show episodes
 
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha. Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika. Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi. Hakikisha unafollow ...
  continue reading
 
Artwork
 
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
  continue reading
 
Artwork
 
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
  continue reading
 
Maelezo - Neno ni sehemu ya huduma ya kimataifa ya mafundisho ya biblia nzima ya Thru The Bible. Mfululizo wa mafundisho haya kwanza yaliandaliwa na Dkt. J. Vernon McGee na kutafsiriwa kwa lugha zaidi ya mia moja na kabila. mafundisho hayo yakusudiwa kuwa ya dakika 30 kwenye radio ambayo kwa mpangilio maalum humwezesha msikilizaji kujifunza Biblia nzima. Sasa ujumbe ndizo twakusilishia kwenye mtandao. Twashukuru kwamba umeanza kujifunza mengi zaidi katika Neno la Mungu kwa njia ya ujumbe hiz ...
  continue reading
 
Hiki ni kipindi cha kila Mkristo anaye tarajia kwenda mbinguni, kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Fuata Bibblia Ikuongoze, Ina usika na MAULIZO, MAONYO na MAFUNDISHO ya Neno La Mungu. Soma: 2 Timotheo 3:16-17. Soma tena: Yohane 8:32 Lengo la Kipindi hiki ni, kuwaelimisha watu wa Mungu, katika Neno la Mungu. Kwakuwa Biblia ina sema katika: Methali 12:1. Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama. Kwahio kila Mkristo ana karibishwa katika kipindi hiki, cha ...
  continue reading
 
Artwork
 
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza kipindi cha Naweza | Radio Free Afrika kila Jumamosi saa 11 jioni | Radio TBC Taifa kila Jumapili saa 11:30 jioni | Radio One kila Jumamosi saa 2:15 usiku Kipindi cha Naweza Show kinaletwa kwenu na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma (HPS)
  continue reading
 
Karibu katika Podcast ya Swahili Tech ambapo utafahamu mengi kuhusiana na Teknolojia, social media, applications, simu, na vifaa tunavyotumia kila siku katika maisha yetu. Karibu sana na usiache ku-subscribe ili uoate infos kali.
  continue reading
 
Tutakuangazia Duniani kote, tukikupa habari, maoni, na mitazamo mbalimbali ju ya maswala ya maisha yetu ya kila siku kama Familia, Mahusiano, Elimu, Teknolojia,Michezo, sanaa, ubunifu, mavazi na mitindo Mafanikio, lengo letu ni kuelimisha, kuburudisha na kufundisha.
  continue reading
 
Redio podcast hii inalengo la kuhabarisha,burudisha na kuelimisha kwa kukuletea habari moto moto sanjari na matukio ya kijamii yasio chacha yanayo jiri kutoka kila sehemu Duniani kote. B-Voice Radio Dunia moja habari pamoja!
  continue reading
 
Artwork

1
Afisa Afya

S. Karata & Y. Uzuwila

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly
 
AfisaAfya ni podcast pekee ya lugha ya Kiswahili itakayokuwa inawaletea mada, mijadala na mahojiano kuhusu afya ya mwanadamu na jinsi ambavyo afya zetu zinaweza kuathiriwa na mazingira tunamoishi, kila siku ya jumapili.
  continue reading
 
Wanawake wengi wanajikuta wana uzito fulani kuhusu mambo ya ndani(intimacy)Afya ya akili(Mental health ) ni muhimu na ni mazungumzo ambao yanabidi yazungumzwe kwa uwazi ili wanawake wasijisikie wako peke yao kwenye mambo mengi kwa hofu ya kudhalilishwa au kitiwa /kujihisi aibu kuwa wanapitia mengi yalokuwa yanawabomowa kisaikolojia.Jumuika nami tukuwa na wazungumzaji tofauti kila wiki tujijenge kiafya.
  continue reading
 
Nikiwa Kama mwanahabari chipukizi naamini kuwa siku moja nitatimiza ndoto zangu lakini marafiki ndugu na jamaa wote na Kila mtu ndio nguzo yangu katika hii fani . Mimi sio mkamilifu endapo Kuna mahali nimekosea kwa kile ambacho nafanya Basi nitashukuru nikipata mtu na kuniongoza . Katika podcast hii hutuma habri na maelezo mbali mbali ya kijamii .
  continue reading
 
Artwork
 
Selections of Independent music from eras past and present. Music new and old, of angst, love, lament and celebration. Jane Birkin, Leonard Cohen, Ian Curtis, Conor Oberst & Serge Gainsbourg all included in the mosaic of art in music that is some archaic mystery cult ritual. What stirs in the psyche of one lost child in the Universe, what draws the eye and makes the aperture of the soul grow, what clues that path, that line, that way to the feeling of the transcendental. &c
  continue reading
 
Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.
  continue reading
 
Artwork
 
Talisman Brisé ni tamthilia ya redio inayosimulia hadithi ya mtunza bustani Kwame ambaye bosi wake Profesa Omar anatekwa nyara na watu wasiojulikana. Kwa nini Profesa Omar anatekwa nyara na watu hao? Mfanyakazi wake Kwame atafanikiwa kumuokoa Bosi wake? Fuatilia haya kwenye tamthilia ya Talisman Brise hapa rfi kila siku ya jumapili ndani ya Makala ya Changu Chako Chako Changu.
  continue reading
 
Artwork

1
Scott Herrold's SOS Radio Podcast

Scott Herrold - SOS Radio

Unsubscribe
Unsubscribe
Weekly+
 
Scott Herrold is known for his interviews. He does a daily radio show on SOS Radio. This podcast is a deep dive into worldview, faith and culture with real thought leaders. Scott's talked with people like Chuck Norris, Darryl Strawberry, Bob Goff, Sean Astin, Oliver North, Jeff Foxworthy, Charles Stanley, Max Lucado & more!
  continue reading
 
Artwork

1
Just Verdicts

Brendan Lupetin

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly+
 
Your client’s been wronged, and they want justice. Just wait for the wrongdoer to accept responsibility? Yeah, right. You need answers to questions like “What really happened?” and “Why did it happen?”. And whatever bad thing happened, you want to ensure it doesn’t happen again. It takes the right strategies, tactics, and grit to get the just outcomes your clients deserve. Hosted by Pennsylvania medical malpractice attorney Brendan Lupetin, a founder of Lupetin and Unatin, Attorneys at Law i ...
  continue reading
 
Artwork
 
Makala ambayo inakupa nafasi ya kujua masuala mbalimbali ya Muziki na Burudani. Ndani ya makala haya utapata taarifa za wanamuziki, historia zao na bila kusahau mahojiano na wanamuziki mbalimbali. Hii ni fursa ya pekee kwa wasikilizaji kujiliwaza baada ya kazi za juma zima kupitia burudani ya muziki. Makala ya muziki ijumaa pia itakuwezesha kufahamu wasanii kutoka sehemu mbalimbali duniani na kujua wanafanya nini.
  continue reading
 
Artwork

1
Dark Side of The Mic

Dark Side of The Mic

Unsubscribe
Unsubscribe
Monthly+
 
Dark side of the mic is a comedic and entertaining perspective of current topics, pop culture, social activities, and the trip we all know as life. Get your weekly dose from James and Steven on iTunes, Spotify, Google Play, or SoundCloud. Like and follow Dark side of the mic at Facebook.com/dsotmpodcasts
  continue reading
 
Blockbytes Video Podcasts discuss cryptocurrencies, blockchain, and web3 news. Dive head first into series like 'Across The Chains', 'Beyond The Block', 'Quick Flip', 'The Feature by Blockbytes', 'Developers' Corner' and more!
  continue reading
 
Welcome to TARP (The Aditi Rathore Podcast) This Podcast is a one-stop solution for everything and anything which revolves around our kids. From parenting tips to counselling to story telling and many more. So come, listen and explore with Aditi Rathore.
  continue reading
 
Loading …
show series
 
KRP 1380 – JUMAT 02 AGUSTUS 20241. MAHASISWA UNSIL TASIKMALAYA, DITEMUKAN MENINGGAL DI KAMAR KOS (KOTSM-NGU)2. DINAS KESESEHATAN NAYATAKAN KOTA TASIKMALAYA WASPADA DBD (KOTSM-AST) HL## KPID JABAR - PILKADA 2024_GREETING 2 [DR.ADIYANA_SLAMET]3. BAWASLU KOTA BANJAR SIKAPI 3 ISU STRATEGIS SAAT PILKADA (BJR-LER) HL4. GOLKAR BANJAR KUKUHKAN TIM PEMENANG…
  continue reading
 
Gasoline is refined from crude oil that contains benzene, a known carcinogen, but oil companies have long considered removing benzene from the gasoline manufacturing process a “dollars-and-cents” decision. Jurors considering whether ExxonMobil’s gasoline caused a Pennsylvania man’s leukemia made this decision: $725.5 million for the plaintiff. Andr…
  continue reading
 
Karibu katika Makala Wimbi la siasa ambapo tunazungumzia Mkutano wa 44 wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika uliofanyika Harare, Zimbabwe ambapo viongozi walijadili changamoto zinazolikabili kanda hilo hususan usalama mashariki mwa DRC. Wachangiaji mada ni Alhaj Mali Ali akiwa Paris Ufaransa na Andulkarim Atiki akiwa Dar es salaam Ta…
  continue reading
 
Well, I am the light shining the way, as they may say. I am that I am. I sent you one track of the things I do for the enlightenment of brothers and sisters, of 37 in total I put out in 1 year. I know little and I am just like everyone else, in my own unique way. I've been in politics, government, business, education, manufacturing, and many other …
  continue reading
 
Michelle Pilar, born and raised in Virginia Beach, Va. Currently reside in Los Angeles , CA as a humanitarian as well as a healer of the mind, body and spirit. Kindnesstours07@gmail.com KindnessTours.com Youtube facebook Send us a Text Message. Cali Rich Tea High-Antioxidant Tea NEW Super Tea Product! – Healthy brew that boosts the immune system an…
  continue reading
 
An inexperienced physician’s assistant misdiagnosed Richard Godshall and Christine Clarke’s client. But when they tried the case, they took it in an opposite direction than many would expect: not from the incident up, but from the top down. In the end, the Clarion County jury awarded their client $7 million. In this conversation with host Brendan L…
  continue reading
 
Wiki hii askari wanaofikia 100 wa DRC, walikimbilia Uganda baada ya waasi wa M23 kuuteka mji wa Ishasha ulioko mpakani na Uganda hali ambayo ilijiri wakati sitisho la mapigano lilikubaliwa kati ya DRC na Rwanda mjini Luanda Angola chini ya Upatanisho wa rais wa Angola Joao Laurenco. Kwa nini mapigano yanaendelea licha ya juhudi za kikanda na za kim…
  continue reading
 
This episode is an update of what's happening with LiveGood and why everyone needs to create a membership today. Watch the 6 minute video @ JoinNateNow.com. Leave your name and email afterwards. Send us a Text Message. Take the LiveGood free tour. To Help People Get Healthy, And Stay Healthy Without Having To Spend A Fortune To Do It. Mr Smoove Tee…
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide