show episodes
 
Artwork
 
Kujenga Amani is produced by the African Peacebuilding Network to provide listeners with informative commentary by scholars, practitioners, and policymakers working in the field of African peacebuilding. Recorded at various workshops, conferences, and meetings organized by the APN, these podcasts are disseminated with the intention of mapping emerging challenges and responding to knowledge and policy gaps, while simultaneously connecting peacebuilding conversations within Africa to those in ...
  continue reading
 
Artwork

1
Journey to Mother

Solid Gold Podcasts #BeHeard

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
Cheryl-Jane (CJ) Kujenga has conversations with women who yearn for parenthood and are contemplating, going through or have gone through so called "unconventional" or "unspoken of" experiences to get there.
  continue reading
 
Utashi wa Kihisia ni uwezo wa kudhibiti na kuratibu hisia zako ili zilete mguso chanya katika nafsi yako. Katika podcast hii utajifunza namna bora na sheria za kinafsi, kujenga na kujiimarisha katika utashi wa Kihisia
  continue reading
 
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha. Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika. Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi. Hakikisha unafollow ...
  continue reading
 
Artwork

1
She's Bold

Najma Matengo

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
She’s Bold is a podcast where we challenge traditions and mindsets limiting women in Africa. Najma the host, interviews phenomenal women in Tanzania and the diaspora to uncover, defy and lay a foundation for other women to break the barrier. It's what every woman in Africa should know. The new episode drops every Saturday.
  continue reading
 
Ni muda wa kuchukua nafasi yako katika meza ya H.W nasi tutawasilisha kwako mawazo ya thamani kwa maneno ya dhahabu. Mahali pa kwanza na pekee unapohitaji kuwa kwa ajili ya ustawi wako. Karibu tujifunze vingi. Pata nafasi ya kusikiliza mambo ya msingi sana yatakayonoa stadi zako, kukuongezea maarifa na kuchochea maendeleo yako ya kiutu. #Karibu_nyumbani.
  continue reading
 
Artwork
 
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza kipindi cha Naweza | Radio Free Afrika kila Jumamosi saa 11 jioni | Radio TBC Taifa kila Jumapili saa 11:30 jioni | Radio One kila Jumamosi saa 2:15 usiku Kipindi cha Naweza Show kinaletwa kwenu na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma (HPS)
  continue reading
 
Loading …
show series
 
Kama unajali kesho Yako na kuelekea uhuru wa kifedha basi suala la kuweka akiba ni lazima.Lakini....Kuna makosa ambayo wengi hufanya Katika uwekaji wa akiba zao na pengine na wewe unafanya.Akiba ya malengo ya muda mrefu haipaswi kuwekwa kwenye;1. Kibubu,2. Taasisi za kibenki,3. Chini ya godoro4. Mitandao ya simu.Unajiuliza kama sipaswi kuweka huku …
  continue reading
 
Haijalishi wewe ni mpambanaji kiasi gani kama hauna msingi mzuri wa elimu ya fedha.Basi kuna uwezekano mkubwa utapambana sana ila kiuchumi inakuwa vigumu kukua.Kwa sababu...Umekosa nidhamu ya pesa ambayo ni muhimu kuwa nayo kama unataka kufanikiwa katika eneo la fedha.Kwahiyo...Ukianza kupanga bajeti ya fedha zako inakuwa rahisi kurekodi matumizi y…
  continue reading
 
Hivi unajua Kiwango Cha Mafanikio Yako inategemea sana na Kiwango Cha Nidhamu Yako.Kupitia episode hii utajua Aina Tano za Nidhamu Zenye Kuleta matokeo Makubwa kama utazingatia na kuziishi kwenye maisha Yako.Unahitaji sana kuwa na Kiwango kikubwa Cha Nidhamu.Sikiliza na uanze kufanikiwa Kwa kuwa utaanza kuishi Kwa Nidhamu kwe ye maisha Yako.…
  continue reading
 
Kama wewe ni wale ambao unawatumia watu DM au text za kawaida Kwa Mara ya Kwanza kama vile "Niaje, Mambo, Vipi, Shwari Mkuu, Harakati Ni Vipi Kiongozi, Mrembo mambo n.k"Tambua unakosea sana Tena sana hiyo siyo Kujitambulisha badala ni salamu tu.Swali linakuja unajua jinsi ya Kujitambulisha mtu akiona DM au text Yako apate kuijibu bila kupuuzia.Unah…
  continue reading
 
Umekosa sapoti au kushikwa mkono Katika kazi zako au mapambano Yako?Unapitia hali ya kukataliwa na kuona hakuna anayejua thamani Yako Wala Kuamini Katika Wewe?Unapitia hali ya kukata tamaa kwenye kitu unachofanya kwa kuwa matokeo yamechelewa.Unatamani kuwa Bora ila hujui ufanye Nini?Kuna watu wanakurudisha nyuma na kutoamini katika mapambano Yako i…
  continue reading
 
Umekuwa na tabia ya kuwasema watu wengine kwa namna yoyote kwenye maisha yao? Hii ni tabia mbaya, lakini hujui ufanye nini ili uache tabia hii ya kimaskini na ni tabia mbaya.Inawezekana siyo wewe ila kuna watu wa karibu yako wana tabia hii, basi kupitia maarifa haya utaweza kuwa chachu ya kubadilika kwake.Huwezi kumbadilisha mtu ila unaweza kuwa sa…
  continue reading
 
This is a special episode featuring Victoria Charles Mwanziva interview with Najma Juma in 2017 on She's Bold radio show on Afro-radio Network. This episode encourage youth to seek information, learn and go for what they want without holding back. Victoria Charles Mwanziva is currently serving as the District Commissioner of Ludewa District, Njombe…
  continue reading
 
Jiunge nasi katika kipindi hiki tukijifunza umuhimu wa kujisomea na kujifunza katika maisha ya Prudence Zoe Glorious, kibinafsi na kitaaluma. Pata ufahamu, hamasa, na mafundisho yanayotokana na maisha yaliyojitolea kwa harakati ya maarifa. ZOE Prudence Glorious kwa sasa ni Afisa Mkuu wa Nia katika kampuni ya Prudence Zoe Glorious (PZG), aliyoianzis…
  continue reading
 
Nani kahamisha jibini yangu? Ni kitabu ambacho kinakusaidia kukabaliana na mabadiliko ambayo hukutarajia wala kutegemea kwenye kazi na maisha.Kitabu kipo kwa mfumo wa stori ambao inahusisha wahusika wanne ambao ni1. Sniff2. Scurry3. Hem4. HewNi kitabu ambacho utajifunza namna ya kukabiliana na mabadiliko kwenye maisha.Naamini kupitia uchambuzi wa k…
  continue reading
 
Kuachilia haijawahi kuwa jambo rahisi hasa kwa watu ambao umewathamani na kuamini wangekuwa na wewe maisha yako yote, lakini ghafla wanakuachia maumivu na kukuumiza kiakili, kimwili, kihisia.Inaumiza kuona hawatambui thamani yako na unashindwa kuachikilia na kuishia kuwa na roho ya kutaka kulipa kisasi, uchungu, hasira, msongo wa mawazo na kujichuk…
  continue reading
 
"Sisi sote tuna nafasi ya kustawi zaidi katika chochote tunachokifanya. Changamoto inayotukumba vijana wengi ni kwamba hatutambui na kuzifuata zile hatua muhimu zenye kutufikisha hapo. Muda ni mchache na sio sawa kwenda bila dira. Ndio maana leo nimeona niyazungumze haya yafuatayo..." Anasema Sebastian Kolowa katika mkutano wa nne wa Hub of Wisdom …
  continue reading
 
"Wewe unaamini kwamba huyo mwenzako unampenda kumbe kuna makosa makubwa sana. Twende pamoja tuangalie vijana wanakosea wapi na namna gani ufanye ili kuepuka au kurekebisha makosa." Anasema Bi Sadaka Gandi, mtaalamu wa saikolojia ya familia na mshauri mbobevu katika maswala ya mahusiano.Fuatilia matoleo haya katika H.W TV kwa njia ya YouTube na kwa …
  continue reading
 
Ni kitabu mahususi kimeandikwa na Anne Lemmot ambacho utajifunza mambo mengi kuhusu uandishi wa vitabu na kuishi maisha yenye uhuru ndani yake.Hakikisha unaandika pembeni mambo ambayo utajifunza kupitia uchambuzi wa kitabu hiki kizuri cha BIRD BY BIRD yaani NDEGE KWA NDEGE.Katika uchambuzi wa kitabu hiki utajifunza sura tano ambazo mwandishi ametus…
  continue reading
 
Usijisikie vibaya kuona watu wa karibu au wa mbali hawaelewi wala hawapo tayari kukuelewa kuhusu mapambano yako.Inaumiza kuona watu ambao unawapenda na kuamini inaweza kuwa,📌 Wazazi wako,Ulitegemea ndiyo wangekuwa watu wa kwanza kukuelewa na kuamini unachofanya na imekuwa tofauti wanakukosoa na kukalaumu kwanini unafanya hicho.📌 Marafiki zako,Maraf…
  continue reading
 
Hauwi wa thamani kwasababu ya kile unachokipata bali kile unachokitoa. "Kwakuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna, apandaye haba atavuna haba. Apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu." Kitakachofanya bidhaa zako au huduma zako ziwe za thamani sio gharama yake bali ni manufaa yanayotokana na hiyo huduma.Ili upate faida kubwa kutokana na kile u…
  continue reading
 
Unahitaji kukubalika kwenye jambo lolote basi unahitaji sana NGUVU YA KIBALI.Mahali popote hakikisha unaishi vizuri na watu ndiyo maana wahenga wanasema "Mtaji wa mtu ni watu.Ufanye nini upate nguvu ya kibali cha kukubalika machoni pa watu?Sikiliza episode hii mpaka mwisho.Share | Like | Comment | Ask…
  continue reading
 
Hivi unajua asilimia 80% ya watu unawaeleza matatizo yako hawajali kabisa na asilimia 20% wanafurahi kuona matatizo hayo yanakupata wewe hapo. Kanuni ya 80/20 itakusaidia kuchuja nani wa kuwaeleza matatizo yako na wapi kutowaeleza. Unajiuliza ni kwa namna gani Kanuni hii inafanya kazi si ndiyo? Basi Sikiliza episode hii mpaka mwisho ujifunze…
  continue reading
 
"Start Small think Big". Zingatia mambo madogo. "Start Small, Think Big". Ukifanya vizuri katika uwanda mdogo hata siku ukiwa katika uwanda mkubwa, uwezekano ni kwamba utafanya vizuri. Wakati unapofikiria kujenga mambo makubwa anza kidogokidogo........................................................................Maoni yako ni muhimu na atunayatha…
  continue reading
 
Hakuna kitu kinaumiza kama watu kukudharau na kubeza uwepo wako si ndiyo?Dharau ina maana kwamba wanachukulia poa jambo au kitu fulani pasipo kukipa thamani inayostahili.Hivi unajua kwanini watu wanakudharau?Ukweli ni kwamba huwezi kuwa mwema na mzuri kwa kila mtu ila inakuwa inaumiza zaidi pale watu ambao umewapa nafasi kubwa kwenye maisha yako ha…
  continue reading
 
Mahusiano siyo jambo la ulazima ila mahusiano ni jambo la utayari. Mapenzi siyo upofu, ila ni mtazamo wako Kuwa ni upofu wakati umepewa macho uone, akili ili uchanganue na hisia ili ujitathimini. Unajua nini uzingatie kabla ya kuingia/kuanzisha mahusiano ya kimapenzi, basi sikiliza episode hii mpaka mwisho ujifunze…
  continue reading
 
"The more hands you shake, the more opportunities you create."Katika hatua za awali za kujenga biashara au asasi uwezekano mkubwa ni kwamba watakaojihusisha na wewe ni watu wanaokufahamu. Vivyo hivyo ili watu wakufungulie milango ya fursa kigezo kimoja wapo kikubwa ni namna gani wanakufahamu. Fuatilia mtiririko wa episode hizi katika YouTube: H.W T…
  continue reading
 
Watu wengi hudhani kuwa wakipata fedha nyingi ndio watafanya mambo fulani makubwa. Lakini ukweli ni kwamba wengi hawana umadhubuti wa matarajio yao, yapo hewani tu.Fuatilia mtiririko wa episode hizi kwa katika YouTube: H.W TV na Podcast: H.W PODCAST kila wiki.Maoni yako ni muhimu na atunayathamini sana, hivyo tuma ujumbe wako wa sauti kwa njia ya W…
  continue reading
 
'From a Rough to a Diamond'Mis. Halima Kopwe anaelezea safari yake ya ushindi na kile anachowashauri vijana wengine wenye kiu ya kustawi katika nyanja walizopo.EDITION 4 - THE WISE MEGA MEET-UP (Episode)Tembelea www.hubofwisdom/media kuangalia na kusikiliza zaidi. Toa maoni yako ili jukwaa hili lizidi kuwa bora kwa ajili yako, tumia 0753825794 au t…
  continue reading
 
Unataka kuingiza pesa na kujikwamua kiuchumi? Kama jibu lako ni ndiyo, basi episode hii inakufaa kwa sababu utaenda kujua aina 10 za Ujuzi ambazo zitakuingizia pesa ni wewe kuchagua Ujuzi mmoja au miwili kisha weka nguvu hapo baada ya mwaka mmoja hadi mitano utaona unaingiza pesa ni uthubutu wako tu. Sikiliza kwa umakini sana…
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide