Hali ya haki za binadamu nchini Kenya na Tanzania
Manage episode 394306796 series 1220196
Visa vya raia kupotea na kisha kuonekana baada ya siku kadhaa nchini Kenya si vipya tena, hili likishuhudia mara kwa mara nchini Kenya, polisi wakituhumiwa kuhusika kwenye visa hivi
lakini je tume ya haki za binadamu nchini Kenya inafahamu hili? na je nchini Tanzania hali ya hali za haki za binadamu ipo je?
Maswali haya yanajibiwa ndani ya makala.
24 episodes