Artwork

Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Player FM - Podcast App
Go offline with the Player FM app!

Ukraine yakumbwa na wimbi jipya la mashambulizi ya makombora ya Urusi

1:22
 
Share
 

Manage episode 427903857 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Nchini Ukraine Jumatatu ya leo Julai 8 imeanza na wimbi jingine la mashambulizi makubwa ya kijeshi yaliyotekelezwa na Urusi na kuua makumi ya watu, hospitali ya watoto ikiwa ni miongoni mwa maeneo yaliyoshambuliwa. Flora Nducha ameifuatilia taarifa hiyo. Mashambulizi haya ya leo yaliyotokea wakati watu waliopokuwa ndio kwanza wanaianza siku, yameilenga miji kadhaa ya Ukraine ikiwemo mji mkuu, Kyiv na mji mingine kama Kryvyi Rih na Pokrovsk.Akilaani mashambulizi hayo, Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Ukraine ambaye pia ni mratibu mkuu wa misaada ya kibinadamu nchini humo, Denise Brown, amesema, "ni jambo lisilokubalika kuona kwamba watoto wanauawa na kujeruhiwa katika vita hii. Chini ya sheria ya kimataifa ya kibinadamu, hospitali zina ulinzi maalum. Raia lazima walindwe."Mbali na Hospitali ya Watoto ya Ohmatdyt huko Kyiv, miundombinu mingine ya umma pia imeharibiwa, pamoja na majengo ya biashara na makazi katika miji ikiwa ni pamoja na Dnipro, Kramatorsk, Kryviy Rih, Kyi na Pokrovsk.Kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa, takriban watu 20 wameuawa katika mashambulizi haya ya leo Julai 8.Rais Volodymyr Zelenskiy wa Ukraine amesema zaidi ya makombora 40 yamerushwa.
  continue reading

100 episodes

Artwork
iconShare
 
Manage episode 427903857 series 2027789
Content provided by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. All podcast content including episodes, graphics, and podcast descriptions are uploaded and provided directly by UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations or their podcast platform partner. If you believe someone is using your copyrighted work without your permission, you can follow the process outlined here https://player.fm/legal.
Nchini Ukraine Jumatatu ya leo Julai 8 imeanza na wimbi jingine la mashambulizi makubwa ya kijeshi yaliyotekelezwa na Urusi na kuua makumi ya watu, hospitali ya watoto ikiwa ni miongoni mwa maeneo yaliyoshambuliwa. Flora Nducha ameifuatilia taarifa hiyo. Mashambulizi haya ya leo yaliyotokea wakati watu waliopokuwa ndio kwanza wanaianza siku, yameilenga miji kadhaa ya Ukraine ikiwemo mji mkuu, Kyiv na mji mingine kama Kryvyi Rih na Pokrovsk.Akilaani mashambulizi hayo, Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Ukraine ambaye pia ni mratibu mkuu wa misaada ya kibinadamu nchini humo, Denise Brown, amesema, "ni jambo lisilokubalika kuona kwamba watoto wanauawa na kujeruhiwa katika vita hii. Chini ya sheria ya kimataifa ya kibinadamu, hospitali zina ulinzi maalum. Raia lazima walindwe."Mbali na Hospitali ya Watoto ya Ohmatdyt huko Kyiv, miundombinu mingine ya umma pia imeharibiwa, pamoja na majengo ya biashara na makazi katika miji ikiwa ni pamoja na Dnipro, Kramatorsk, Kryviy Rih, Kyi na Pokrovsk.Kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa, takriban watu 20 wameuawa katika mashambulizi haya ya leo Julai 8.Rais Volodymyr Zelenskiy wa Ukraine amesema zaidi ya makombora 40 yamerushwa.
  continue reading

100 episodes

All episodes

×
 
Loading …

Welcome to Player FM!

Player FM is scanning the web for high-quality podcasts for you to enjoy right now. It's the best podcast app and works on Android, iPhone, and the web. Signup to sync subscriptions across devices.

 

Quick Reference Guide