Download the App!
show episodes
 
Do you love Music, and Music History, with a side of Comedy? Well you’re in the right place! Sight After Dark (Singer Sifa Graffiti and Guitarist Dan Berg) is a band out of Brooklyn, NY that loves two things: 1) Talking Music. 2) Cracking Jokes. One day we were sitting around, discussing our favorite artists, and thought: what better way to combine the two than start a music podcast!? Every episode we‘ll be bringing our unique brand of humor and musical knowledge discussing a different music ...
  continue reading
 
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha. Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika. Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi. Hakikisha unafollow ...
  continue reading
 
Recording some of the biggest names in podcasting has taken its toll on Katie Levine (Nerdist Podcast Network) and Logan Moy (Ten Minute Podcast, The Film Vault). Listen along as they take their seats on the other side of the microphone to discuss topics ranging from pop culture to the current state of our society.
  continue reading
 
Loading …
show series
 
In this episode of "Music Maniacs W/ Sight After Dark," we dive deep into the groundbreaking impact of Nirvana; the band that defined a generation and reshaped the music landscape of the '90s. Join us as we explore their rise to fame, the raw emotion behind iconic tracks like "Smells Like Teen Spirit," and the tumultuous life of frontman Kurt Cobai…
  continue reading
 
Welcome to another episode of Music Maniacs w/ Sight After Dark (Your new favorite band)! Every podcast we discuss a different musical topic and/or artist. This is a very special episode, as we are joined by of our favorite DJs, Eskay (@eskayinthehouse) Not only is he a great guy, but we have the honor of sharing the stage with them at FirstLive Br…
  continue reading
 
Kama unajali kesho Yako na kuelekea uhuru wa kifedha basi suala la kuweka akiba ni lazima.Lakini....Kuna makosa ambayo wengi hufanya Katika uwekaji wa akiba zao na pengine na wewe unafanya.Akiba ya malengo ya muda mrefu haipaswi kuwekwa kwenye;1. Kibubu,2. Taasisi za kibenki,3. Chini ya godoro4. Mitandao ya simu.Unajiuliza kama sipaswi kuweka huku …
  continue reading
 
Haijalishi wewe ni mpambanaji kiasi gani kama hauna msingi mzuri wa elimu ya fedha.Basi kuna uwezekano mkubwa utapambana sana ila kiuchumi inakuwa vigumu kukua.Kwa sababu...Umekosa nidhamu ya pesa ambayo ni muhimu kuwa nayo kama unataka kufanikiwa katika eneo la fedha.Kwahiyo...Ukianza kupanga bajeti ya fedha zako inakuwa rahisi kurekodi matumizi y…
  continue reading
 
Hivi unajua Kiwango Cha Mafanikio Yako inategemea sana na Kiwango Cha Nidhamu Yako.Kupitia episode hii utajua Aina Tano za Nidhamu Zenye Kuleta matokeo Makubwa kama utazingatia na kuziishi kwenye maisha Yako.Unahitaji sana kuwa na Kiwango kikubwa Cha Nidhamu.Sikiliza na uanze kufanikiwa Kwa kuwa utaanza kuishi Kwa Nidhamu kwe ye maisha Yako.…
  continue reading
 
Welcome to Music Maniacs w/ Sight After Dark (Your new favorite band)! Every podcast we discuss a different musical topic and/or artist. This is a very special episode, as we are joined by TWO of our favorite independent artists, Boy Pierce ( @boypiercemusic ) and C.E.L.L.Beatz Productions ( @Cellbeatz ). We met these amazing people years ago on th…
  continue reading
 
Kama wewe ni wale ambao unawatumia watu DM au text za kawaida Kwa Mara ya Kwanza kama vile "Niaje, Mambo, Vipi, Shwari Mkuu, Harakati Ni Vipi Kiongozi, Mrembo mambo n.k"Tambua unakosea sana Tena sana hiyo siyo Kujitambulisha badala ni salamu tu.Swali linakuja unajua jinsi ya Kujitambulisha mtu akiona DM au text Yako apate kuijibu bila kupuuzia.Unah…
  continue reading
 
Umekosa sapoti au kushikwa mkono Katika kazi zako au mapambano Yako?Unapitia hali ya kukataliwa na kuona hakuna anayejua thamani Yako Wala Kuamini Katika Wewe?Unapitia hali ya kukata tamaa kwenye kitu unachofanya kwa kuwa matokeo yamechelewa.Unatamani kuwa Bora ila hujui ufanye Nini?Kuna watu wanakurudisha nyuma na kutoamini katika mapambano Yako i…
  continue reading
 
Welcome to Music Maniacs w/ Sight After Dark (Your new favorite band)! Every podcast we discuss a different musical topic and/or artist. For this episode we are welcoming a very special guest: NOHA is an extremely talented musician that we met years ago playing on the Open Mic scene In New York City. His music is equal parts cinematic, and brooding…
  continue reading
 
Welcome to Music Maniacs w/ Sight After Dark (Your new favorite band)! Every podcast we discuss a different musical topic and/or artist. This episode is about one of the greatest bands of all time...Radiohead! Since forming in the mid-1980's Radiohead have proven themselves to be consistent innovators. Not only do they innovate with the music they …
  continue reading
 
Umekuwa na tabia ya kuwasema watu wengine kwa namna yoyote kwenye maisha yao? Hii ni tabia mbaya, lakini hujui ufanye nini ili uache tabia hii ya kimaskini na ni tabia mbaya.Inawezekana siyo wewe ila kuna watu wa karibu yako wana tabia hii, basi kupitia maarifa haya utaweza kuwa chachu ya kubadilika kwake.Huwezi kumbadilisha mtu ila unaweza kuwa sa…
  continue reading
 
Welcome to Music Maniacs w/ Sight After Dark (Your new favorite band)! Every podcast we discuss a different musical topic and/or artist. This episode is about one of the greatest bands of all time...The Isley Brothers! The Isley brothers have revolutionized multiple genres of music during a career spanning over SIX DECADES! They have cemented their…
  continue reading
 
Nani kahamisha jibini yangu? Ni kitabu ambacho kinakusaidia kukabaliana na mabadiliko ambayo hukutarajia wala kutegemea kwenye kazi na maisha.Kitabu kipo kwa mfumo wa stori ambao inahusisha wahusika wanne ambao ni1. Sniff2. Scurry3. Hem4. HewNi kitabu ambacho utajifunza namna ya kukabiliana na mabadiliko kwenye maisha.Naamini kupitia uchambuzi wa k…
  continue reading
 
Kuachilia haijawahi kuwa jambo rahisi hasa kwa watu ambao umewathamani na kuamini wangekuwa na wewe maisha yako yote, lakini ghafla wanakuachia maumivu na kukuumiza kiakili, kimwili, kihisia.Inaumiza kuona hawatambui thamani yako na unashindwa kuachikilia na kuishia kuwa na roho ya kutaka kulipa kisasi, uchungu, hasira, msongo wa mawazo na kujichuk…
  continue reading
 
Welcome to Music Maniacs w/ Sight After Dark (Your new favorite band)! Every podcast we discuss a different musical topic and/or artist. This episode is about one of the greatest bands of all time...Depeche Mode! Depeche Mode revolutionized music in the 1980s (and beyond) with their innovate use of the synthesizer, and their influence can be felt a…
  continue reading
 
Ni kitabu mahususi kimeandikwa na Anne Lemmot ambacho utajifunza mambo mengi kuhusu uandishi wa vitabu na kuishi maisha yenye uhuru ndani yake.Hakikisha unaandika pembeni mambo ambayo utajifunza kupitia uchambuzi wa kitabu hiki kizuri cha BIRD BY BIRD yaani NDEGE KWA NDEGE.Katika uchambuzi wa kitabu hiki utajifunza sura tano ambazo mwandishi ametus…
  continue reading
 
Welcome to Music Maniacs w/ Sight After Dark! Every podcast we discuss a different musical topic and/or artist. This episode is about the greatest guitar solos of all time! Obviously there a lots of famous, amazing guitar solos, but on this episode we did our best to choose some options that don't always come up on these kinds of lists. All songs m…
  continue reading
 
Usijisikie vibaya kuona watu wa karibu au wa mbali hawaelewi wala hawapo tayari kukuelewa kuhusu mapambano yako.Inaumiza kuona watu ambao unawapenda na kuamini inaweza kuwa,📌 Wazazi wako,Ulitegemea ndiyo wangekuwa watu wa kwanza kukuelewa na kuamini unachofanya na imekuwa tofauti wanakukosoa na kukalaumu kwanini unafanya hicho.📌 Marafiki zako,Maraf…
  continue reading
 
Unahitaji kukubalika kwenye jambo lolote basi unahitaji sana NGUVU YA KIBALI.Mahali popote hakikisha unaishi vizuri na watu ndiyo maana wahenga wanasema "Mtaji wa mtu ni watu.Ufanye nini upate nguvu ya kibali cha kukubalika machoni pa watu?Sikiliza episode hii mpaka mwisho.Share | Like | Comment | Ask…
  continue reading
 
Hivi unajua asilimia 80% ya watu unawaeleza matatizo yako hawajali kabisa na asilimia 20% wanafurahi kuona matatizo hayo yanakupata wewe hapo. Kanuni ya 80/20 itakusaidia kuchuja nani wa kuwaeleza matatizo yako na wapi kutowaeleza. Unajiuliza ni kwa namna gani Kanuni hii inafanya kazi si ndiyo? Basi Sikiliza episode hii mpaka mwisho ujifunze…
  continue reading
 
Hakuna kitu kinaumiza kama watu kukudharau na kubeza uwepo wako si ndiyo?Dharau ina maana kwamba wanachukulia poa jambo au kitu fulani pasipo kukipa thamani inayostahili.Hivi unajua kwanini watu wanakudharau?Ukweli ni kwamba huwezi kuwa mwema na mzuri kwa kila mtu ila inakuwa inaumiza zaidi pale watu ambao umewapa nafasi kubwa kwenye maisha yako ha…
  continue reading
 
Mahusiano siyo jambo la ulazima ila mahusiano ni jambo la utayari. Mapenzi siyo upofu, ila ni mtazamo wako Kuwa ni upofu wakati umepewa macho uone, akili ili uchanganue na hisia ili ujitathimini. Unajua nini uzingatie kabla ya kuingia/kuanzisha mahusiano ya kimapenzi, basi sikiliza episode hii mpaka mwisho ujifunze…
  continue reading
 
Unataka kuingiza pesa na kujikwamua kiuchumi? Kama jibu lako ni ndiyo, basi episode hii inakufaa kwa sababu utaenda kujua aina 10 za Ujuzi ambazo zitakuingizia pesa ni wewe kuchagua Ujuzi mmoja au miwili kisha weka nguvu hapo baada ya mwaka mmoja hadi mitano utaona unaingiza pesa ni uthubutu wako tu. Sikiliza kwa umakini sana…
  continue reading
 
Hivi unakijua kipaji chako au kikubwa ni uhai?Pasipo kujali unajua au hujui kipaji chako ila tambua una zawadi ya kipaji ambayo ulipewa na Mungu hata kabla ya kuzaliwa kwako.Kwahiyo...Kuzaliwa kwako Ina maana una kipaji ndani yako.Swali la kujiuliza.Je, unakijua kipaji chako?Hongera kwa kujua kipaji chako cha .... (Taja kimoyomoyo) Ina maana tayari…
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide