show episodes
 
Artwork
 
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
  continue reading
 
Hiki ni kipindi cha kila Mkristo anaye tarajia kwenda mbinguni, kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Fuata Bibblia Ikuongoze, Ina usika na MAULIZO, MAONYO na MAFUNDISHO ya Neno La Mungu. Soma: 2 Timotheo 3:16-17. Soma tena: Yohane 8:32 Lengo la Kipindi hiki ni, kuwaelimisha watu wa Mungu, katika Neno la Mungu. Kwakuwa Biblia ina sema katika: Methali 12:1. Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama. Kwahio kila Mkristo ana karibishwa katika kipindi hiki, cha ...
  continue reading
 
Artwork
 
Utashi wa Kihisia ni uwezo wa kudhibiti na kuratibu hisia zako ili zilete mguso chanya katika nafsi yako. Katika podcast hii utajifunza namna bora na sheria za kinafsi, kujenga na kujiimarisha katika utashi wa Kihisia
  continue reading
 
Artwork

1
MAELEZO PODCASTS

Tanzania Information Services Department, Habari-MAELEZO

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
Sikiliza MAELEZO PODCASTS (Podcasts za Kiswahili kutoka Idara ya Habari MAELEZO, Tanzania) kupata taarifa na matukio mbalimbali nchini Tanzania. Idara ya Habari (MAELEZO) ipo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ikiwa na jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, mipango na miradi ya maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya Sera na Sheria za habari.
  continue reading
 
Artwork

1
Dyking Out - a Lesbian and LGBTQIA Podcast for Everyone!

Dyking Out - a Lesbian and LGBTQ Podcast for Everyone!

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly+
 
Hosted by New York City-based comedians Carolyn Bergier & Melody Kamali, Dyking Out is a podcast about lesbian / queer life, news, and pop culture. Each week, Carolyn and Melody invite a special guest (comedians, musicians, actors, crushes) to dyke out with them about a topic that's relevant to the LGBTQIA world. But really, it's just another way to advance the gay agenda.
  continue reading
 
Real-Life Stories of Business Growth and Leadership On this Season of Leaders On The Rise podcast, host Lydia Pierre, CEO of Pierre Branding Group, brings us a show that takes an honest and realistic approach to entrepreneurship and leadership. Lydia, who has almost 20 years of experience in marketing, brand building, communications, and strategic planning for small businesses and non-profits, is also known as The Corporate Socialite®. Her mission is to create and bring sophisticated and pos ...
  continue reading
 
Loading …
show series
 
Unamkumbuka kiongozi wa wa dini Paul Mackenzi anayetuhumiwa kwa kushiwishi waumini wake kususia chakula hadi kufa, ili kukutana na yesu nchini Kenya. Baada ya takriban mwaka moja na mwezi mmoja wa serikali ya Kenya kufukua miili ya waumini waliofariki na kuzikwa katika msiku wa Shakahola na kuzifanyia uchuguzi wa vina saba yaani DNA, serikali sasa …
  continue reading
 
Shirika lisilo la kiserikali la kutetea haki za binadamu la African Futures Lab, lenye makao yake jijini Brussels nchini Ubelgiji, lilizindua ripoti kushinikiza watoto chotara na mama zao kutoka nchini DRC, Rwanda na Burundi, kulipwa fidia, kutambuliwa kuwa raia wa Ubelgiji na kupata haki nyingine za msingi. Wakati wa ukoloni wa nchi ya Ubelgiji kw…
  continue reading
 
Muungano wa madaktari, wauza dawa na madakrati wa meno, KMPDU, ambao unawakilisha zaidi ya wanachama 7,000 uliitisha mgomo Machi 15, ili kudai mishahara iliyocheleweshwa, pamoja na kupewa ajira mara moja kwa madaktari wanafunzi.Mgomo ambao umesababisha hali ya sintofahamu kwa wagonjwa kwa takribani wiki tatu sasa.…
  continue reading
 
Nchini DRC , mara kwa mara jamii ya mbilikimo ama wambute kama wanavyo julikana katika taifa hilo, wamekuwa kilalamikia kile wanachodai kubaguliwa na raia kutoka jamii ya wabantu nchini DRC. Jamii hiyo imekuwa ikidai wameachwa nje kwenue nyadhifa kama vile viongozi wa nyumba 10 hadi cheo cha rais, wanadai hakuna raia kutoka jamii hiyo anashikilia w…
  continue reading
 
Katika makala haya tujahadili dhuluma za kijinsia swala ambalo limekuwa ni donda sugu kwenye familia zetu, na jamii kwa ujumla. Wakili Latifa Njoki na wakili Elizabeth Njambi wote kutoka nchini Kenya wanafafanua swala la mrundiko wa kesi mahakani zinazohusiana na dhuluma za kijinsia na suluhu.By RFI Kiswahili
  continue reading
 
Mashariki mwa DRC , vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu vinazidi kushika kasi hasa mauwaji ya raia, vinavyoendelezwa na makundi ya waasi. Makundi haya ni yale ya ndani na ya kigeni kutoka mataifa jirani ya Uganda "ADF" Sudan kusini "Bororo" na Jamuhuri ya Afrika ya kati "LRA" . Wapiganaji Hao sasa hivi wame fikia hata kiwango cha kushambulia v…
  continue reading
 
Muungano wa wanamziki nchini Kenya (MAAK), unamtaka mwenyekiti wa Shirika la Hakimiliki ya Muziki ya Kenya, Ezekiel Mutua kujiuzulu kutokana na kile wanadai amekuwa akipora peza za wamziki. Kupitia taarifa muungano huo, unasema Mutua amekuwa akijilimbikizia pesa za wasanii huku wahusika wakiendelea kusalia maskini. Ili kufahamu zaidi skiza makala h…
  continue reading
 
Kwenye haya tunajadili hatua viongozi wa dini nchini Kenya kulitaka bunge kuanza uchuguzi wa haraka kuhusiana na madai kwamba kuna njama ya makusudi kueneza sera za ushoga nchini Kenya. Viongozi hao wa dini wanadai kwamba kuna mpango wa ambao tayari umepangwa kupinga vita dhidi ya mashoga na wasagaji, na watu wanaodai kutetea haki za mashoga, hulka…
  continue reading
 
Katika makala haya tunapiga darubini kuangazia haki za raia wa DRC wakati wa kipindi cha kampeini za uchaguzi, na baada ya uchaguzi. Mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu Mapendo Kusudi alifanya mazungumzo kupitia njia ya simu na mwandishi wetu Benson Wakoli. Kufahamu zaidi skiza makala haya.By RFI Kiswahili
  continue reading
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na wageni mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Chinangali ,Mhe Rais ameitaka wizara ya sheria na katiba pamoja na wadau wa sheria nchini kuzingatia utendaji kwa haki ili kufikia adhima ya…
  continue reading
 
Katika haya tunaangazia haki ya watoto kupata elimu ambapo utaskia kwa wadau mbalimbali walioazisha kutuo cha elimu cha Fizi kinatoa elimu ya somo la kifaransa nchini Kenya kwa watoto wakimbizi kutoka nchini DRC , Rwanda na Burundi. Kituo hiki kilianzishwa mwaka 2014 lengo likiwa kuwasaidia watoto wakimbikizi kutoka mataifa ya Rwanda, Burundi na Ja…
  continue reading
 
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Human Right Watch limetuhumu jamii ya kimataifa kwa kukosa kushughulikia vita vinavyoendelea nchini Sudan. Kwa mjibu wa ripoti ya kila mwaka ya shirika hilo, jamii ya kimataifa haijafanya juhudi za kutosha kushawishi pande hasimu nchini Sudan Kusitsha vita. Ili Kufahamu negi zaidi skiza makala haya.…
  continue reading
 
Visa vya raia kupotea na kisha kuonekana baada ya siku kadhaa nchini Kenya si vipya tena, hili likishuhudia mara kwa mara nchini Kenya, polisi wakituhumiwa kuhusika kwenye visa hivi lakini je tume ya haki za binadamu nchini Kenya inafahamu hili? na je nchini Tanzania hali ya hali za haki za binadamu ipo je? Maswali haya yanajibiwa ndani ya makala.…
  continue reading
 
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi UNHCR, limeonya kuwa mashirika ya misaada yanakabiliwa na uhaba wa fedha, na kwamba yanahitaji dola milioni 400 kufikia mwisho wa mwaka huu. Katika kongamano la siku tatu kuhusu wakimbizi huko Geneva, Wiki iliyopita, Mkuu wa shirika hilo Filippo Grandi, alisema asilimia 75 ya wakimbizi wanaish…
  continue reading
 
Tarehe 3 Disemba mwaka huu, dunia iliadhimisha Siku ya Kimataifa ya watu wanaoishi na ulemavu. Siku hii iliasisiwa mwaka 1992 na umoja wa mataifa. Nchini Kenya, siku hii ilifana sana huku sherehe ikiandaliwa katika maeneo mbalimbali. Katika eneo la Dagoreti, jijini Nairobi, tulikutana na Grace Wanjiku Maina ambaye alizaliwa na ulimavu lakini amejiz…
  continue reading
 
Mtandao wa Taasisi za Kitaifa za Haki za Kibinadamu za Kiafrika (NHRI)kwa ushirikiano na Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu ya Kenya (KNCHR) pamoja na Taasisi ya Sheria ya Kibinadamu na Haki za Kibinadamu ya Raoul Wallenberg iliyo na makao yake makuu nchini Sweden iliandaa warsha ya kutathmini miradi kuhusu mafunzo ya Haki za Kibinadamu barani A…
  continue reading
 
Kila mwaka dunia hutumia siku 16 kuadhimisha mapambano ya kupinga ukatili wa kijinsia hasa kwa wanawake na watoto . Umoja wa mataifa huongoza kampeni hii na hufanyika kuanzia tarehe 25 Novemba na kumalizika tarehe 10 Desemba ya kila mwaka kwa ajili ya kupinga ukatili na kutetea haki za wanawake. Siku hiyo ilianza kuadhimishwa rasmi mwaka 1991 na ta…
  continue reading
 
Ujio wa mitandao umekuja na masaibu mengi tu, licha ya manufaa mengi, katika makala haya Benson Wakoli anakamilisha mahojiano yake na mwandishi wa kitabu cha Parenting in Dijital Era, yaani uzazi kipindi hiki cha kidijiti, bwana Paul Braine kuhusu manufaa na hasara za mitandao. Ili kufahamu mengi skiza makala haya.…
  continue reading
 
Paul Braine mwandishi wa vitabu nchini Kenya, amechapisha kitabu kinachoangazia haki za watoto kulelewa kipindi hiki cha dijitali na jukumu la wazazi kuwalea watoto kipindi hiki. Benson Wakoli amezungumza naye kuangazia haki za kila pande yaani watoto na wazazi katika makala haya ya Jua Haki Zako. Kwa mengi zaidi skiza makala haya.…
  continue reading
 
Katika makala haya tunajadili hatua ya serikali nchini kenya kubomoa makaazi ya raia wanaodiwa kujenga nyumba zao kwenye ardhi ya serikali, ambayo inamilikiwa na kampuni ya simiti ya East African Portland cement. Kwa mjibu wa kampuni ya simiti ya East African Portland cement, raia waliojenga kwenye ardhi inayodai kuwa yake walikuwa wameonya dhidi y…
  continue reading
 
Nchini DRC raia wanajitarayarisha kushiriki uchaguzi mkuu mwezi disemba ambapo watapata fulsa kuwachagua wabunge pamoja na rais. Katika mantiki haya mwanaharakati ambaye sasa ni mwanasiasa Pascal Mpenda anafafanua ni vipi raia wa DRC wanapaswa kutumia haki yao ya kikatiba kuwachagua viongozi. Kwa mengi zaidi skiza makala haya.…
  continue reading
 
We support the writer's strike! Check out this recent article featuring Brittani about why queer folks should support the strike: https://www.out.com/gay-tv-shows/wga-brittani-nichols-writers-strike 33:36:31 As a reminder, you can listen to past Dyking Off Topic episodes with Carolyn and Melody on our Patreon for $5/month. Sponsored by BetterHelp O…
  continue reading
 
Some of us truly live for the applause, and this week's guest will not shy away from that fact. Comedian and performer Emily Dayton Evans joins us to talk about her journey from fragile human to saliva-swapping comedian. Did you know it was possible to grown up in Vermont without a driver's license? Are walkie talkies a couples' gift or intended fo…
  continue reading
 
Listen to Liz Glazer's comedy album A Very Particular Experience Enjoy this episode of a FANTASTIC podcast, You Might Know Her From with Anne Rodeman and Damien Bellino featuring an interview with actress Jen Tullock (Interview starts at 14:56) As a reminder, you can listen to past Dyking Off Topic episodes with Carolyn and Melody on our Patreon fo…
  continue reading
 
Phil Corin's ep of Love's A Pitch. As a reminder, you can listen to past Dyking Off Topic episodes with Carolyn and Melody on our Patreon for $5/month. Sponsored by BetterHelp Online Therapy: As a listener, you’ll get 10% off your first month by visiting our sponsor at betterhelp.com/do Sponsored by Nutrafol: Get free shipping on every order and $1…
  continue reading
 
In this episode, Lydia interviews Brittney Canter-Barbe, founder of PowHER, as they discuss the concept of claiming your power in every aspect of life, from the workplace to personal relationships. Brittney emphasizes the importance of having a personal board of directors, a group of trusted advisors who offer insights and expertise to help individ…
  continue reading
 
In this episode of Leaders On The Rise, host Lydia Pierre has a conversation with Sheria Stallings, the Founder and Managing Director of She Soars LLC. She Soars is a Transformational Leadership and Professional Development Organization that helps women identify blind spots that create barriers to their success. Lydia and Sheria discuss the importa…
  continue reading
 
In this episode of the podcast, Lydia interviews Pete Moore, the Founder, Managing Partner, and Chief Dream Architect at Integrity Square, a financial advisory firm focused on the $4.7T Health, Active Lifestyle, Outdoor ("HALO") sector. They discuss the HALO lifestyle, which represents Health, Active Lifestyle, and Outdoors, and how it is redefinin…
  continue reading
 
In this episode, Lydia interviews Katie McConnell Olson, Founder and CEO of GrowthWise Search Partners and Hire Education Consulting Group, Inc. Katie shares her experience in serving clients of all sizes and industries in consulting roles and on internal teams within organizations, with a focus on middle market companies. Katie started her career …
  continue reading
 
In this episode, Lydia interviews Alisa Applewhite, the CEO of Top of The Line Healthcare Staffing and the owner of three businesses. They discussed Alisa's passion for caring for those who care for others, her "Heart of Gold" philosophy, and her vision to make all facilities Top of The Line with nothing but the Top of The Line Staff. Alisa has bee…
  continue reading
 
In this episode of "Leaders on the Rise," host Lydia Pierre speaks with Dr. Steve Pearlman, founder of The Critical Thinking Institute, about the importance of critical thinking in today's world. Steve shares his belief that critical thinking is our greatest asset and secret weapon as humans, but many people fail to leverage it to its full potentia…
  continue reading
 
In this episode of "Leaders on the Rise," host Lydia Pierre sits down with Scott Royal Smith, the founder of Royal Legal Solutions, to discuss the power of mindset in achieving success and true freedom in life. Scott shares his experience as a former litigator and how it has informed his work in helping individuals protect their assets and save mon…
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide