Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

19 JULAI 2024

9:57
 
Share
 

Manage episode 429703155 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunaangazia tishio la polio Gaza, na kauli za chuki zinazoweza kusababisha mauaji ya kimbari na ukosefu wa amani. Makala tunaangazia vijana kutoka Uganda katika mkutano wa HLPF hapa makao makuu, na mashinani tunakupeleka nchini Somalia, kulikoni?Wananchi wa Gaza wakikabiliwa na machungu ya kila namna, kugunduliwa kwa tishio la ugonjwa wa polio unaoambukiza sana unaohusishwa na hali mbaya ya usafi iliyosababishwa na mzozo unaoendelea kumekuwa kama kuongeza chumvi kwenye kidonda.Alice Wairimu Nderitu mashauri maalum wa Umoja wa Mataifa katika kuzuia auaji ya kimbari akizungumza na UN New Kiswahili hivi karibuni na huku akitoa raia kuhusu mauaji hayo na kutaka kila mtu kumakinika na kuchukua hatua.Katika makala Anold Kayanda anazungumza na Monicah Malith mmoja wa vijana waliofika kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuhudhuria Jukwaa la Kisiasa la Ngazi za Juu la Umoja wa Mataifa (HLPF) mwaka 2024. Monicah Malith aliikimbia nchi yake Sudan Kusini na kuingia Kenya. Kupitia makala hii anaeleza kwa nini aliamua kuisoma kozi anayoisoma sasa katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwani ana matumaini kozi hiyo itasaidia kutekeleza Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs.Na mashinani Fosiya Ibarahim Botan mkulima katika kijiji cha Erigavo nchini Somalia akitueleza jinsi shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO, linasaidia wakulima kujikimu kimaisha kupitia msaada wa fedha taslimu, elimu na uundaji wa vyama vya mikopo vya akiba vya vijiji.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
  continue reading

104 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 429703155 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunaangazia tishio la polio Gaza, na kauli za chuki zinazoweza kusababisha mauaji ya kimbari na ukosefu wa amani. Makala tunaangazia vijana kutoka Uganda katika mkutano wa HLPF hapa makao makuu, na mashinani tunakupeleka nchini Somalia, kulikoni?Wananchi wa Gaza wakikabiliwa na machungu ya kila namna, kugunduliwa kwa tishio la ugonjwa wa polio unaoambukiza sana unaohusishwa na hali mbaya ya usafi iliyosababishwa na mzozo unaoendelea kumekuwa kama kuongeza chumvi kwenye kidonda.Alice Wairimu Nderitu mashauri maalum wa Umoja wa Mataifa katika kuzuia auaji ya kimbari akizungumza na UN New Kiswahili hivi karibuni na huku akitoa raia kuhusu mauaji hayo na kutaka kila mtu kumakinika na kuchukua hatua.Katika makala Anold Kayanda anazungumza na Monicah Malith mmoja wa vijana waliofika kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuhudhuria Jukwaa la Kisiasa la Ngazi za Juu la Umoja wa Mataifa (HLPF) mwaka 2024. Monicah Malith aliikimbia nchi yake Sudan Kusini na kuingia Kenya. Kupitia makala hii anaeleza kwa nini aliamua kuisoma kozi anayoisoma sasa katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwani ana matumaini kozi hiyo itasaidia kutekeleza Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs.Na mashinani Fosiya Ibarahim Botan mkulima katika kijiji cha Erigavo nchini Somalia akitueleza jinsi shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO, linasaidia wakulima kujikimu kimaisha kupitia msaada wa fedha taslimu, elimu na uundaji wa vyama vya mikopo vya akiba vya vijiji.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
  continue reading

104 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide