Malama and friends come on each week to discuss everything film and television!
…
continue reading
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
…
continue reading
1
Ajali za barabara Afrika huchangiwa na utepetevu, kasi na msongo wa mawazo
10:25
10:25
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:25
Ajali za barabara huchangia vifo vingi vya watu walio katika umri kati ya miaka mitano hadi 29 kwa mujibu wa WHO Uchunguzi unaofanywa baada ya ajali huonesha madereva wengi hulaumi kufeli kwa breki ilhali wengi wana msongo wa mawazo ,imesema mamlaka ya usalama barabarani nchini Kenya ,National Transport and Safety Authority. Ongezeko la magari,mchi…
…
continue reading
1
Watu wengi wanajikuta na magonjwa ya figo na ini,watoto wengi Sudan wakiaga
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09
Kuna ongezeko la magonjwa ya figo na ini kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO inabashiri kuwa ongezeko hilo litakuwa juu zaidi kufikia mwaka 2030 ,hali hii ikichangiwa na hali ya maisha haswa ya raia katika nchi zinazoendelea Ugonjwa wa ini maarufu Hepatitis pia ni tishio kubwa haswa kwa raia wa Afrika ambayo inachangia asilimia 63 ya visa vya…
…
continue reading
1
Uhitaji wa huduma za dharura za afya washika kasi ukanda wa Afrika
9:55
9:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:55
Shirika la AMREF Flying doctors linaonya kuwa mlipuko wa magonjwa yasiyoambukizwa yanazidi kuongeza uhitaji huku wigo la kupanua biashara likitanuka piaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Wanawake waongoza juhudi za kampeni za Afya bora ,DRC ikizidisha mapambano ya Kipindu Pindu
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59
Wawawake kutoka ukanda wa Afrika wanajumuika Dar Es Salaam mwishoni mwa juma kupiga jeki kampeni za kuboresha afya Nchini DRC mikakati iliyoweka kudhibiti mlipuko wa Kipindu Pindu ulioripotiwa katika mataifa ya Afrika ya Kusini ,inaendelea kulipa na hata kuwa msaada kwa mataifa jirani kama vile Zambia…
…
continue reading
1
Mataifa ya Afrika yanayoendelea bado yanachangia mzigo mkubwa wa TB
10:23
10:23
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:23
Usalama mdogo nchini Sudan Kusini umesababisha wagonjwa wengi kuchelewa kubainishwa TB na kupata matibabu ya mapema Watalaam wa afya wanashauri ulimwengu kukumbatia teknolojia za kisasa kama vile Akili Mnemba kurahisisha ubainishaji na kuongeza usahihi wa vipimoBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mageuzi yanayoletwa na nishati bunifu kisiwa cha Ndeda magharibi mwa Kenya
10:14
10:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:14
By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Wanawake mbele kuinua sekta ya sayansi na utafiti nchini Kenya
10:14
10:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:14
Idadi ya wanawake wanaongoza katika sekta mbali mbali bado ni ndogo barani Afrika. Kauli mbinu mwaka huu wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake ni kuwekeza zaidi kwa wanawake ili kuongeza kasi ya maendeleo,tunaangazia wanawake wanasayansi na watafiti nchini Kenya ,wakijikita kwenye utafiti wa magonjwa yaliyotengwa…
…
continue reading
1
Jamii ya Kibera jijini Nairobi inavyopambana na mimba za utotoni
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03
Mimba za utotoni ni kizingiti kikubwa kinachoathiri elimu ya wasichana barani AfrikaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
UNITAID mbioni kurahisisha upatikanaji wa dawa nadra sokoni
9:21
9:21
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:21
UNITAID imekuwa ikishirikiana na mataifa kuleta dawa mpya na za bei nafuu Upatikanaji wa dawa zilizo za viwango vya juu na kwa bei nafuu bado ni changamoto kubwa kwa mataifa yanayoendelea.Matibabu ambayo bado ni mapya hukumbwa na vikwazo vingi kuingia soko la kimataifa na sasa UNITAID imekuwa mbioni kuziba pengo hilo…
…
continue reading
1
Ushirikiano kati ya shirika la Village Reach na wizara ya afya nchini Kenya na nchi za ukanda wa Afrika
10:07
10:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:07
Village Reach ambayo kwa tafsiri rahisi ni kufikia maeneo ya vijijini, imefungua ofisi za kikanda jijini Nairobi kujaribu kusaidia serikali kusimamia namba ya dharura,usafirishaji wa sampuli za Polio na kuboresha utendakazi wa wahudumu wa afya wanaofanya kazi katika jamii tofauti Baada ya kupata mafanikio makubwa katika nchi za Msumbiji, Malawi ,Vi…
…
continue reading
1
Changamoto za afya ya akili katika mitaa ya mabanda nchini Kenya
9:54
9:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:54
Shirika la afya duniani limeorodhesha ongezeko la watu wanaokumbwa na changamoto za afya ya akili hususan tangu kuzuka janga la Corona,kupanda gharama ya maisha na mfumuko wa beiBy RFI Kiswahili
…
continue reading
Juhudi zinaendelea kuhakikisha dawa mwafaka ya TB miongoni mwa watoto zinaendelea Licha ya kuwa TB inaweza kuambukiza watu wa umri wowote ,watoto kwa miaka wamekuwa wakiachwa nyuma katika matibabu ya TB. Watoto kwa miaka walilazimika kutumia donge za watu wazima.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Muendelezo wa ugonjwa wa Kisukari nchini Kenya na Sudan Kusini
9:43
9:43
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:43
Nchi zinazoendelea zinashuhudia ongezeko la magonjwa yasiyoambukizwa ukiwemo KisukariBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Wadau wa afya wapaza sauti kuhusu ongezeko la magonjwa tengwa wakionya ni tishio katika mifumo ya afya
10:20
10:20
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:20
Wadau katika sekta ya afya wana wasi wasi kuhusu ongezeko la magonjwa yaliyotengwa ambayo mengi yao hayana tiba au matibabu yao hayapatikani kwa urahisi au ni bei juu Wawekezaji katika sekta ya uzalishaji dawa ,chanjo hawavutiwi kuzitengeneza dawa za magonjwa hayo. Magonjwa hayo ni kama vile ugonjwa wa malale,matende ,Chikukungunya na Dengue.…
…
continue reading
1
Matumizi ya Akili mnemba au AI kuboresha huduma za Afya
10:06
10:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:06
Ulimwengu umeanza kukumbatia matumizi ya akili mnemba au AI kuboresha huduma muhimu licha ya kuwa bado kukamilika mchakato wa kudhibiti matumizi ya teknolojia hiyo. Katika sekta ya afya mfumo wa AI umeanza kutumika kwenye ubainishaji wa magonjwa na ufuatiliaji wa matibabu.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Ugonjwa wa Utindio wa Ubongo almaarufu Celebral Palsy
10:14
10:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:14
Ugonjwa unaofahamika kama Utindio wa ubongo au Cerebral Palsy kwa lugha ya kimombo ni ugonjwa unaoathiri ubongo, namara nyingi unatokea kwa watoto na husababishwa wakati damu inapovuja kwenye ubongo au hakuna hewa yakutosha. Unaweza kutokea wakati Mtoto anapoanza kupoteza fahamu punde baada ya kuzaliwa au mwezi wa kwanza wa kuzaliwa.Vilevile Jeraha…
…
continue reading
Kongamano la tatu la CPHIA kuhusu huduma za afya barani Afrika.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Mataifa mengi yana matamanio ya kuhakikisha raia wake wanapata huduma bora za afya kwa bei nafuu,safari hii ikiwa bado ina panda shuka kwa mataifa mengi. Huduma za afya barani Afrika zina mfungamano na hali ya kisiasa,uchumi na pia utawala bora.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Faida za mazoezi ya Yoga kwenye mwili wa mwanadamu
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00
Yoga ni mazoezi ya mwili yanayoongeza nguvu kwa misuli na kunyoosha mifupa lakini pia yoga inalenga kuunganisha mwili, ufahamu, na akili kwa pamoja. Hivyo ni tofauti kabisa na aina nyingine za mazoezi.Sikiliza makala haya kwa ufahamu zaidi.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Watalaam wanahofu kuhusu ongezeko la watoto wanaozaliwa na mdomo sungura au Cleft Clip Licha ya kuwa utafiti haujabainisha moja kwa moja sababu ya mdomo sungura ,lishe,urithi na matumizi ya sigara zimetajwa kuchangia hali hiiBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Hofu kuhusu hatma ya mchakato wa amani DRC unaoratibiwa na AU
10:08
10:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:08
Umoja wa mataifa umeonya uwezekano wa kuibuka vita kati ya DRC na Rwanda Rwanda na DRC zimeendelea kulaumiana kuhusu hali mbaya ya usalama mashariki mwa DRC. Rwanda imeongeza usalama katika mipaka yake na DRC baada ya raia wake kujeruhiwa na risasi iliyotokea upande wa Congo.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mpango wa afya kwa wote nchini Kenya ambapo wafanyikazi watachangia 2.75 ya mishahara
10:18
10:18
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:18
Kenya katika sherehe za hivi karibuni za mashujaa ,imezindua mpango wa afya kwa wote. Mpango huu wa afya unazingatia raia kupata huduma bora kuanzia vituo vya afya vya daraja la kwanza hadi hospitali kubwa bila malipo .By RFI Kiswahili
…
continue reading
Malama embarks on a new adventure, hosting the first ever episode of the Title Race entertainment podcast Take 5! He will be coming on each week to discuss movies, television, and other topics with possible guests and prospective co-host(s). You will be able to find all episodes on iTunes, Podomatic, and titlerace.com!…
…
continue reading