24 hour early access and AD-FREE episodes available on Patreon You can access my mailing list, workshops, and other resources I have available at https://linktr.ee/cptsdtherapist You can email me cptsdtherapist@gmail.com for any inquiries Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/complextraumarecovery/support
…
continue reading
Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.
…
continue reading
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo.
…
continue reading
Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.
…
continue reading
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
…
continue reading
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
…
continue reading
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha. Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika. Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi. Hakikisha unafollow ...
…
continue reading
todays podcast, cyberbulling with Rebbeca Ruby. Cover art photo provided by Dmitriy Tyukov on Unsplash: https://unsplash.com/@tyukov
…
continue reading
En podcast om digitala fenomen i Kina. Den digitala Draken är en subjektiv men oberoende skildring av den digitala utveckling av tjänster i Kina, som produceras tillsammans med Svenska Dagbladet, SvD.
…
continue reading
Stories about science and nature from out in the field and inside the labs across Aotearoa New Zealand. Winner 2022 New Zealand Radio Awards Best Factual Podcast - Episodic
…
continue reading
Welcome to the CC Tech Connect podcast, a monthly podcast to inform, prepare, and inspire teachers to integrate technology into the classroom to equip students with 21st century skills for lifelong learning and success. Hello, I'm Leann Bryan, and I'm Kina Teaford, and we are are the Calhoun County Schools district technology coaches.
…
continue reading
Good tennis podcasts are hard to come by. Insanity happens when a washed up high school tennis star (Daniel Kinas) and a guy who tried his best (Frank Todd) relive the good ole days, have wild conversations with guests, and preview the tournaments and other sporting events to come. Episodes released every Tuesday and Friday.
…
continue reading
Deadly Manners is a 10 episode, dark comedy murder-mystery series set in the winter of 1954. It follows the events during the night of the affluent Billings family annual dinner party with their distinguished, eccentric guests. However, all is not fun and games as shortly after the party starts, a snowstorm begins to rage outside, trapping all the partygoers inside their host’s mansion. When a murderer starts killing off those in attendance, the guests must figure out who is responsible, or ...
…
continue reading
ALTBAYS Show invites awesome people from Aotearoa, New Zealand, to have an honest, laid-back conversation. We are passionate about real-life stories and a good laugh. Our platform focuses on bringing communities together to grow and thrive.
…
continue reading
Join the K-Talk team and special guests for a celebration of Korean culture and music. Every Second Tuesday on OAR FM’s Connecting Cultures Zone. Brought to you by the Dunedin Korean Language & Culture Society.
…
continue reading
Whether you keep them in your home, or love to see them in theirs, these are the creatures that bring us all together - REPTILES!! We are going to be delving into the experiences of reptile lovers from around the block and around the world. THIS is the Reptile Talk Podcast!
…
continue reading
Prospect research professionals share their stories, tips, and commentary on topics that affect our fundraising work and our lives. We also sneak in guests from outside our field to shake up our perspective on fundraising and prospect research.
…
continue reading
Welcome to ”God’s Heathen Child” podcast, the ultimate destination for all things relationships, sensuality, BDSM, love, trust, and commitment, served with a side of witty humor and an urban twist. Get ready to embark on a hilarious and enlightening journey as we dive deep into the complexities of modern-day connections. Join our hosts as they fearlessly navigate the landscape of human relationships, debunking common myths, and providing a fresh perspective on the sensual side of life. With ...
…
continue reading
TechPodden är den svenska podden som går igenom veckan nyheter från tech- och tech-relaterade områden på en nivå för alla. Podden produceras av Oskar Areskog med gäster. Nytt avsnitt varje söndag!
…
continue reading
A podcast celebrating everyday activists who are disrupting, deconstructing, and dismantling racism.
…
continue reading
Welcome to Real Estate Success Podcast! We interview top practitioners in Real Estate Sales. and Real Estate Investments. Check out our website http://www.realestatesuccesspodcast.com
…
continue reading
The Menagerie is a roll20 dnd 5e game run by me as DM and a group of my lovely friends. Two parties traverse the bizarre world they have woken up in. They do not remember who they were, besides their name and skills, or where they came from - let alone why they are there.
…
continue reading
Go behind the scenes of Neal Sáles-Griffin's quest to become mayor of Chicago. Follow along as a first-time candidate navigates the byzantine world of Chicago politics, and hear from Neal's colleagues, friends, family—and Neal himself.
…
continue reading
Join historian Lettie Gore as she examines what history shows us and makes critical connections between the past and present. Lettie’s passion for history and educating about the truth can be heard and felt through her engaging discussions about racism, current events, racial justice, and politics in a time when historical background needs to meet current realities. Her perspective and delivery are unique, direct, and just what you need to hear.
…
continue reading
Podcast by Business och allt om ingenting
…
continue reading
The Swedish Institute of International Affairs (Utrikespolitiska institutet - UI) is an independent institute and a platform for research and information on international relations and foreign policy. The Institute's mission is to inform and enrich the public debate by promoting interest in and knowledge of international relations and foreign policy. This mission is pursued through our research, seminars, Utrikesmagasinet (UI's online forum for analysis and opinion) and by presence in the me ...
…
continue reading
A new season is coming with Casey Anderson and Vanessa Boshoff as they talk about the wild world and extraordinary events that involve the intersection and coexistence with all things nature. This includes interviews with experts and ordinary people who have had extreme encounters in the wild. More creative conversations are to come, so make sure to subscribe and support us on our Patreon page for exclusive content www.patreon.com/visionhawkfilms Watch on https://www.caseyanderson.tv/videos
…
continue reading
The Finnish Institute in London is an expert on Finnish culture and society, working in the United Kingdom and the Republic of Ireland. We identify signals of change in the fields of art, culture and society and support new perspectives to contemporary issues.
…
continue reading
1
Olimpiki: Nigeria na Zambia zafuzu mashindano ya Olimpiki soka ya kina dada
23:55
23:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:55
Kwenye makala haya utasikiliza uchambuzi wa mechi za kufuzu soka ya kina dada Olimpiki na shirikisho la riadha duniani kuwa shirikisho la kwanza kutoa tuzo za fedha, maandalizi kuelekea riadha za KipKeino Classic, mkusanyiko wa michezo DRC, uchambuzi wa mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Tiger Woods na Novak Djokovic waweka historia kubwa dunia…
…
continue reading
1
Dion Aupouri-Akuhata (Commercial Kina Diver/Coasty Kidds) - ALTBAYS Table Talk #262
1:31:25
1:31:25
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:31:25
Are you a kina fan? Did you know that the global kina industry is worth half a billion dollars a year? Dion is a commercial kina diver passionate about the moana. He was a part of the TV show ‘Spiky Gold Hunters’ and alongside his partner Reremoana, runs the successful Coasty Kidds, which is all about teaching the next generation how to look after …
…
continue reading
1
Tanzania yaadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika ,mafuriko yaripotiwa Kenya
19:51
19:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:51
Makala haya yanaangazia yaliyojiri nchini Kenya na Tanzania kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha vifo vya watu zaidi ya 70 ,mgomo wa madaktari nchini Kenya, Tanzania kuadhimisha miaka 60 tangu kuundwa kwa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, safari za wahamiaji walioko nchini Uingereza kuelekea nchini Rwanda Tutaangazia pia uchaguzi wa wabunge nch…
…
continue reading
1
Kongamano la kimataifa la kidijitali la Connected Africa Summit lamalizika Nairobi, na kupendekeza mengi yatakayonifaisha vijana. - Aprili 26, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Dunia inaadhimisha siku ya Malaria kwa kauli mbiu "Kuharakisha mapambano dhidi ya Malaria kwa dunia yenye usawa zaidi". - Aprili 25, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
Turning the tide – what it takes to take out rats
29:16
29:16
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:16
Kate Evans visits a passionate team as they carpet a remote volcanic island in Tonga with poisoned bait, hoping to eradicate rats. What does it take to complete this kind of project, what are the chances of success, and what will it mean for the island’s ecosystems if they manage to remove the rats once and for all?…
…
continue reading
1
Edwik anaeleza mafunzo aliyopata ya kuwalinda watoto wakati wa majanga katika warsha iliyoandaliwa na Raising Up Friendship ya Tanzania. - Aprili 24, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
Kuongeza miundombinu ya mawasiliano katika maeneo ya vijijini ni moja ya njia ya kumpa fursa mwanamke wa kijijini sawa na wa mjini - Aprili 23, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
By VOA
…
continue reading
1
Tessa Rao (Kiwi Actress) - ALTBAYS Table Talk #265
1:23:39
1:23:39
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:23:39
Did you used to watch Power Rangers as a child? Or maybe you’re still a fan of the series? Tessa is a Kiwi actress who starred as Izzy Garcia, the Green Ranger on Netflix’s “Power Rangers: Dino Fury,” which has been renewed for its 3rd season, “Cosmic Fury.” She is also a multi-disciplinary writer, singer/songwriter, and musician who trained at the…
…
continue reading
1
Ajali za barabara Afrika huchangiwa na utepetevu, kasi na msongo wa mawazo
10:25
10:25
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:25
Ajali za barabara huchangia vifo vingi vya watu walio katika umri kati ya miaka mitano hadi 29 kwa mujibu wa WHO Uchunguzi unaofanywa baada ya ajali huonesha madereva wengi hulaumi kufeli kwa breki ilhali wengi wana msongo wa mawazo ,imesema mamlaka ya usalama barabarani nchini Kenya ,National Transport and Safety Authority. Ongezeko la magari,mchi…
…
continue reading
1
Je ni njia ipi inayofaa zaidi katika kutoa ushauri nasaha? Ni ya moja kwa moja au ya kimitandao? Mtaalam atoa maoni. - Aprili 22, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
KipKeino Classic: Mmarekani Kenneth Bednarek ashinda mbio za mita 100
23:51
23:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:51
Tuliyokuandalia hii leo ni pamoja na matokeo ya riadha za KipKeino Classic, uchambuzi wa debi la Tanzania na Mashemeji nchini Kenya, mabondia 11 wa DRC wafuzu nusu fainali ya michuano ya African Boxing Cup, matokeo ya ligi ya basketboli Afrika mkondo wa Nile na Ligi ya Mabingwa barani UlayaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mkuu wa majeshi ya Kenya Francis Ogolla aaga dunia, ziara ya wajumbe wa EU DRC
20:07
20:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:07
Makala hii inaangazia yaliyojiri nchini Kenya na kifo cha mkuu wa majeshi ya nchi hiyo KDF aliyepoteza maisha na maafdisa wengine tisa wa jeshi katika ajali ya helikopta Alhamisi Aprili 18, rais William Ruto alitangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa, mgomo wa wafanyabiashara huko Kampala Uganda, ziara ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa na EU huko Go…
…
continue reading
1
Jamii imewaahidi vijana kuwa ni viongozi wa kesho. Je hilo limetimizwa au la? Vijana wanatoa maoni. - Aprili 19, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Njia Rahisi Ya Kujenga Uwezo Wa Kujiamini Ndani Ya Dakika 3...!
6:27
6:27
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
6:27
Unahitaji sana kujiamini kuliko unavyofikiri, episode ya dakika 6 itakusaidia kuongeza uwezo wa kujiamini kwa njia rahisi kabisa.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message
…
continue reading
1
Nini mtazamo wa wanaharakati wa haki za binadamu hukusu mizozo kati ya wanandoa na wapenzi kutokana na fedha? - Aprili 18, 2024
30:00
30:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
30:00
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Amber Taylor (ARA Journeys CEO/Tech Pioneer) - ALTBAYS Table Talk #264
1:13:44
1:13:44
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:13:44
Do you love video games? Ever wondered how they're made? Meet Amber Taylor, an influential entrepreneur, CEO, and Co-Founder of ARA Journeys. She advocates for diversity in the tech industry and has led her company in creating innovative and transformative platforms that combine immersive technologies and artificial intelligence with the knowledge …
…
continue reading
1
Summer 34 – Three decades of albatross research
29:27
29:27
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:27
Journalist Rebekah White meets two people who have been counting albatrosses on remote islands in the subantarctic for more than three decades. Their research shows that at least one species is en route to extinction. A few changes to the way we fish could save it.
…
continue reading
1
Watu wengi wanajikuta na magonjwa ya figo na ini,watoto wengi Sudan wakiaga
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
Kuna ongezeko la magonjwa ya figo na ini kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO inabashiri kuwa ongezeko hilo litakuwa juu zaidi kufikia mwaka 2030 ,hali hii ikichangiwa na hali ya maisha haswa ya raia katika nchi zinazoendelea Ugonjwa wa ini maarufu Hepatitis pia ni tishio kubwa haswa kwa raia wa Afrika ambayo inachangia asilimia 63 ya visa vya…
…
continue reading
1
Umoja wa Mataifa wasema kuwa mashirika ya kimataifa ya wanawake ulimwenguni yapo kwenye hatari ya kuingiliwa kisiasa. - Aprili 17, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Uraibu wa dawa za kulevya waripotiwa kuongezeka kwa kiasi kikubwa Mombasa. Wataalam wanasemaje? - Aprili 16, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Denis Tegg (Former Regional Councillor/Lawyer) - ALTBAYS Table Talk #263
1:28:03
1:28:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:28:03
Do you know what the Fast Track Bill that the NZ government is seeking to approve in three days is, and how it can affect you? Denis Tegg, a lawyer and former Regional Councillor who’s been advocating for the environment for many years, comes to the ALTBAYS Table Talk to chat with Roimata Taimana and Leo Magri about the Fast Track Bill, coastal haz…
…
continue reading
1
16-04-2024 - K-Talk - Why you should join DKLCS
25:58
25:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
25:58
Tākarea gives the inside scoop of the new things going on in the society, and encourages new people to join by combating worries they may have. This show was broadcast on OAR 105.4FM Dunedin - oar.org.nz
…
continue reading
1
Religious Trauma and Deconstruction with guest therapist Miami Zarauskas
1:02:00
1:02:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:02:00
You can find Miami and all Kina’s resources here https://linktr.ee/cptsdtherapist --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/complextraumarecovery/support
…
continue reading
1
Vijana wa Afrika mashariki wanazungumzia mitandao ya kijamii inavyoficha uhalisia wa maisha ya mtaani. - Aprili 15, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
Kama Haupendi Kusoma VITABU Fanya Hivi Kupata Maarifa Kiurahisi...!
8:26
8:26
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:26
Upende au usipende unahitaji sana maarifa na taarifa kupitia kujifunza, umejaribu kusoma vitabu umeshindwa? Basi episode hii itakusaidia kujua sehemu gani rahisi unaweza kupata maarifa kiurahisi kwenye eneo lolote na upige hatua kwenye maisha yako.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message…
…
continue reading
1
Miaka 30 ya mauaji ya kimbari Rwanda, UN yaondoa jeshi lake DRC na mengineyo duniani
20:15
20:15
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:15
Makala yameangazia mambo mengi ikiwemo maadhimisho ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi yanaendelea wiki hii, MONUSCO kuanza kuwaondoa wanajeshi wake eneo la mashariki mwa DRC, mgomo wa madaktari nchini Kenya, mwaka mmoja wa mzozo wa Sudani kutimia jumatatu ya aprili 15 na mengineyo duniani. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kup…
…
continue reading
1
Mafuriko yamesababisha vifo na uharibifu Tanzania. Wafanyabiashara wamegoma Uganda. - Aprili 12, 2024
30:00
30:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
30:00
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Episode ONE HUNDRED TWENTY EIGHT - Rob and Jeremy (Season Updates)
1:17:08
1:17:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:17:08
We’re back this week with an episode of Rob and I talking about various topics within the industry, and perhaps a little info on what’s heading to the incubator this year as well! Don’t miss it! Reptile Talk is Sponsored by: BLACK BOX CAGES **USE CODE - REPTILETALK and SAVE on your next order!!! ** Website: https://bit.ly/BLKBox IG: https://bit.ly/…
…
continue reading
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo. VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma k…
…
continue reading
1
Wataalamu: Uchumi Samawati utumiwe vizuri kwa maendeleo endelevu
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02
Kulingana na Benki ya Maendeleo ya Afrika, uchumi wa bluu barani Afrika una uwezo wa kuchangia pakubwa katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya bara hilo. Uchumi wa bluu unatajwa kuchangia dola za Marekani trilioni 1 kila mwaka, Sekta ya uvuvi ikiwa kitovu kikuu na kuajiri zaidi ya watu milioni 12. Profesa Omary Mbura, mtaalamu na mhadhiri wa masual…
…
continue reading
1
Taking on water - marine protection in Aotearoa
30:51
30:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
30:51
New Zealand once led the world in marine protection. Now it looks like we will fail to meet our international promise to protect 30 percent of our ocean estate by 2030. Why is stopping fishing so politically fraught? How might our ideas about marine protection need to change? And why, when our seas are in need, is it taking us so long to learn to t…
…
continue reading
1
Wasikilizaji waeleza namna wanavyoendelea kusherehekea Eid, kutoka sehemu mbali mbali. - Aprili 10, 2024
29:58
29:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:58
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Uhitaji wa huduma za dharura za afya washika kasi ukanda wa Afrika
9:55
9:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:55
Shirika la AMREF Flying doctors linaonya kuwa mlipuko wa magonjwa yasiyoambukizwa yanazidi kuongeza uhitaji huku wigo la kupanua biashara likitanuka piaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
The Heathens gives thanks to the viewers and listeners! They also touch on the importance of collaborations and continued support of local small businesses. They give some history on hoe the story began of each of the Heathens and how it has shaped their paths today. Tune in to this weeks celebration of our 10 episode!!! MOMMA WE MADE IT🥳🥳🤩🤩🤩…
…
continue reading
1
Wasikilizaji wazungmzia namna mwezi mtukufu wa Ramadan ilivyokuwa mwaka huu, na matarajio yao baada ya kufungua. - Aprili 09, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
1
Rachel Atlas (Sword Swallower & Writer) - ALTBAYS Table Talk #261
1:15:54
1:15:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:15:54
Are you brave enough to be your knife thrower partner’s assistant? What about daring to swallow a sword as a party trick? Rachel Atlas, an international circus performer and writer, has showcased her talents in over 18 countries across 4 continents. She was part of Ozzfest and, in 2022, debuted her autobiographical solo theatre show, 'Gag Reflex,' …
…
continue reading
1
Namna Rahisi Ya Kujenga NIDHAMU YA KAZI Na Ufanikiwe Zaidi Maishani...!
7:17
7:17
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
7:17
Hivi unajua Nidhamu ya kazi ndiyo inatofautisha wafanyakazi makini na wafanyakazi wakawaida. Kiwango cha mafanikio yako inategemea Sana kiwango cha nidhamu binafsi.--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maishanikuthubutu/message
…
continue reading
1
Vijana wanaeleza changamoto zinazowakabili kupata bima ya Afya wakati kauli mbiu ya WHO katika siku ya Afya inasema Afya Yangu, Haki Yangu - Aprili 08, 2024
30:00
30:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
30:00
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
CAFCL:Simba na Yanga zabanduliwa michuano ya Klabu Bingwa Afrika
23:45
23:45
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:45
Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na uchambuzi wa hatua ya robo fainali mkondo wa pili michuano ya Klabu Bingwa Afrika, matokeo ya kufuzu soka Olimpiki ya kina dada, mwanasoka wa Afrika Kusini kuuawa, PSG Academy yatoa mafunzo kwa makocha nchini Rwanda, Kenya yatangaza orodha yake ya wanariadha wa mbio za Marathon kwenye Olimpiki ya mwaka huu,…
…
continue reading
1
Maadhimisho ya miaka 30 mauaji ya kimbari nchini Rwanda, uteuzi wa waziri mkuu mpya DRC
20:18
20:18
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:18
Ni makala maalum, kuhusu kumbukumbu ya miaka 30 ya mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994, tunahoji mchakato wa maridhiano umefikia wapi miaka 30 baadaye..... hali iko vipi kwa sasa. na dunia imepata somo gani? Pia kuhusu mauaji hayo, tutarejelea kauli ya Rais Emanuel Macron iliyoonekana kuwa inalenga kutuliza hisia za waathiriwa. Huko DRC uteu…
…
continue reading
1
Rwanda yafanya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 30 tangu kuzuka kwa mauaji ya kimbari Aprili 1994. - Aprili 05, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.By VOA
…
continue reading
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo. VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma k…
…
continue reading
1
A tale of two islands – erect-crested penguins
28:00
28:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
28:00
The Bounty Islands are tiny in terms of area – just some bits of granite jutting out of the ocean. But they are huge in terms of seabirds. James Frankham joins a team researching the erect-crested penguins who breed in this remote archipelago. Recent counts suggest the penguins of the Bounties are doing fine. But this is not the case on the Antipod…
…
continue reading
1
Utapiamlo waibuka Zanzibar na serikali inafanya juhudi kusitisha tatizo hili ikishirikiana na taasisi zisizo za kiserikali katika maeneo - Aprili 03, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading
1
Wanawake mashariki mwa DRC wanasema Waziri Mkuu mpya wa kwanza mwanamke nchini humo anatazamiwa kutetea haki za wanawake na kuleta amani. - Aprili 02, 2024
29:59
29:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
29:59
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.By VOA
…
continue reading