Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

06 AGOSTI 2024

10:27
 
Share
 

Manage episode 432889898 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea -Baada ya wiki kadhaa za maandamano makubwa na machafuko yaliyosababisha vifo vya zaidi ya vijana na raia 300 #Bangladesh sasa Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini humo Gwyn Lewis, amesema kufikia leo utulivu kiasi umerejea nchini Bangladesh -Nchini Uingereza ambako maandamano yaliyochochewa na taarifa potofu na za uongo yanazidi kusambaa Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, Filippo Grandi amesema ghasia hizo ikiwemo dhidi ya wasaka hifadhi zinashtusha na kila mtu bila utofauti wowote ana haki ya kujihisi salama kwenye jamii zao na kuishi huru bila hofu-Leo ikiwa ni miaka 79 tangu MArekani iangushe bomu la atomiki la nyuklia huko Hiroshima nchini Japani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema ni ajabu kuwa silaha hizo na tishio lake la kuzitumia bado havijaondolewa kwenye matumizi. -Mada kwa kina leo inamulika juhudi za Tanzania katika kutumia sayansi na teknolojia kusongesha lengo namba 16 la maendeleo endelevu linalohusu masuala ya sheria na haki.-Na mashinani tunabisha hodi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR katikashule ya Bombouthi ambayo inalishukuru shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa juhudi za kurejesha elimu
  continue reading

104 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 432889898 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea -Baada ya wiki kadhaa za maandamano makubwa na machafuko yaliyosababisha vifo vya zaidi ya vijana na raia 300 #Bangladesh sasa Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini humo Gwyn Lewis, amesema kufikia leo utulivu kiasi umerejea nchini Bangladesh -Nchini Uingereza ambako maandamano yaliyochochewa na taarifa potofu na za uongo yanazidi kusambaa Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, Filippo Grandi amesema ghasia hizo ikiwemo dhidi ya wasaka hifadhi zinashtusha na kila mtu bila utofauti wowote ana haki ya kujihisi salama kwenye jamii zao na kuishi huru bila hofu-Leo ikiwa ni miaka 79 tangu MArekani iangushe bomu la atomiki la nyuklia huko Hiroshima nchini Japani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema ni ajabu kuwa silaha hizo na tishio lake la kuzitumia bado havijaondolewa kwenye matumizi. -Mada kwa kina leo inamulika juhudi za Tanzania katika kutumia sayansi na teknolojia kusongesha lengo namba 16 la maendeleo endelevu linalohusu masuala ya sheria na haki.-Na mashinani tunabisha hodi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR katikashule ya Bombouthi ambayo inalishukuru shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa juhudi za kurejesha elimu
  continue reading

104 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide