Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

Viongozi wa UN wasihi haki ya watu kuandamana Kenya iheshimiwe - Kenya

1:46
 
Share
 

Manage episode 425762814 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Viongozi wa Umoja wa Mataifa wamekazia wito uliotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja huo Antonio Guterres kwa mamlaka za Kenya kufuatia machafuko yaliyotokana na maandamano yaliyoanza nchini humo Juni 18 kupingwa muswada wa fedha wa mwaka 2024. Maandamano yalianza Juni 18, yakiongozwa na vijana wakitaka muswada huo wa fedha ukataliwe wakidai yaliyomo yatasababisha maisha kuwa magumu zaidi.Mathalani ongezeko la kodi kwenye bidhaa muhimu kama vile mkate na taulo za kike, mapendekezo ambayo baadaye yaliondolewa kwenye rasimu na Bunge.Wabunge waliupitisha muswada huo jana Jumanne kitendo kilichochochea maandamano zaidi katika kaunti mbali mbali za Kenya na ambapo vyombo vya habari vinaripoti vifo zaidi ya watu 18, na wengine wamejeruhiwa.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia msemaji wake alisema..“Ni muhimu sana haki za watu kuandamana kwa amani zizingatiwe. Kama tusemavyo duniani kote. Ni muhimu pia mamlaka zihakikishe kuwa haki hizo zinalindwa, na matukio ya vifo mikononi mwa vikosi vya usalama yachunguzwe. Watu wawajibishwe, polisi wa Kenya, mamlaka na jeshi wajizuie, na kwa waandamanaji waandamane kwa amani. »Inger Anderesen ambaye ni Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP pamoja na kuunga mkono kauli ya Katibu Mkuu amesihi mamlaka za Kenya kuhakikisha maandamano ya amani yanaweza kufanyika nchini Kenya.Bi. Andersen amesikitishwa pia na ripoti za vifo na majeruhi na kutuma salamu za rambirambi kwa familia ambazo zimepoteza wapendwa wao.Naye Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Kenya, Stephen Jackson yeye ametumia ukurasa wake wa X kuchapisha ujumbe wa Katibu Mkuu Guterres.Wakati huo huo, Rais wa Kenya William Rutto amehutubia taifa kwa mara ya pili ndani ya chini ya saa 24 na kusema pamoja na kwamba bunge limepitisha na mabadiliko, na wananchi wamezungumza kupitia maandamano kuukataa, ameamua kutotia saini muswada huo na hivyo utaondolewa bungeni na amekubaliana na wabunge kuwa ni uamuzi wao wa pamoja.
  continue reading

100 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 425762814 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Viongozi wa Umoja wa Mataifa wamekazia wito uliotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja huo Antonio Guterres kwa mamlaka za Kenya kufuatia machafuko yaliyotokana na maandamano yaliyoanza nchini humo Juni 18 kupingwa muswada wa fedha wa mwaka 2024. Maandamano yalianza Juni 18, yakiongozwa na vijana wakitaka muswada huo wa fedha ukataliwe wakidai yaliyomo yatasababisha maisha kuwa magumu zaidi.Mathalani ongezeko la kodi kwenye bidhaa muhimu kama vile mkate na taulo za kike, mapendekezo ambayo baadaye yaliondolewa kwenye rasimu na Bunge.Wabunge waliupitisha muswada huo jana Jumanne kitendo kilichochochea maandamano zaidi katika kaunti mbali mbali za Kenya na ambapo vyombo vya habari vinaripoti vifo zaidi ya watu 18, na wengine wamejeruhiwa.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia msemaji wake alisema..“Ni muhimu sana haki za watu kuandamana kwa amani zizingatiwe. Kama tusemavyo duniani kote. Ni muhimu pia mamlaka zihakikishe kuwa haki hizo zinalindwa, na matukio ya vifo mikononi mwa vikosi vya usalama yachunguzwe. Watu wawajibishwe, polisi wa Kenya, mamlaka na jeshi wajizuie, na kwa waandamanaji waandamane kwa amani. »Inger Anderesen ambaye ni Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP pamoja na kuunga mkono kauli ya Katibu Mkuu amesihi mamlaka za Kenya kuhakikisha maandamano ya amani yanaweza kufanyika nchini Kenya.Bi. Andersen amesikitishwa pia na ripoti za vifo na majeruhi na kutuma salamu za rambirambi kwa familia ambazo zimepoteza wapendwa wao.Naye Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Kenya, Stephen Jackson yeye ametumia ukurasa wake wa X kuchapisha ujumbe wa Katibu Mkuu Guterres.Wakati huo huo, Rais wa Kenya William Rutto amehutubia taifa kwa mara ya pili ndani ya chini ya saa 24 na kusema pamoja na kwamba bunge limepitisha na mabadiliko, na wananchi wamezungumza kupitia maandamano kuukataa, ameamua kutotia saini muswada huo na hivyo utaondolewa bungeni na amekubaliana na wabunge kuwa ni uamuzi wao wa pamoja.
  continue reading

100 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide