Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

27 JUNI 2024

9:59
 
Share
 

Manage episode 425937274 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ikiangaazia hafla maalum ya UNICEF na wadau wake pamoja na wasanii iliyofanyika Nairobi Kenya, mada ikiwa “Ungana na watoto wa Sudan”. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za maandamano Kenya, Janga la njaa Sudan, na MSMEs. Katika kujifunza kiswahili tunakuletea uchambuzi wa methali.Kufuatia madhila yaliyotokana na maandamano makubwa nchini Kenya dhidi ya mswada wa fedha, leo Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa, OHCHR imeeleza kwamba Kamishina Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk amesikitishwa na vifo na kujeruhiwa kwa watu.Zaidi ya Wasudan milioni 25 yaani zaidi ya nusu ya idadi ya watu wote nchini humo wanakabiliwa na viwango vya juu vya uhaba wa chakula, kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa ya viwango vya Uhakika wa Chakula (IPC) kutokana na tathimini iliyofanywa kati ya mwishoni mwa mwezi Aprili na mapema mwezi huu wa Juni.Na ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya biashara ndogo sana, ndogo na za ukubwa wa kati, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake mahususi kwa ajili ya siku hii amesisitiza jukumu muhimu la wajasiriamali hao katika uchumi wa kimataifa, ikiangaziwa michango yao katika uundaji wa nafasi za kazi, ukuaji wa uchumi, na uwezeshaji wa makundi mbalimbali yaliyotengwa.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Chombo cha kuzama hakina usukani.”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
  continue reading

100 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 425937274 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ikiangaazia hafla maalum ya UNICEF na wadau wake pamoja na wasanii iliyofanyika Nairobi Kenya, mada ikiwa “Ungana na watoto wa Sudan”. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za maandamano Kenya, Janga la njaa Sudan, na MSMEs. Katika kujifunza kiswahili tunakuletea uchambuzi wa methali.Kufuatia madhila yaliyotokana na maandamano makubwa nchini Kenya dhidi ya mswada wa fedha, leo Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa, OHCHR imeeleza kwamba Kamishina Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk amesikitishwa na vifo na kujeruhiwa kwa watu.Zaidi ya Wasudan milioni 25 yaani zaidi ya nusu ya idadi ya watu wote nchini humo wanakabiliwa na viwango vya juu vya uhaba wa chakula, kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa ya viwango vya Uhakika wa Chakula (IPC) kutokana na tathimini iliyofanywa kati ya mwishoni mwa mwezi Aprili na mapema mwezi huu wa Juni.Na ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya biashara ndogo sana, ndogo na za ukubwa wa kati, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake mahususi kwa ajili ya siku hii amesisitiza jukumu muhimu la wajasiriamali hao katika uchumi wa kimataifa, ikiangaziwa michango yao katika uundaji wa nafasi za kazi, ukuaji wa uchumi, na uwezeshaji wa makundi mbalimbali yaliyotengwa.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Chombo cha kuzama hakina usukani.”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
  continue reading

100 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide