Tumefika Sudan kujionea hali halisi- Bi. Amina
MP3•Episode home
Manage episode 437231704 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Sudan, kila uchao ripoti za majanga, mapigano na ukosefu wa huduma za msingi vinaripotiwa wakati huu ambapo mzozo ulioanza mwezi Aprili mwaka jana hadi leo hii, umezidi kutia moto kwenye mafuta na kuyoyomesha matumaini ya kufikia sitisho la mapigano kati ya jeshi la serikali na lile la usaidizi wa haraka, RSF.Umoja wa Mataifa ukaamua kufika mji wa Port Sudan nchini Sudan kujionea hali halisi ya kinachoendelea hasa kwa kuzingatia ufunguzi wa eneo la mpakani wiki iliyopita na hiyo ndio makala yetu leo ikiletwa kwako na Evarist Mapesa.
…
continue reading
101 episodes