31 Julai 2024
MP3•Episode home
Manage episode 431719664 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo katika jarida la Umoja wa Mataifa Leah Mushi anakuletea taarifa mbalimbali ikiwemo ripoti kuhusu mamlaka za Israeli kukamata wapalestina kiholela na kwa muda mrefu tangu mwezi Oktoba mwaka jana, juhudi za UNAIDS kuelimisha vijana nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR jinsi ya kujikinga na UKIMWI. Makala utasikia kuhusu ufugaji nzi weusi kwa ajili ya chakula cha mifugo na mashinani utasikia jinsi UNICEF inavyosaidia jamii huku Timbuktu nchini Mali kupambana na utapiamlo hususan kwa watoto.
…
continue reading
104 episodes