UN Global Communications, Digital Solutions Unit public
[search 0]
Download the App!
show episodes
 
Artwork

1
UN Interviews

United Nations

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Weekly+
 
UN News interviews a wide range of people from senior news-making officials at Headquarters in New York, to advocates and beneficiaries from across the world who have a stake in helping the UN go about its often life-saving work in the field.
  continue reading
 
Artwork

151
The Lid is On

United Nations

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Monthly
 
This flagship podcast series from UN News takes its name from the words that correspondents at UN Headquarters in New York hear each night, at the end of the working day. We highlight the in-depth human stories behind the UN’s work and the way that it touches and impacts ordinary lives around the world.
  continue reading
 
Loading …
show series
 
As COP30 brings leaders and negotiators together from around the world, the spotlight is not only on policy but also on the real-life experiences of those most affected by climate change. From Ethiopia, Mekebib Tadesse, representing the UN refugee agency (UNHCR) delegation, brings a firsthand perspective on the human and humanitarian dimensions of …
  continue reading
 
Wiki ya kwanza ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, COP30, unaofanyika Belém Brazil, ikielekea ukingoni, viongozi wa dunia na wanaharakati wanakutana kujadili jinsi ya kushughulikia moja ya changamoto kubwa za wakati huu, ‘janga la mabadiliko ya tabianchi,” Na athari zake kwa wakimbizi hazikupewa kisogo. Flora Nducha anafafanu…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia ugonjwa wa kisukari, chanjo ya polio katika ukanda wa Gaza na janga la mabadiliko ya tabianchi na athari zake kwa wakimbizi.Tarehe 14 Novemba kila mwaka dunia huadhimisha Siku ya Kisukari na mwaka huu kauli mbiu ni “Kisukari katika hatua mbalimbali za maisha.” Je wafahamu ugonjwa huu unampata mtu gani na unawezaje kujik…
  continue reading
 
Mashirika ya Umoja wa Mataifa WHO, UNICEF na UNRWA wameanzisha kampeni ya pamoja ya Uchanjaji watoto waliokosa huduma muhimu za kuokoa maisha kutokana na miaka miwili ya machafuko katika Ukanda wa Gaza umeanza kutekelezwa na mashirika matatu ya Umoja wa Mataifa, lile la afya duniani, la kuhudumia watoto UNICEF na la kusaidia wakimbizi wa Kipalestin…
  continue reading
 
Climate change is no longer a distant threat; it is already reshaping lives and communities around the world. Extreme weather – from unprecedented tornadoes to rising seas and creeping desertification – is forcing millions on the run, often within their own countries. At COP30 in Belém this week, Ugochi Daniels, Deputy Director General of the Inter…
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia simulizi za waahirika wa Kimbunga Melissaikiwa ni wiki ya pili sasa baada ya kupiga magharibi mwa Jamaica, na kuacha zahma kubwa kwa wakaazi. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na jifunze Kiswahili.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akieleza kuwa na wasiwasi mkubwa kutokana na r…
  continue reading
 
At a time when false narratives about climate change are spreading faster than ever online, the UN education and culture agency, UNESCO, is calling for stronger global cooperation to safeguard information integrity. Speaking to UN News’s Felipe de Carvalho in Brazil’s coastal city of Belém which is hosting COP30, Guilherme Canela, UNESCO’s Head of …
  continue reading
 
Ripoti mpya ya pamoja kutoka mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa lile la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) na la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) inaonya kwamba uhaba mkubwa wa chakula unazidi kuongezeka katika maeneo 16 yenye njaa duniani, hali inayoweza kusababisha mamilioni zaidi ya watu kukumbwa na njaa kali au hatari ya kufikia kiwango cha baa l…
  continue reading
 
Kituo cha utafiti wa kusaka Suluhu kuhusu mafuriko kinachoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP) nchini Uganda kimetumia maarifa ya pamoja kukabiliana na changamoto za mafuriko katika eneo la Makerere Kavule, makazi yasiyo rasmi yaliyo pembezoni mwa mji wa Kampala, mji mkuu wa Uganda. Kituo hicho kimeunganisha juhudi …
  continue reading
 
Hii leo jaridani tunaangazia ripoti ya FAO ya uhaba wa chakula, Mwanaharakati kijana kutoka Kenya katika mkutano wa pili wa WSSD Doha, na mradi wa Mifereji ya Maji wa Jiji la Kampala (Kampala Capital City Drainage Master Plan) inayosaidia kupunguza mafuriko Uganda.Ripoti mpya ya pamoja kutoka mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa lile la Chakula na …
  continue reading
 
Mkutano wa Pili wa Dunia wa Maendeleo ya Kijamii umefunga pazia mjini Doha, Qatar, mwishoni mwa wiki hii, ukiwaleta pamoja viongozi wa dunia, mashirika ya kiraia na vijana wakitoka na wito wa pamoja dhidi ya umasikini, ukosefu wa usawa na kutengwa kijamii. Kutoka Kenya, mwanaharakati kijana amesema mkutano huo umekuwa wa kuhamasisha akitoa wito wa …
  continue reading
 
Filipinos are picking up the pieces after super typhoon Fung-Wong ripped through the country. Eight people including three children are reported to have died because of the typhoon, but it could have been much worse: over a million people were evacuated from homes in 13 of the country’s 18 regions, in one of the Philippines’ largest ever pre-emptiv…
  continue reading
 
People being held in prisons in Haiti are dying of starvation in subhuman conditions according to the UN’s Designated Expert on the human rights situation in the Caribbean island nation, William O'Neill. Haiti is facing an increasingly perilous security crisis as gangs compete to control the capital, Port-au-Prince, and surrounding areas, impacting…
  continue reading
 
Jarida hii leo tunamulika harakati za kuzuia mauaji ya kimbari El Fasher, Sudan, hakuna dalili za kumalizika kwa janga la njaa mashariki mwa DRC na furaha kwa watoto waliopatiwa mabegi ya kwenda shule huko Tigray, Ethiopia.Unapokabiliana na ukatili na mauaji ya kimbari ni vema kuhakikisha wanaotekeleza wanafahamu kuwa wanafuatiliwa na kutazamwa ili…
  continue reading
 
With half the world’s population under 30, sidelining young people is no longer an option. That’s according to UN Assistant Secretary-General for Youth Affairs, Felipe Paullier, who champions the determination and creativity of the world’s youth. He’s been at the World Summit for Social Development in Doha this week, issuing a strong call to action…
  continue reading
 
Hii leo katika Habari za UN tunakuleta Muhtasari wa Habari ukimulika kuanzishwa kwa Taasisi ya kusaidia uhifadhi wa misitu ya kitropiki, TFFF huko Brazil ambako kutaanza mkutano wa COP30 tarehe 11 mwezi huu wa Novemba. Halikadhalika kuna kauli ya Katibu Mkuu wa UN kuhusu kuanzishwa kwa taasisi hiyo. Muhtasari unamulika pia kuporomoka kwa kilimo cha…
  continue reading
 
For millions of people with disabilities around the globe, the World Social Summit happening in Doha this week, represents something more powerful than promises – it represents hope. That’s according to Fatma Al Jassim, who is in Doha representing the Global Disability Innovation Hub, a pioneering research centre in the UK, dedicated to driving dis…
  continue reading
 
Nearly 30 years after the landmark Copenhagen Declaration – when governments pledged to make societies fairer and more inclusive – conversations about putting social development back at the centre of the global agenda have taken on renewed importance. To understand why it’s so critical, and how social protection connects to the broader pursuit of s…
  continue reading
 
Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Annalena Baerbock ametembelea wakimbizi wa kipalestina huko Doha nchini Qatar kuwajulia hali na kujionea maisha yao baada ya kuondolewa wakati wa vita kali huko Ukanda wa Gaza eneo la wapalestina linalokaliwa kimabavu na Israel na kuletwa nchini Qatar kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Leah Mushi anatupa taswira …
  continue reading
 
Nchini Kenya, shirika la kiraia la FODDAJ au la Forum for Women Development, Democracy and Justice linatekeleza kivitendo lengo namba 3 la Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs la afya bora na ustawi ambalo pamoja na mambo mengine linataka manusura wa ukatili wa kijinsia wapatiwe huduma sio tu za afya bali pia za kijamii. Je linafanya nini, Sheilah J…
  continue reading
 
leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu Tsunami Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesisitiza umuhimu wa kuwekeza katika kujiandaa dhidi ya mawimbi hayo makubwa ya bahari yanayotokana na tetemeko chini ya bahari. Anold Kayanda na maelezo zaidi.Asante Assumpta,Katika ujumbe wake, Guterres amesema maandalizi hayo yanahusisha…
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide

Copyright 2025 | Privacy Policy | Terms of Service | | Copyright
Listen to this show while you explore
Play