show episodes
 
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
  continue reading
 
Artwork
 
Hello Makkaley! Rithik & Varsha here to keep your weekend amazing with our podcast Kadha Kaelunga. In this podcast you would be listening to some amazing stories where we share about business and entrepreneurship content, some stories which motivates you, some amazing interviews from inspiring people and cool discussions from our friends. What are you waiting for? Hurry up and listen to our epsiodes. Follow us on Instagram for more updates: Rithik: https://instagram.com/rithik_dharan?igshid= ...
  continue reading
 
Artwork

1
Oru Kadha Sollatuma Makkale!

Oru Kadha Sollatuma Makkale!

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
Hello Makkale(folks)!! This is a new venture for me! I'm going to be bringing to you one of the most interesting Tamizh history novel in detail! I hope it'll be a good way for you to get to know the story! It'll make you cherish our Culture and Tamizh history! I can assure you that it’ll be a great experience for you guys to listen to the tale of "Ponniyin Selvan" written by Kalki Krishnamurthy. Please do support the channel by sharing the video to your near and dear ones and all Tamizhans t ...
  continue reading
 
Presenting you the Tamil Podcast "Oru Kadha Sollata sir?", ft. Brindha Rajaram, an exclusive podcast for stories. This podcast soulfully aims at delivering the stories with apt voice modulation to provide best experience of hearing stories. This show aims at giving variety of episodes with different contents exclusively designed to keep you all engaged and entertained. More creative contents are on the way. Subscribe to our channel and stay tuned for more interesting stories. We need your su ...
  continue reading
 
Nadhimoolam Rishimoolam... Having read extraordinary stories written by Tamil authors in the last few years and translated them into the English for a prestigious publishing house in Chennai, Zero Degree Publishing, I developed an insatiable thirst to go in search of more such gems. What a revelation has it been! One's life time may not be enough to read all those wonderful penance like creations! Also, an opportunity to listen to a famous orator in Tamil, read out a story in Tamil, left me ...
  continue reading
 
Kalyana's I My Voice is a telugu podcast. Kalyana's I My Voice will delivers talk shows with reputed, famous celebrates and personalities. Kalyana's I My Voice will give best and pure audio programs only. Kalyana's I My Voice will give best stories, famous novels reviews. Kalyana's I My Voice is a best entertainer. Kalyana's I My Voice will take you to Olden days like radio time. Kalyana's I My Voice is a complete audio show. Kalyana's I My Voice will give more entertainment, happiness and fun.
  continue reading
 
Loading …
show series
 
Msikilizaji kwa mujibu wa Jukwaa la dunia la uchumi, World Economic Forum, ujio wa teknolojia mpya kama akili mnemba (Artuificial inteligency), ikiwa zitatumika vizuri, zitasaidia kujenga uchumi wenye ushindani, unaostahimili changamoto na endelevu. Katika makala ya gurudumu la uchumi juma hili, tunajadili Kuibuka au ugunduzi wa teknolojia na ushaw…
  continue reading
 
Msikilizaji juma hili katika makala ya Gurudumu la uchumi nakuletea mseto wa taarifa za uchumi na biashara toka kwenye kanda ya Afrika Mashariki, katika Makala ya leo mwenzangu victor Abuso, alizungumza na Christian Yoka, mkurugenzi wa shirika la maendeleo la Ufaransa, AFD kanda ya Afrika, lakini pia mwandishi wetu wa Lubumbashi, Denise Mayoo, aliz…
  continue reading
 
Msikilizaji katika miaka ya hivi karibuni, mataifa ya Ulaya, Amerika, Asia na sasa Uarabuni, yameongeza kasi ya uwekezaji, utoaji wa mikopo na misaada kwa nchi za Afrika, mataifa haya yamewekeza mabilioni ya dola za marekani kwa bara hilo kwa kubadilishana na rasilimali zake, hatua ambayo mbali na kuonekana kama ni urafiki lakini inaibua maswali ku…
  continue reading
 
Msikilizaji kwa wiki kadhaa sasa nchini Kenya, kumekuwa na mjadala mkali baada ya kutolewa kwa mapendekezo ya serikali kuhusu muswada wa fedha wa mwaka 2024 unaolenga kuongeza kodi katika baadhi ya sekta na bidhaa nchini humo. Wazalishaji na wawekezaji wakitarajiwa kuwa waathiriwa wakbwa ikiwa muswada huu utapitishwa kama ulivyo, ambapo baadhi ya v…
  continue reading
 
Msikilizaji wakati wa kongamano la kimataifa la wakurugenzi wakuu wa kampuni mbalimbali duniani waliokutana nchini Rwanda, maswali kadhaa yaliibuliwa, kubwa lilikuwa ni je bara la Afrika linapaswa kuwa katika meza ya maamuzi au kwenye orodha, na ikiwa huu ni muda muafaka wa kutoa mustakabali wake. Ni maswali magumu ambayo hata hivyo viongozi wa Afr…
  continue reading
 
Hujambo msikilizaji wa rfikiswahili popote pale unapotegea sikio matangazo yetu nikukaribishe katika makala ya Gurudumu la Uchumi, na hivi leo tunaangazia ukanda wa Afrika Mashariki, eneo lililojaa nguvu kazi ya vijana pamoja na ari ya ujasiriamali, lakini bado linakabiliwa na tatizo la ukosefu wa ajira. Takwimu za hivi karibuni za benki ya dunia z…
  continue reading
 
Title: "Anbudan Thambi : A Listner"s Story" Description: Join us on "Anbudan Thambi" as we dive into the heartfelt journey of a sister navigating the intricate bond she shares with her brother. In this intimate podcast, she courageously unveils the layers of their relationship, exploring the highs and lows, the laughter and tears, and the profound …
  continue reading
 
Msikilizaji katika miaka ya hivi karibuni, wito umeendelea kutolewa na mataifa ya Afrika kuhusu kuwepo usawa na haki katika mfumo wa kifedha duniani, ambao Kihistoria, nchi za Kiafrika zimekuwa katika hali mbaya linapokuja suala la kupata ufadhili, rasilimali, na makubaliano yenye usawa ya kibiashara. Kuzungumzia hili, nimemualika kwa njia ya simu …
  continue reading
 
Kulingana na Benki ya Maendeleo ya Afrika, uchumi wa bluu barani Afrika una uwezo wa kuchangia pakubwa katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya bara hilo. Uchumi wa bluu unatajwa kuchangia dola za Marekani trilioni 1 kila mwaka, Sekta ya uvuvi ikiwa kitovu kikuu na kuajiri zaidi ya watu milioni 12. Profesa Omary Mbura, mtaalamu na mhadhiri wa masual…
  continue reading
 
Shughuli za sekta binafsi na uwekezaji ni vyanzo vikuu ya ukuaji wa uchumi, uzalishaji wa ajira na maendeleo endelevu. Kwa wastani, sekta binafsi inachangia zaidi ya Asilimia 80 ya mapato ya serikali kwa watu wa kipato cha chini na cha kati, kupitia kodi ya kampuni, kodi ya rasilimali na mapato ya kodi kwa wafanyakazi. Sekta hii inazalisha zaidi ya…
  continue reading
 
Uhamiaji unaweza kuwa nguzo muhimu kwa maendeleo ya uchumi wa Afrika ikiwa mtu anaweza kutoa mwelekeo bora wa fedha zinazotumwa na wageni kuelekea uwekezaji na ufadhili wa maendeleo katika nchi za Afrika. Diasporas wanachangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya nchi zetu ambazo kimsingi ni nchi za asili lakini pia nchi mwenyeji. …
  continue reading
 
Msikilizaji, hatimaye nchi ya Tanzania imeondoa zuio ililoweka juma hili kwa ndege za shirika la Kenya KQ, uamuzi iliyokuwa imeuchukua baada ya Nairobi kukataa kutoa kibali kwa ndege za mizigo za shirika la Tanzania kushusha na kupakia kutokea Kenya. Uamuzi huo msikilizaji ulisababisha mawaziri wa pande zote kukutana na Jumanne ya wiki hii wakakuba…
  continue reading
 
Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili inaangazia mustakabali wa jumuiya ya Afrika Mashariki kiuchumi kwa mwaka 2024, hasa baada ya athari za uviko 19 za tangu mwaka 2020 na sasa mdororo wa uchumi wa dunia, ambao umesababisha mataifa masikini, ikiwemo ya ukanda kushuhudia kupanda kwa gharama ya maisha. Nimezungumza na Johnson Denge, mchambuzi wa ma…
  continue reading
 
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, inaangazia namna wafanyabiashara wamejipanga katika mwaka 2024, kuhakikisha biashara zao zinashamiri licha ya changamoto za kiuchumi zinazoikabili dunia kwa sasa. Mwandishi wetuj Victor Moturi, kwa niaba ya mtayarishaji wa makala haya, Emmanuel Makundi, amezungumza na wafanyabiashara nchini Kenya, ambao mwaka…
  continue reading
 
In this episode the Speaker explains the problem and solution by the way of story telling (NOTE : This Episode is not intended to offend anyone ) Unakkenna venum sollu : https://open.spotify.com/episode/1RoyVAkfuUsH2C7ZNxXYl9?si=69aa979520b44e62 INSTAGRAM: https://www.instagram.com/kadha_mohan024?igsh=MXZ3ZGthNGYybDQ0Ng== DISCORD SERVER :https://di…
  continue reading
 
In this episode the podcaster talks about a person's life which he struggles for a true love . EPISODE 1 : https://open.spotify.com/episode/7A0YvqNgRUweaA2QKpzzzs?si=165a50986c3242a9 EPISODE 2 : https://open.spotify.com/episode/0VPVKFU4GyTbTZaJpM1pR3?si=5a0a8fe10a61436b EPISODE 3 : https://open.spotify.com/episode/6wwQ3T8Vw5zWST8uD3XTgF?si=7467de10…
  continue reading
 
In this episode the podcaster talks about the movie named as Vinnaithaandi Varuvaayaa Directed by: Gautham Vasudev Menon Starting with: Silambarasan, Trisha, Ganesh,ect Music by : AR RAHAMAN FOLLOW US ON GIVEN LINKS ; INSTAGRAM:https://www.instagram.com/kadha_mohan024?igsh=MXZ3ZGthNGYybDQ0Ng==DISCORD SERVER :https://discord.com/invite/AXDt9rj5tHEMA…
  continue reading
 
In This Episode the host and his guest (AANDAI'S PODCAST SPEAKER SUSAN ) shares his best five songs to us and his music listening experience FOLLOW US AT GIVEN LINKSAANDAI'S PODCAST :https://open.spotify.com/show/5CGuNFX3GLzw03Y1G5AQbw?si=f0632e9f52ef441aINSTAGRAM : https://www.instagram.com/kadha_mohan024?igsh=MXZ3ZGthNGYybDQ0Ng==DISCORD SERVER :h…
  continue reading
 
In this episode the Speaker explains the problem and solsolution by the way of story telling (NOTE : This Episode is not intended to offend anyone ) INSTAGRAM : kadha_mohan024 DISCORD SERVER :https://discord.com/invite/AXDt9rj5tH EMAIL ID :mohanshows024@gmail.com keep listening our episode 😊❤️❤️
  continue reading
 
Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili inaangazia mustakabali wa jumuiya ya Afrika Mashariki kiuchumi kwa mwaka 2024, hasa baada ya athari za uviko 19 za tangu mwaka 2020 na sasa mdororo wa uchumi wa dunia, ambao umesababisha mataifa masikini, ikiwemo ya ukanda kushuhudia kupanda kwa gharama ya maisha. Nimezungumza na Johnson Denge, mchambuzi wa ma…
  continue reading
 
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inaangazia mkutano wa nchi ya Uchina na viongozi wa Afrika uliofanyika wiki kadhaa zilizopita, pamoja na ziara za viongozi wa nchi za Marekani, Uingereza na Ujermani kwenye nchi za Afrika Mashariki na Magharibi. Ziara zao zinaashiria nini katika muktadha wa kiuchumi? Emmanuel Makundi amezungumza na Profesa Wet…
  continue reading
 
Kwenye sehemu yetu ya pili na ya mwisho kuhusu namna nchi ya Bostwana ilivyopiga hatua kwenye sekta ya madini na uchumi wake kwa kutegemea Almasi, tutasikia kutoka kwa wadau mbalimbali akiwemo mwekezaji binafsi Siddarth Gothi , Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo KGK Bostwana, na mchambuzi binafsi wa siasa, Marisa Lourenco, kutoka Afrika Kusini kuhusu …
  continue reading
 
Kati ya Oktoba 11 hadi 14 mwezi Oktoba, Bostwana iliandaa maonesho ya Kimataifa ya kibiashara jijini Gaborone, yaliyofanyika pembezoni mwa Jukwaa la kwanza wa kibiashara kati ya nchi hiyo na Umoja wa Ulaya. Bostwana ambayo uchumi wake mkubwa unategemea sekta ya madini, hasa Almasi ikiwa ya pili duniani kwa bidhaa hiyo baada ya Urusi, ilitumia fursa…
  continue reading
 
Ukuaji wa uchumi wa nchi za Afrika zilizoko Kusini mwa Jangwa la Sahara, unatarajiwa kupungua kasi mwaka huu, kutokana na kudorora kwa uchumi wa mataifa ya Afrika Kusini, Nigeria na Angola, hii ni kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Dunia. Ukuaji wa kikanda utapungua hadi 2.5% mwaka 2023 kutoka 3.6% mwaka jana, imesema ripoti hiyo. Mtayarishaji amezun…
  continue reading
 
Mwezi uliopita, viongozi wa dunia walikutana jijini New York, Marekani katika mkutano wa 78 wa baraza la umoja wa Mataifa, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali ikiwemo usalama wa dunia na ukuaji wa uchumi pamoja na mikakati ya kufikia ajenda ya mwaka 2030 na haja ya kuongeza kasi kutekeleza malengo 17 endelevu. Kuzungumzia yaliyojiri, mtayarisha…
  continue reading
 
Wiki hii tunaangazia huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambako kunaripotiwa ongezeko kubwa la uzalishaji wa madini ya shaba na kobalt katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Takwimu kutoka sekta ya madini, zinaonesha kuwa uzalishaji wa kobalt imeongezeka na kufikia zaidi ya Tani Laki moja, baada ya serikali kuwekeza asilimia 43 ya bajeti yak…
  continue reading
 
The podacster shares about a person life and love to the listeners for his happiness (this episode is full of imagination) , before listening this story listen other podcast episode credits. story : mohan, editor: maayan ,background music 1 :Untill I found you , background music 2: avalum naanum from AYM. You can listen our podcast on Spotify, gaan…
  continue reading
 
# அற்றது பற்றெனில் - இந்திரா பார்த்தசாரதி-சிறுகதை| Atradhu Patrenil - Indra Parthasarathy- Short Story
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide