Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa yaonya kuwa dunia inashindwa kutimiza SDGs

1:37
 
Share
 

Manage episode 426165400 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Bila uwekezaji mkubwa na kuongeza hatua, kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs kutasalia kuwa mgumu, imeonya Ripoti ya mwaka huu 2024 kuhusu mwenendo wa utekelezaji wa malengo hayo ikiwa imesalia miaka sita pekee kufikia muda ambao ulimwengu ulijiwekea kuwa umeyatimiza malengo yote 17.Ripoti hiyo ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo Juni 28 inafichua kuwa ni asilimia 17 tu ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ndio yako katika mwenendo mzuri, huku karibu nusu ikionesha maendeleo madogo au ya wastani, na zaidi ya theluthi moja yamekwama au kurudi nyuma. Athari zinazoendelea za janga la COVID-19, mizozo inayoongezeka, mivutano ya kijiografia na kuongezeka kwa machafuko ya tabianchi kumezuia maendeleo kwa kiasi kikubwa.Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo asubuhi ya leo kwa saa za New York, Marekani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres anasema,"kushindwa kwetu kupata amani, kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na kuongeza fedha za kimataifa kunadhoofisha maendeleo. Ni lazima tuharakishe hatua kwa ajili ya Malengo ya Maendeleo Endelevu na hatuna muda wa kupoteza."Kulingana na ripoti hiyo, watu zaidi ya milioni 23 walisukumwa katika ufukara na zaidi ya watu milioni 100 zaidi walikuwa wakikabiliwa na njaa mwaka wa 2022 ikilinganishwa na mwaka 2019. Idadi ya vifo vya raia katika vita vya kijeshi iliongezeka mwaka jana 2023. Mwaka huo pia ulikuwa wa joto zaidi kuwahi kurekodiwa huku halijoto duniani ikikaribia kiwango cha juu cha nyuzijoto 1.5 za Selsiasi.
  continue reading

100 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 426165400 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Bila uwekezaji mkubwa na kuongeza hatua, kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs kutasalia kuwa mgumu, imeonya Ripoti ya mwaka huu 2024 kuhusu mwenendo wa utekelezaji wa malengo hayo ikiwa imesalia miaka sita pekee kufikia muda ambao ulimwengu ulijiwekea kuwa umeyatimiza malengo yote 17.Ripoti hiyo ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo Juni 28 inafichua kuwa ni asilimia 17 tu ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ndio yako katika mwenendo mzuri, huku karibu nusu ikionesha maendeleo madogo au ya wastani, na zaidi ya theluthi moja yamekwama au kurudi nyuma. Athari zinazoendelea za janga la COVID-19, mizozo inayoongezeka, mivutano ya kijiografia na kuongezeka kwa machafuko ya tabianchi kumezuia maendeleo kwa kiasi kikubwa.Akizungumza wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo asubuhi ya leo kwa saa za New York, Marekani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres anasema,"kushindwa kwetu kupata amani, kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na kuongeza fedha za kimataifa kunadhoofisha maendeleo. Ni lazima tuharakishe hatua kwa ajili ya Malengo ya Maendeleo Endelevu na hatuna muda wa kupoteza."Kulingana na ripoti hiyo, watu zaidi ya milioni 23 walisukumwa katika ufukara na zaidi ya watu milioni 100 zaidi walikuwa wakikabiliwa na njaa mwaka wa 2022 ikilinganishwa na mwaka 2019. Idadi ya vifo vya raia katika vita vya kijeshi iliongezeka mwaka jana 2023. Mwaka huo pia ulikuwa wa joto zaidi kuwahi kurekodiwa huku halijoto duniani ikikaribia kiwango cha juu cha nyuzijoto 1.5 za Selsiasi.
  continue reading

100 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide