Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

Miradi ya maji yasaidia kupunguza migogo ya wafugaji nchini Sudan Kusini - FAO

1:52
 
Share
 

Manage episode 427903858 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) Beth Bechdol amefanya ziara ya siku sita nchini Sudan Kusini na kuzindua miradi inayo saidia ukuaji wa kiuchumi huku ikipunguza migogoro na kuongeza uwezo wa wanachi kwenye kilimo.Akiwa ameambatana na Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula duniani WFP Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika Rukia Abdullahi, Waziri wa Mifugo na Uvuvi wa Sudan Kusini Onyoti Adigo na viongozi wengine wa ngazi za juu wa FAO, wametembekea maeneo mbalimbali ikiwemo mji wa Kapoeta ulioko jimboni Equatorial Mashariki unaokabiliwa na ukame ambapo mifugo ndio chanzo kikuu cha chakula na lishe na tegemeo la kuwaingizia kipato wananchi.Ziara ya Bi. Bechdol inakuwa wakati huu kukiwa na wasiwasi wa kuzorota kwa hali ya uhakika wa upatikanaji wa chakula kutokana na mafuriko yanayotarajiwa kuathiri nchi hiyo mwezi Septemba. Lakini kwa ufadhili wa Benki ya Maendeleo ya Afrika jumla ya dola milioni 44 zimewekezwa kwenye miundombinu ya uvunaji wa maji inayozingatia mabadiliko ya tabianchi (wananchi wa Kapoet wakiita Haffirs).Mradi huu umesaidia kupunguza migogoro na mivutano baina ya kaya za wafugaji iliyokuwa ikisababishwa na uhaba wa maji pamoja na kupunguza tabia za wafugaji kuhama hama kwani sasa zaidi ya kaya 13,000 zinanufaika kwa upatikanaji wa maji.Akiwa katika jijiji cha Riwoto huko Kapoeta Kaskazini Bi. Bechdol alizindua visima cha maji na kueleza kuwa, “Huu ni mfano kamili wa jinsi tunavyoshirikiana na serikali ya Sudan Kusini na washirika muhimu wa rasilimali kama Benki ya Maendeleo ya Afrika, na kuleta uwezo kamili wa uongozi wa FAO kwa watu wa Sudan Kusini.”Bi. Marta Nakwee mkulima kutoka Riwoto anashukuru kwa mradi huo kwani umebadilisha maisha yao.“Hapo awali nilikuwa naenda mbali sana kuteka maji ilikuwa ikinichukua sehemu kubwa ya siku yangu. Nililazimika kuwaacha watoto wangu wakiwa na njaa siku nzima na maranyingine waliugua lakini kwa sasa sina tatizo hilo tena.”Mbali na miradi ya maji FAO na washirika wake kujenga uwezo wa kustahimili hali ya maisha kwa kusaidia wananchi kuzalisha mbegu zao wenyewe kwa ajili ya kilimo, kujenga miundombinu, kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama, kutoa chakula chenye lishe bora kwa watoto mashuleni na kupunguza utegemezi wa misaada ya kibinadamu.
  continue reading

100 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 427903858 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) Beth Bechdol amefanya ziara ya siku sita nchini Sudan Kusini na kuzindua miradi inayo saidia ukuaji wa kiuchumi huku ikipunguza migogoro na kuongeza uwezo wa wanachi kwenye kilimo.Akiwa ameambatana na Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula duniani WFP Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika Rukia Abdullahi, Waziri wa Mifugo na Uvuvi wa Sudan Kusini Onyoti Adigo na viongozi wengine wa ngazi za juu wa FAO, wametembekea maeneo mbalimbali ikiwemo mji wa Kapoeta ulioko jimboni Equatorial Mashariki unaokabiliwa na ukame ambapo mifugo ndio chanzo kikuu cha chakula na lishe na tegemeo la kuwaingizia kipato wananchi.Ziara ya Bi. Bechdol inakuwa wakati huu kukiwa na wasiwasi wa kuzorota kwa hali ya uhakika wa upatikanaji wa chakula kutokana na mafuriko yanayotarajiwa kuathiri nchi hiyo mwezi Septemba. Lakini kwa ufadhili wa Benki ya Maendeleo ya Afrika jumla ya dola milioni 44 zimewekezwa kwenye miundombinu ya uvunaji wa maji inayozingatia mabadiliko ya tabianchi (wananchi wa Kapoet wakiita Haffirs).Mradi huu umesaidia kupunguza migogoro na mivutano baina ya kaya za wafugaji iliyokuwa ikisababishwa na uhaba wa maji pamoja na kupunguza tabia za wafugaji kuhama hama kwani sasa zaidi ya kaya 13,000 zinanufaika kwa upatikanaji wa maji.Akiwa katika jijiji cha Riwoto huko Kapoeta Kaskazini Bi. Bechdol alizindua visima cha maji na kueleza kuwa, “Huu ni mfano kamili wa jinsi tunavyoshirikiana na serikali ya Sudan Kusini na washirika muhimu wa rasilimali kama Benki ya Maendeleo ya Afrika, na kuleta uwezo kamili wa uongozi wa FAO kwa watu wa Sudan Kusini.”Bi. Marta Nakwee mkulima kutoka Riwoto anashukuru kwa mradi huo kwani umebadilisha maisha yao.“Hapo awali nilikuwa naenda mbali sana kuteka maji ilikuwa ikinichukua sehemu kubwa ya siku yangu. Nililazimika kuwaacha watoto wangu wakiwa na njaa siku nzima na maranyingine waliugua lakini kwa sasa sina tatizo hilo tena.”Mbali na miradi ya maji FAO na washirika wake kujenga uwezo wa kustahimili hali ya maisha kwa kusaidia wananchi kuzalisha mbegu zao wenyewe kwa ajili ya kilimo, kujenga miundombinu, kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama, kutoa chakula chenye lishe bora kwa watoto mashuleni na kupunguza utegemezi wa misaada ya kibinadamu.
  continue reading

100 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide