Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

Hofu yatanda mzozo Mashariki ya Kati kusambaa zaidi

1:35
 
Share
 

Manage episode 432670935 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Kamishina Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za binadamu Volker Türk leo ameonya juu ya ongezeko la hatari ya kusambaa kwa mzozo Mashariki ya Kati na kuzitaka pande zote husika kutoa kipaumbele cha kuwalinda raia. Flora Nducha na taarifa zaidiAsante Assumpta. Katika taarifa yake fupi iliyotolewa mjini Geneva Uswis Kamishina Mkuu Türk amesema “Nina wasiwasi mkubwa juu ya hatari inayoongezeka ya mzozo mkubwa zaidi Mashariki ya Kati na ninazisihi pande zote husika katika mzozo huu, pamoja na nchi zenye ushawishi, kuchukua hatua za haraka ili kudhibiti hali hii ambayo imekuwa ni ya hatari sana.”Amesisitiza kuwa kwa hali yoyote ile “Haki za binadamu na hasa ulinzi wa raia lazima iwe kipaumbele cha kwanza.”Kamishina Mkuu huyo wa Haki za binadamu amesema tayari, katika kipindi cha miezi 10 iliyopita ya mzozo huo, raia wengi wao wakiwa wanawake na watoto wamevumilia madhila na mateso yasiyoweza kuvumilika kutokana na mabomu na mtutu wa bunduki unaorindima kila uchao.Hivyo amesema “Kila kitu, na ninamaanisha kila kitu, lazima kifanyike ili kuepusha hali hii kusambaa zaidi na kutumbukia kwenye shimo ambalo litakuwa na matokeo mabaya zaidi kwa raia.”Tangu mzozo huo kuanza Oktoba 7 mwaka jana shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA limesema zaidi ya watu 38,000 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 88,000 kujeruhiwa huku mateka zaidi ya 110 bado wanashikiliwa.
  continue reading

104 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 432670935 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Kamishina Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za binadamu Volker Türk leo ameonya juu ya ongezeko la hatari ya kusambaa kwa mzozo Mashariki ya Kati na kuzitaka pande zote husika kutoa kipaumbele cha kuwalinda raia. Flora Nducha na taarifa zaidiAsante Assumpta. Katika taarifa yake fupi iliyotolewa mjini Geneva Uswis Kamishina Mkuu Türk amesema “Nina wasiwasi mkubwa juu ya hatari inayoongezeka ya mzozo mkubwa zaidi Mashariki ya Kati na ninazisihi pande zote husika katika mzozo huu, pamoja na nchi zenye ushawishi, kuchukua hatua za haraka ili kudhibiti hali hii ambayo imekuwa ni ya hatari sana.”Amesisitiza kuwa kwa hali yoyote ile “Haki za binadamu na hasa ulinzi wa raia lazima iwe kipaumbele cha kwanza.”Kamishina Mkuu huyo wa Haki za binadamu amesema tayari, katika kipindi cha miezi 10 iliyopita ya mzozo huo, raia wengi wao wakiwa wanawake na watoto wamevumilia madhila na mateso yasiyoweza kuvumilika kutokana na mabomu na mtutu wa bunduki unaorindima kila uchao.Hivyo amesema “Kila kitu, na ninamaanisha kila kitu, lazima kifanyike ili kuepusha hali hii kusambaa zaidi na kutumbukia kwenye shimo ambalo litakuwa na matokeo mabaya zaidi kwa raia.”Tangu mzozo huo kuanza Oktoba 7 mwaka jana shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA limesema zaidi ya watu 38,000 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 88,000 kujeruhiwa huku mateka zaidi ya 110 bado wanashikiliwa.
  continue reading

104 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide