Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

11 JULAI 2024

9:59
 
Share
 

Manage episode 428379919 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika yanayojiri katika Jukwaa la kisiasa la ngazi ya juu la Umoja wa Mataifa HLPF kuhusu malengo ya maendeleo endelevu SDGs, ambapo Anold Kayanda alizungumza na Katibu Mkuu Mhandisi Cyprian John Luhemeja wa Ofisi ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zifuatazo..Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya idadi ya watu duniani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake kwa siku hii amehimiza umuhimu wa kuwekeza katika ukusanyaji wa taarifa za watu ili kuweza kufahamu matatizo, kuchambua aina ya suluhu zitakazofaa wakati wa kushughulikia matatizo hayo na kuleta maendeleo kwa haraka.Kwa mara ya kwanza hii leo dunia inaadhimisha siku ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1995 ya Srebrenica ambapo zaidi ya Waislamu 8,000 wa Bosnia waliuawa kikatili, na mabaki yao kuzikwa katika makaburi ya pamoja. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akitoa ujumbe wa siku hii ametahadharisha dhidi ya ukanaji wa maujaji hayo na upotoshaji wa ukweli na kutoa wito wa kuendeleza juhudi za kutambua kila mwathirika.Na tuhitimishie huko mashariki ya kati ambapo Ofisi ya kuratibu wa misaada ya Umoja wa Mataifa OCHA imetoa takwimu za athari za mzozo huko Ukanda wa Magharibi na kueleza kuwa tangu vita kuanza kati ya Israel na Palestina mwezi Oktoba mwaka jana, zaidi ya wapalestina 550 wameuawa, zaidi ya mashambulizi elfu moja ya walowezi dhidi ya wapalestina yamerekodiwa, na takriban watu 1,400, wakiwemo watoto 660, wameyakimbia makazi yao kutokana na ghasia za walowezi na vizuizi.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili le tunakuletea ujumbe wa Balozi wa Burundi akieleza kuhusu anayofikiri itakuwa mikakati mizuri ya kukisongesha Kiswahili duniani hasa kwa kutumia balozi za kiafrika kote duniani na baadaye kuweka msukumo zaidi ndani ya UN.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
  continue reading

100 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 428379919 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika yanayojiri katika Jukwaa la kisiasa la ngazi ya juu la Umoja wa Mataifa HLPF kuhusu malengo ya maendeleo endelevu SDGs, ambapo Anold Kayanda alizungumza na Katibu Mkuu Mhandisi Cyprian John Luhemeja wa Ofisi ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zifuatazo..Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya idadi ya watu duniani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake kwa siku hii amehimiza umuhimu wa kuwekeza katika ukusanyaji wa taarifa za watu ili kuweza kufahamu matatizo, kuchambua aina ya suluhu zitakazofaa wakati wa kushughulikia matatizo hayo na kuleta maendeleo kwa haraka.Kwa mara ya kwanza hii leo dunia inaadhimisha siku ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1995 ya Srebrenica ambapo zaidi ya Waislamu 8,000 wa Bosnia waliuawa kikatili, na mabaki yao kuzikwa katika makaburi ya pamoja. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akitoa ujumbe wa siku hii ametahadharisha dhidi ya ukanaji wa maujaji hayo na upotoshaji wa ukweli na kutoa wito wa kuendeleza juhudi za kutambua kila mwathirika.Na tuhitimishie huko mashariki ya kati ambapo Ofisi ya kuratibu wa misaada ya Umoja wa Mataifa OCHA imetoa takwimu za athari za mzozo huko Ukanda wa Magharibi na kueleza kuwa tangu vita kuanza kati ya Israel na Palestina mwezi Oktoba mwaka jana, zaidi ya wapalestina 550 wameuawa, zaidi ya mashambulizi elfu moja ya walowezi dhidi ya wapalestina yamerekodiwa, na takriban watu 1,400, wakiwemo watoto 660, wameyakimbia makazi yao kutokana na ghasia za walowezi na vizuizi.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili le tunakuletea ujumbe wa Balozi wa Burundi akieleza kuhusu anayofikiri itakuwa mikakati mizuri ya kukisongesha Kiswahili duniani hasa kwa kutumia balozi za kiafrika kote duniani na baadaye kuweka msukumo zaidi ndani ya UN.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
  continue reading

100 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide