Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

16 JULAI 2024

9:59
 
Share
 

Manage episode 429185533 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina kutoka hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa ambapo Gerald Geofrey Mweli, Katibu Mkuu kutoka wizara ya kilimo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuotoa mkutano wa HLPF amezungumza na Flora Nducha. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani.Muda unazidi kuyoyoma kwa raia wanaokabiliwa na njaa nchini Sudan, wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wameonya leo wakati mazungumzo yanayohusisha pande zinazozozana nchini humo yakiendelea mjini Geneva wiki hii.Dharura ya kibinadamu nchini Haiti inahitaji uangalizi wa haraka, Wawakilishi kutoka Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA), Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), na Idara ya Ulinzi wa Raia na Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Ulaya (ECHO) wamesema walipokamilisha ziara ya siku nne nchini humo.Na Cote d'Ivoire ikiwa inakabiliwa na kuongezeka kwa matatizo ya maji na athari za mabadiliko ya tabianchi kwenye rasilimali za maji inazopakana na majirani zake, nchi hiyo sasa imejiunga na Mkataba wa Maji wa Umoja wa Mataifa wa kuboresha usimamizi wa pamoja wa maji katika mipaka.Mashinani ikiwa hivi karibuni dunia imetoka kuadhimisha siku ya idadi ya watu duniani shirika la Umoja wa Mataifa la afya ya uzazi UNFPA likisihi mataifa yote duniani kuelimisha uma kuhusu mchango wa sensa katika malengo ya maendeleo endelevu, nampisha kijana kutoka Mwanza, nchini Tanzania akieleza umuhimu wa sensa katika utendaji wa serikali.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
  continue reading

100 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 429185533 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina kutoka hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa ambapo Gerald Geofrey Mweli, Katibu Mkuu kutoka wizara ya kilimo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuotoa mkutano wa HLPF amezungumza na Flora Nducha. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani.Muda unazidi kuyoyoma kwa raia wanaokabiliwa na njaa nchini Sudan, wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wameonya leo wakati mazungumzo yanayohusisha pande zinazozozana nchini humo yakiendelea mjini Geneva wiki hii.Dharura ya kibinadamu nchini Haiti inahitaji uangalizi wa haraka, Wawakilishi kutoka Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA), Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), na Idara ya Ulinzi wa Raia na Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Ulaya (ECHO) wamesema walipokamilisha ziara ya siku nne nchini humo.Na Cote d'Ivoire ikiwa inakabiliwa na kuongezeka kwa matatizo ya maji na athari za mabadiliko ya tabianchi kwenye rasilimali za maji inazopakana na majirani zake, nchi hiyo sasa imejiunga na Mkataba wa Maji wa Umoja wa Mataifa wa kuboresha usimamizi wa pamoja wa maji katika mipaka.Mashinani ikiwa hivi karibuni dunia imetoka kuadhimisha siku ya idadi ya watu duniani shirika la Umoja wa Mataifa la afya ya uzazi UNFPA likisihi mataifa yote duniani kuelimisha uma kuhusu mchango wa sensa katika malengo ya maendeleo endelevu, nampisha kijana kutoka Mwanza, nchini Tanzania akieleza umuhimu wa sensa katika utendaji wa serikali.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
  continue reading

100 episodes

Усі епізоди

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide