Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

Joto laua watu 175,000 barani Ulaya kila mwaka, na idadi yaweza kuongezeka - WHO

1:45
 
Share
 

Manage episode 432135748 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Viwango vya joto barani Ulaya vinaongezeka maradufu hivi sasa na kuwa vya juu wakati huu ambapo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni, WHO linasema watu 175,000 wanakufa kila mwaka barani humo kutokana na joto kali na idadi hiyo inaweza kuongezeka. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.(Taarifa ya Assumpta Massoi)Kote barani Ulaya, zaidi ya nchi 50 zinagharimika zaidi, amesema Mkurugenzi wa WHO kanda ya Ulaya Dkt.t Hans Kluge, siku chache tu tangu dunia ivunje rekodi ya joto na kufikia nyuzijoto 17.16 katika kipimo cha Selsiyasi, huku mawimbi ya joto ya kiangazi yakivuma kote, katika ukanda wa kaskazini mwa dunia.Akifafanua madhara ya hali hiyo, Robb Butler ambaye ni Mkurugenzi wa WHO akihusika na Magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Mazingira na Afya amesema,“katika bara la Ulaya joto kali ni sababu kuu ya vifo vinavyochochewa na tabianchi. Viwango vya juu vya joto kama tunavyovipata hivi sasa vinaongeza magonjwa makali kama vile moyo, mfumo wa kupumua, ubongo, afya ya akili, pamoja na kisukari. Joto kali pia ni tatizo kubwa pia kwa wazee hasa wanaoishi peke yao, na linaweza kuwa mzigo wa ziada kwa wajawazito.”Anasema tayari nchi 20 barani Ulaya zina mipango ya utekelezaji kuhusu afya na joto ili kuhakikisha jamii ziwe na mnepo sasa na siku za usoni dhidi ya joto kali.Sasa hapo ulipo unaweza kufanya nini kujinasua na joto? WHO inasema, epuka kuwa nje wakati wa jua kali, weka nyumba katika hali ya ubaridi, kunywa maji ya kutosha na vaa nguo nyepesi na pia jijali wewe na wengine bila kusahau wazee.
  continue reading

104 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 432135748 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Viwango vya joto barani Ulaya vinaongezeka maradufu hivi sasa na kuwa vya juu wakati huu ambapo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni, WHO linasema watu 175,000 wanakufa kila mwaka barani humo kutokana na joto kali na idadi hiyo inaweza kuongezeka. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.(Taarifa ya Assumpta Massoi)Kote barani Ulaya, zaidi ya nchi 50 zinagharimika zaidi, amesema Mkurugenzi wa WHO kanda ya Ulaya Dkt.t Hans Kluge, siku chache tu tangu dunia ivunje rekodi ya joto na kufikia nyuzijoto 17.16 katika kipimo cha Selsiyasi, huku mawimbi ya joto ya kiangazi yakivuma kote, katika ukanda wa kaskazini mwa dunia.Akifafanua madhara ya hali hiyo, Robb Butler ambaye ni Mkurugenzi wa WHO akihusika na Magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Mazingira na Afya amesema,“katika bara la Ulaya joto kali ni sababu kuu ya vifo vinavyochochewa na tabianchi. Viwango vya juu vya joto kama tunavyovipata hivi sasa vinaongeza magonjwa makali kama vile moyo, mfumo wa kupumua, ubongo, afya ya akili, pamoja na kisukari. Joto kali pia ni tatizo kubwa pia kwa wazee hasa wanaoishi peke yao, na linaweza kuwa mzigo wa ziada kwa wajawazito.”Anasema tayari nchi 20 barani Ulaya zina mipango ya utekelezaji kuhusu afya na joto ili kuhakikisha jamii ziwe na mnepo sasa na siku za usoni dhidi ya joto kali.Sasa hapo ulipo unaweza kufanya nini kujinasua na joto? WHO inasema, epuka kuwa nje wakati wa jua kali, weka nyumba katika hali ya ubaridi, kunywa maji ya kutosha na vaa nguo nyepesi na pia jijali wewe na wengine bila kusahau wazee.
  continue reading

104 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide