peremende ya jibini ya maziwa ya ngamia”Mradi huu wa FAO umewalenga zaidi wanawake na familia zinazogawiwa ngamia zimewajibika kutia saini mkabata unaosema ngamia waliyepokea ni wa mama wa familia hiyo, lakini faida kubwa imekuwa kwa familia nzima na hasa watoto kama Juma Lesaina mtoto wa Ntomuan, anasema mama (PARAPHRASE)“Alininunulia sare za shule kutokna na maziwa aliyopata ya ngamia na ndipo nilipoweza kujiunga na shule kwa msaada wa ngamia, na nimesomea uhandisi wa masualaya umeme , hivyo nimefika hapa nimatokeo ya ngamia na watu waliona ngamia maisha yao yamebadilika.”FAO sasa imepanua wigo wa mradi huo katika kaunti zingine za jirani ikiwemo Isiolo na lengo ni kuzifikia kaunti nyingi zaidi za wafugaji.
  continue reading

104 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide