02 AGOSTI 2024
MP3•Episode home
Manage episode 432135749 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Leah Mushi anakuletea -Joto laua watu 175,000 barani Ulaya kila mwaka, na idadi yaweza kuongezeka limesema leo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO-Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, watoto milioni 3.6 wanakabiliwa na utapiamlo mkali nchini Sudan-Katika makala Afrika ina asilimia 28 ya watoto wenye utipwatipwa duniani walio na umri wa chini ya miaka 5. Sasa mashirika ya Umoja wa Mataifa ya WHO, UNICEF, na Muungano wa Afrika wanapambana na tatizo hilo la kimataifa-Na katika mashinani shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP limesema limeongeza hatua za dharura za kusaidia wananchi waliokumbwa na baa la njaa Darfur Sudan
…
continue reading
104 episodes