Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

08 JULAI 2024

9:58
 
Share
 

Manage episode 427867692 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunaangazia mashambulizi makubwa ya kijeshi nchini Ukraine yaliyotekelezwa na Urusi, na miradi ya maji nchini Sudan Kusini. Makala inamulika biashara kwa wakulima, vijana na wanawake, na mashinani inatupeleka nchini Ethiopia, kulikoni?Nchini Ukraine Jumatatu ya leo Julai 8 imeanza na wimbi jingine la mashambulizi makubwa ya kijeshi yaliyotekelezwa na Urusi na kuua makumi ya watu, hospitali ya watoto ikiwa ni miongoni mwa maeneo yaliyoshambuliwa.Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) Beth Bechdol amefanya ziara ya siku sita nchini Sudan Kusini na kuzindua miradi inayo saidia ukuaji wa kiuchumi huku ikipunguza migogoro na kuongeza uwezo wa wanachi kwenye kilimo.Katikamakala Assumpta Massoi akimulika mafunzo yaliyotolewa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwa ushirikiano na wadau ili kuimarisha biashara kwa wakulima, vijana, wanawake na wasimamisi wa mashamba ya kuzalisha mbegu mkoani Kigoma, kaskazini magharibi mwa Tanzania.Mashinani tutakupeleka Tigray nchini Ethiopia katika shule ya msingi ya Siye kusikia jinsi Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP kwa ushirikiana na Muungano wa Ulaya lilivyoongeza kiwango cha uandikishaji na uhifadhi wa wanafunzi shuleni kupitia ukarabati wa madarasa na mpango wa mlo shuleni lakini kwanza ni makala.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
  continue reading

100 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 427867692 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Hii leo jaridani tunaangazia mashambulizi makubwa ya kijeshi nchini Ukraine yaliyotekelezwa na Urusi, na miradi ya maji nchini Sudan Kusini. Makala inamulika biashara kwa wakulima, vijana na wanawake, na mashinani inatupeleka nchini Ethiopia, kulikoni?Nchini Ukraine Jumatatu ya leo Julai 8 imeanza na wimbi jingine la mashambulizi makubwa ya kijeshi yaliyotekelezwa na Urusi na kuua makumi ya watu, hospitali ya watoto ikiwa ni miongoni mwa maeneo yaliyoshambuliwa.Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) Beth Bechdol amefanya ziara ya siku sita nchini Sudan Kusini na kuzindua miradi inayo saidia ukuaji wa kiuchumi huku ikipunguza migogoro na kuongeza uwezo wa wanachi kwenye kilimo.Katikamakala Assumpta Massoi akimulika mafunzo yaliyotolewa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kwa ushirikiano na wadau ili kuimarisha biashara kwa wakulima, vijana, wanawake na wasimamisi wa mashamba ya kuzalisha mbegu mkoani Kigoma, kaskazini magharibi mwa Tanzania.Mashinani tutakupeleka Tigray nchini Ethiopia katika shule ya msingi ya Siye kusikia jinsi Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP kwa ushirikiana na Muungano wa Ulaya lilivyoongeza kiwango cha uandikishaji na uhifadhi wa wanafunzi shuleni kupitia ukarabati wa madarasa na mpango wa mlo shuleni lakini kwanza ni makala.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
  continue reading

100 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide