UN Global Communications, Digital Solutions Unit public
[search 0]
Download the App!
show episodes
 
UN News interviews a wide range of people from senior news-making officials at Headquarters in New York, to advocates and beneficiaries from across the world who have a stake in helping the UN go about its often life-saving work in the field.
  continue reading
 
Artwork

1
The Lid is On

United Nations

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly+
 
This flagship podcast series from UN News takes its name from the words that correspondents at UN Headquarters in New York hear each night, at the end of the working day. We highlight the in-depth human stories behind the UN’s work and the way that it touches and impacts ordinary lives around the world.
  continue reading
 
Artwork

1
No Denying It

United Nations

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
There’s no denying it - we have to tackle the climate emergency. Burning fossil fuels to get energy has to end. It's doable but it's going to take solutions in every industry, at every scale, in every nation in the world. No Denying It, the UN climate action podcast, brings you the voices of young climate changemakers from across our warming planet. These activists, engineers, and entrepreneurs show us how we can make big changes - in our homes, our jobs, where we vote and where we pray, and ...
  continue reading
 
Loading …
show series
 
Kutokana na hali tete ya usalama nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, Umoja wa Mataifa kwa miaka mingi umekuwa ukifanya juhudi za kuleta amani na kuilinda kwa kutuma ujumbe wake, MINUSCA ambapo nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa huchangia vikosi mbalimbali. Kikosi cha 7 kutoka Tanzania, TANBAT 7 ni miongoni mwa walinda amani waliko huko, hususani waki…
  continue reading
 
Huko nchini Sudan, shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP linasema msafara wake uliokuwa umesheheni misaada ya vyakula umeshambuliwa hii leo na watu wasiojulikana. Kupitia ukurasa wake wa X, zamani Twitter, WFP imesema watu wasiojulikana waliokuwa na silaha walishambulia malori matatu yaliyokuwa na msaada huo wa chakula ukile…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia msaada wa kibinadamu nchini Sudan, na uhamasishaji wa wakulima nchini Zambia kuachana na kilimo cha tumbaku na badala yake kulima mazao mbadala. Makala inatupeleka nchini CAR na mashinani nchini Ghana, kulikoni?Huko nchini Sudan, shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP linasema msafara wake uliokuw…
  continue reading
 
Nchini Zambia, mpango wa shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni, WHO, Kanda ya Afrika wa kuhamasisha wakulima kuachana na kilimo cha tumbaku na badala yake kulima mazao mbadala umeanza kuzaa matunda kama anavyoelezea mmoja wa wakulima walioitikia wito huo.Tuko wilaya ya Chipangali nchini Zambia ambako video ya WHO kanda ya Afrika inaanzia …
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia ripoti ya mwaka 2024 ya malengo ya maendeleo endelevu SDGs, na juhudi za mashirika ya Umoja wa Mataifa za kuwawezesha wakulima nchini Somalia. Makala tunakupeleka nchini Tanzania, na mashinani ujumbe ubunifu na vijana barani Afrika.Bila uwekezaji mkubwa na kuongeza hatua, kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs…
  continue reading
 
Bila uwekezaji mkubwa na kuongeza hatua, kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs kutasalia kuwa mgumu, imeonya Ripoti ya mwaka huu 2024 kuhusu mwenendo wa utekelezaji wa malengo hayo ikiwa imesalia miaka sita pekee kufikia muda ambao ulimwengu ulijiwekea kuwa umeyatimiza malengo yote 17.Ripoti hiyo ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo J…
  continue reading
 
Huku takriban watu milioni 7 nchini Somalia wakihitaji msaada wa kuokoa maisha mwaka huu, Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO linahimiza jumuiya ya kimataifa kuendelea kuunga mkono Wasomali wanaokabiliwa na athari za njaa,mabadiliko ya tabianchi, migogoro na kufurushwa makwao. FAO sio kwamba wao wanahimiza wengine kusaidia wasomali…
  continue reading
 
Intense heatwaves like the one that blasted the US Midwest and northeast recently are likely to be increasingly common because of human-induced climate change, the UN World Meteorological Organization (WMO) said on Thursday. As if that warning wasn’t bad enough, climate scientist Alvaro Silva at the WMO told me that dangerous pollutants like ozone …
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ikiangaazia hafla maalum ya UNICEF na wadau wake pamoja na wasanii iliyofanyika Nairobi Kenya, mada ikiwa “Ungana na watoto wa Sudan”. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za maandamano Kenya, Janga la njaa Sudan, na MSMEs. Katika kujifunza kiswahili tunakuletea uchambuzi wa methali.Kufuatia madhil…
  continue reading
 
Emergency Relief Coordinator Martin Griffiths told UN News in an exclusive interview on Wednesday that UN humanitarians remain deeply committed to delivering aid across war-torn Gaza, despite speculation that operations could be suspended due to safety concerns. The UN relief chief denied that any “ultimatum” had been given by the Israeli military,…
  continue reading
 
Ripoti iliyotolewa jana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO imesema mamilioni ya vifo vinachangiwa na unywaji pombe na matumizi ya dawa za kulevya na imetoa wito wa haraka wa kutekeleza lengo namba 3.5 la Malengo ya Maendeleo Endelevu SDG la kupunguza matumizi ya pombe na dawa za kulevya na kuboresha upatikanaji wa matibabu bora …
  continue reading
 
Hii leo jaridani Tunafuatilia machafuko yaliyotokana na maandamano yaliyoanza nchini Kenya, na ripoti ya utumiaji wa dawa za kulevya. Makala tunarejea nchini Kenya kufuatilia matibabu ya waathirika wa dawa za kulevya na mashinani tunakupeleka nchini Sudan, kulikoni?Viongozi wa Umoja wa Mataifa wamekazia wito uliotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja huo A…
  continue reading
 
Viongozi wa Umoja wa Mataifa wamekazia wito uliotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja huo Antonio Guterres kwa mamlaka za Kenya kufuatia machafuko yaliyotokana na maandamano yaliyoanza nchini humo Juni 18 kupingwa muswada wa fedha wa mwaka 2024. Maandamano yalianza Juni 18, yakiongozwa na vijana wakitaka muswada huo wa fedha ukataliwe wakidai yaliyomo yat…
  continue reading
 
Kuibuka kwa dawa mpya za kulevya za kutengenezwa na rekodi ya usambazaji na mahitaji ya dawa zingine kumeongeza athari za dawa hizo ulimwenguni, na kusababisha kuongezeka kwa shida za utumiaji wa dawa za kulevya na madhara kwa mazingira, imesema leo Ripoti ya Dunia ya Dawa ya 2024 iliyozinduliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa ya kukabili dawa za ku…
  continue reading
 
The Colombian peace process ended decades of conflict with the FARC, but one unintended consequence may have been an increase in cocaine production. According to the 2024 World Drug Report, a major annual study from the UN Office on Drugs and Crime, prices dropped as more groups became involved in the cocaine trade, and the post-war environment hel…
  continue reading
 
Nchini Tanzania, Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) linaendesha programu ya mafunzo yanayolenga kuboresha ujuzi wa wataalamu wa mifugo katika kudhibiti magonjwa ya wanyama na kuimarisha afya ya mifugo ili kuihakikishia jamii uhakika wa chakula na chakula salama. John Kabambala wa redio washirika wetu KidsTime ya mkoani Morogoro …
  continue reading
 
The UN independent expert on torture said on Monday that the reported plea deal with the United States that has led to the release of Julian Assange “is a very good outcome” to the long running case. The WikiLeaks founder and whistleblower has been fighting extradition from the United Kingdom to the US for the past five years and has reportedly agr…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kumulikaza juhudi za kuimarisha afya ya mifugo ili kuihakikishia jamii uhakika wa chakula na chakula salama. Pia tunakuletea muhutasari wa habari zikiwemo za Gaza, mabaharia, na ripoti ya ya matumizi ya pombe. Mashinani tunasalia na siku ya mabaharia duniani. Katika Ukanda wa …
  continue reading
 
Katikati ya bonde la mto Ganges kaskazini mwa India, ndiko liko jimbo la Bihar ambalo sasa linahaha kutokana na uchafuzi wa hewa, kwani moshi utokao kwenye majiko ya kuni na samadi ya ng’ombe yanasababisha kwa kiasi kikubwa uchafuzi wa hewa. Licha ya maendeleo makubwa ya kutumia gesi kama chanzo cha nishati, halikadhalika nishati itokanayo na samad…
  continue reading
 
Ikiwa ni moja ya majukumu yake, Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS wakishirikiana na mamlaka za mitaa za nchi hiyo umefanya ziara maalum katika Kijiji cha Nadiangere na kusikiliza kero za wananchi pamoja kuzindua shule mpya ya msingi. Ndege ya UNMISS ikiwa na timu ya walinda amani na wawakilishi kutoka serikali za mitaa inafika k…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu Gaza hasa kwa watoto, na ziara maalum ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS. Makala inatupeleka nchini India na mashinani nchini Uganda, kulikoni? Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, Philippe Lazzarini, hii leo Juni 24 ametahadharisha vi…
  continue reading
 
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, Philippe Lazzarini, hii leo Juni 24 ametahadharisha vikali kwamba UNRWA itaporomoka kama ufadhili hautapatikana haraka, na "kizazi kizima" cha watoto wako katika hatari ya kuangukia kwenye "umaskini, chuki na migogoro ya baadaye”. Katika ombi la uungwaji mkono wa kisi…
  continue reading
 
Around four in 10 countries where conflicts have ended return to a state of war within a decade, which is why investing in disarmament, demobilization and reintegration is crucial to sustaining peace. That was one of the key messages from the UN Department of Peace Operations (DPO) and UN Development Programme (UNDP) at this year’s Symposium on Dis…
  continue reading
 
Baada ya ziara ya wiki moja huko Ukanda wa Gaza, Mashariki ya Kati, Maryse Guimond ambaye ni Mwakilishi Maalum wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake, UN Women katika eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli,Israeli amesema kilicho alichoshuhudia hakina maelezo ya kutosha.Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi kutok…
  continue reading
 
Wakati dunia hapo jana Juni 20 ikiwa imeadhimisha siku ya wakimbizi duniani na wito kutolewa kila kona wa kuhakikisha wakimbizi wanajumuishwa katika masuala yote ya kuweza kuwasaidia kustawi katika nchi wanayopatiwa hifadhi hii leo tunaelekea nchini Ethiopia kujionea namna mradi wa kutoa vitambulisho vya kitaifa ambao unajumuisha wakimbizi na wasak…
  continue reading
 
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni (WHO) nchini Tanzania kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), hivi karibuni limekabidhi kwa Wizara ya Afya nchini humo jengo maalumu kwa ajili ya kuwahudumia wanaohisiwa kuwa na magonjwa ya mlipuko ya kuambukiza wanapopita katika mpaka wa Mutukula unaounganisha Tanzania …
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia ziara ya Mwakilishi Maalum wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake huko Gaza, na masuala ya afya nchini Tanzania. Makala inatupeleka nchini Ethiopia na mashinani tunasalia nchini Tanzania, kulikoni? Baada ya ziara ya wiki moja huko Ukanda wa Gaza, Mashariki ya Kati, Maryse Guimond ambaye ni Mwakilishi Maal…
  continue reading
 
When the UN refugee agency (UNHCR), released its annual report on global trends in June, it showed, for the twelfth year in a row, record numbers of displacement, around 120 million people. Conflict remains the key factor behind the figures, and the report noted that the climate crisis is often a driver of that conflict. On the ground, in the count…
  continue reading
 
War-torn Sudan is facing a looming famine and the world’s largest displacement crisis as the conflict between rival militaries that started last April grinds on and the situation deteriorates on the ground. UN News’s Khaled Mohamed spoke with Justin Brady, who leads the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA) in the country. S…
  continue reading
 
More than 60 elections are taking place in 2024 and, whilst 90 per cent of people say they want to live in a democracy, many are voting for people and systems that are restricting their rights. The UN has expressed concern about this “democracy paradox”, and that fact that some governments and governance systems are becoming increasingly repressive…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Japan kufuatilia harakati za kusongesha teknolojia rafiki na nafuu ili dunia iwe mahali salama kwa miti na binadamu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari kama zifuatazo, na uchambuzi wa methali.Leo ni Siku ya Kimataifa ya Wakimbizi, Umoja wa Mataifa umeitumia siku hii kutoa wito wa mshi…
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide