27 AGOSTI 2024
MP3•Episode home
Manage episode 436648946 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Kati Jarida la Habari za UN hii leo: Juhudi za WHO kudhibiti Mpox kwa wakimbizi wa ndani mshariki mwa DRC. WHO inasema kugundulika kwa maambukizi ya mpox katika kambi ya wakimbizi wa ndani karibu na Goma kunatia wasiwasi kwani msongamano mkubwa wa watu unaweza kusababisha kuenea zaidi kwa ugonjwa, na mienendo ya watu inaweza kutatiza juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo ndio maana shirika hilo kwa kushirikiana na wadau linachukua kila hatua inayowezekana ili kuudhibiti ugonjwa. Kutoka DRC, George Musubao anaeleza zaidi kupitia video iliyoandaliwa na WHO siku chache zilizopita katika Hospitali Kuu ya Nyiragongo, Kivu kaskazini.Leo mashinani tunakwenda kambi ya wakimbizi ya Nduta mkoani Kigoma nchini Tanzania. Karibu!
…
continue reading
101 episodes