Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

23 JULAI 2024

9:58
 
Share
 

Manage episode 430390386 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo inamulika maoni ya vijana kuhusu SDGs, mmoja wao ni Monicah Malith Mkimbizi nchini Kenya kutoka Sudan Kusini akieleza alichotoka nacho kwenye mkutano wa HLPF. Pia tunakuletea habari kwa ufupi na mashinani.Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu imelaani ukimbizi wa mara kwa mara utokanao na amri za kuhama zinazotolewa na jeshi la Israeli dhidi ya raia huko kaskazini mwa Khan Younis, Ukanda wa Gaza.Barani Afrika, mashambulizi mapya yanayofanywa na vikundi vilivyojihami dhidi ya raia huko mashariki mwa Burkina Faso yamelazimu maelfu ya watu hao kukimbilia nchi jirani ya Niger ili kusaka usalama, wakati huu ambapo hali ya dharura inazidi kushamiri kwenye taifa hilo, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR.Na hatimaye michezo ya olimpiki ya majira ya joto mwaka 2024 inaanza Ijumaa hii huko Paris, UFaransa ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametuma ujumbe wake.Mashinani ikiwa jana Julai 22 Ripoti mpya kuhusu mapambano dhidi ya Ukimwi ilitolewa, hivyonampa fursa Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na ukimwi UNAIDS Winnie Byanyima akitahadhrisha kuhusu kuongeza kasi ya vita dhidi ya ukimwi.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
  continue reading

101 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 430390386 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo inamulika maoni ya vijana kuhusu SDGs, mmoja wao ni Monicah Malith Mkimbizi nchini Kenya kutoka Sudan Kusini akieleza alichotoka nacho kwenye mkutano wa HLPF. Pia tunakuletea habari kwa ufupi na mashinani.Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu imelaani ukimbizi wa mara kwa mara utokanao na amri za kuhama zinazotolewa na jeshi la Israeli dhidi ya raia huko kaskazini mwa Khan Younis, Ukanda wa Gaza.Barani Afrika, mashambulizi mapya yanayofanywa na vikundi vilivyojihami dhidi ya raia huko mashariki mwa Burkina Faso yamelazimu maelfu ya watu hao kukimbilia nchi jirani ya Niger ili kusaka usalama, wakati huu ambapo hali ya dharura inazidi kushamiri kwenye taifa hilo, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR.Na hatimaye michezo ya olimpiki ya majira ya joto mwaka 2024 inaanza Ijumaa hii huko Paris, UFaransa ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametuma ujumbe wake.Mashinani ikiwa jana Julai 22 Ripoti mpya kuhusu mapambano dhidi ya Ukimwi ilitolewa, hivyonampa fursa Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na ukimwi UNAIDS Winnie Byanyima akitahadhrisha kuhusu kuongeza kasi ya vita dhidi ya ukimwi.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
  continue reading

101 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide