show episodes
 
Artwork

1
MWA Podcast - Woodworking Conversations

Mark Hicks, Sean Wisniewski, Kyle Barton, & Brian Obst

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Weekly
 
The Modern Woodworkers Association Podcast brings to you in-depth interviews with woodworkers of note in our community - from outstanding hobbyists to award winning, international woodworkers. We also bring to you a bit of woodworking news and other items of note. And we wrap things up with our fortnightly beer recommendations. Whether you are a hand-tool, powertool, or hybrid woodworker, we think you will find something of interest in every episode.
  continue reading
 
Artwork

51
MWA: Muggles With Attitude

Alice Sullivan, Micah Sparkman, and Jeff Lake

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Monthly
 
We're reading the Harry Potter novels and podcasting about them! Join us as we walk down the halls of memory and of Hogwarts, Hoggy Warty Hogwarts! We are Alice Sullivan (@alicemsullivan), Micah Sparkman, and Jeff Lake (@jeff_lake).
  continue reading
 
to laugh; to get the scoop; to cause mischief, these are definitions of the slang word, "kiki". This show is for the eccentric, as well as, the "not quite right" from acid house to zydeco. Expect artists such as Prince, Roy Orbison, Arctic Monkeys, Disocdeine, Stacy Lattisaw, Nina Simone, Abe Vigoda, Felix Mendelssohn, and James Blake, among millions of others! We mix it up, spray paint it, spin it, and slide it to you. So now that you have a visual of The KiKi....it's time for audio penetra ...
  continue reading
 
Artwork

1
Habari RFI-Ki

RFI Kiswahili

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Weekly+
 
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
  continue reading
 
Artwork

1
Wimbi la Siasa

RFI Kiswahili

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Monthly+
 
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
  continue reading
 
Ni Makala yanayoangazia kwa jicho la tatu mazingira halisi ya dunia yalivyo bila kusahau kile ambacho kinachangia kuyaharibu. Utapata kufahamu namna ambavyo mazingira na rasilimali zinavyoharibiwa huku pia teknolojia ikijumuishwa. Hakika mazingira mazuri ya leo ni dunia yako kesho.
  continue reading
 
Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.
  continue reading
 
Artwork

101
Nyumba ya Sanaa

RFI Kiswahili

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Monthly+
 
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
  continue reading
 
Artwork

1
RFAMD

Philip James

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Monthly
 
Remove thyroid nodules without surgery. Consider ablation instead, the non-surgical way to treat benign and malignant thyroid nodules. Hosted by Philip James from the Doctor Thyroid podcast.
  continue reading
 
Artwork

1
The SJP Show

scottwyatt

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Monthly+
 
Travel down memory lane as Scott Joseph Phares talks about his beginnings in music all the way to current day. Plus hear stories and songs as well as interviews with other Artists and Music Business professionals.
  continue reading
 
Artwork

1
Doctor Thyroid

Philip James interviews top thyroid experts about surgery, nutrition, endoc

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Monthly
 
This show is for thyroid patients determined to improve their quality of life, with the best information available. You will gain insight from those who have discovered improved well-being regardless of setbacks, and hear from leading healthcare professionals, including endocrinologists, surgeons, functional medicine practitioners, and radiologists.
  continue reading
 
Artwork

1
Connecting Minds

Africa Business Radio

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Monthly
 
The Mandela Institute for Development Studies (MINDS) is an Africa-wide think tank which provides a forum for dialogue, information dissemination and networking, underpinned by rigorous research on the different elements of African Heritage in order to shape policy and practice on governance, economic development and the evolution of African institutions. Support this podcast: https://anchor.fm/connectingminds/support
  continue reading
 
Artwork

1
MAELEZO PODCASTS

Tanzania Information Services Department, Habari-MAELEZO

icon
Unsubscribe
icon
icon
Unsubscribe
icon
Monthly
 
Sikiliza MAELEZO PODCASTS (Podcasts za Kiswahili kutoka Idara ya Habari MAELEZO, Tanzania) kupata taarifa na matukio mbalimbali nchini Tanzania. Idara ya Habari (MAELEZO) ipo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ikiwa na jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, mipango na miradi ya maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya Sera na Sheria za habari.
  continue reading
 
Welcome to Unblocking Success, a London Drainage Facilities production—'London by name, South East by nature'. With over 17 years of experience and a proud reputation for first-time fixes and outstanding customer service, we are dedicated to exploring the insights and innovations of the service industry. Join us as we sit down with some of the brightest minds in the field—from property and block managers to heads of facilities and visionary entrepreneurs. Each episode delves into their uniqu ...
  continue reading
 
Loading …
show series
 
On this episode, we’re catching up with longtime friend of the show, Wilbur Pan. Wilbur is a fantastic woodworker and a leading ambassador for Asian woodworking tools and techniques. He recently presented at the Woodworking in America event, and he’s here to share some excellent techniques and insights you’ll want to try out ASAP! Wilbur Pan Giantc…
  continue reading
 
Makala hii imeangazia kwa kina chimbuko la watu wa kabila la wanande, ambao kati yao wapo ambao wamejikita mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo maarufu kama wayira na pia wengine ambao wamejikita katika mji wa Kasese na maeneo mengine nchini Uganda na ambao wanafahamika kama Bakonzo, kufahamu zaidi sikiliza makala hii na mwandishi wetu Ru…
  continue reading
 
Miongoni mwa mambo yalioamuliwa ni kuhamasisha kiasi cha fedha trilioni 1.3 kila mwaka kufikia 2035 wa ajili ya hatua za tabianchi, kuimarisha fedha uhimilivu mara tatu kufikia 2035. Msikilizaji, suala la kuharakisha ufadhili wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi inasalia kuwa kipaumbele cha dharura hasa kwa nchi zinazoendelea ambazo zina athir…
  continue reading
 
Jumapili nyingine kabisa tunakutana katika Makala haya Changu Chako Chako Changu, makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni la parler francophone na Muziki Leo nakuletea utamaduni wa kulinda urithi na uhifadhi wa utamaduni wa kiafrika. Kwenye Muziki tutahitimisha na burudani kutoka mwa msanii Aslay katika kibao chake alichoshi…
  continue reading
 
Karibu katika Makala Changu Chako Chako Changu Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea Maonyesho ya ushirikiano na Ufaransa na Kenya katika tasnia ya kitamaduni na ubunifu kupitia mpango wa Création Africa. Na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuzi Ibrah kutoka nchini Tanzania…
  continue reading
 
Waasi wa AFC/M23 wanaosaidiwa na Rwanda, ni rasmi sasa wanaudhibiti mji wa kimkakati wa Uvira jimboni Kivu Kusini, hatua inayokuja licha ya wiki iliyopita DRC na Rwanda kutia saini mkataba wa amani.Tunamuuliza msikilizaji anazungumziaje kilichofanywa na waasi wa M23,,Nini kifanyike? na Je, msikilizaji yuko Uvira au amekimbia kutoka Uvira…
  continue reading
 
Leadership isn't defined by a job title—it's shaped by the experiences, values and people who influence our path. In this episode, host and senior wealth advisor Whitney Reagan sits down with Mariner's Chief Investment Officer, Katrina Radenberg, for a candid conversation about mentorship, growth and authenticity. Together, they explore the moments…
  continue reading
 
Leo ni siku ya kimataifa ya haki za binadamu, hata hivyo dunia inaadhimisha siku hii huku vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu vikiendelea kuongezeka kwenye maeneo mbalimbali duniani, maeneo yenye mizozo vitendo hivi vikiwa vya kuogopesha.Tumekuuliza unafikiri kwanini vitendo hivi vinaongezeka licha ya sheria za kimataifa kuwepo?Hali ya haki za…
  continue reading
 
Kampeni za uchaguzi nchini Uganda zimezidi kupamba moto kuelekea uchaguzi mkuu January 15 2025 ambapo Rais Yoweri Museveni aliyeingia madarakani mwaka wa 1986, anagombea tena muhula wa saba huku akishindana na wagombea wengine miongoni mwao mwanasiasa wa upinzani Robert Kyagulanyi Ssentamu almaarufu Bobi Wine. Kampeni za mwaka huu zinafanyika huku …
  continue reading
 
Mada ya leo ni kuhusu kinara wa upinzani nchini Uganda Bob Wine pamoja na baadhi ya wagombea wengine wa upinzani wameendelea kunyanyaswa na vyombo vya usalama wanapoendelea na kampeni zao, tume ya uchaguzi ikilaani vitendo hivyo.Yanayofanyika Uganda yanashuhudiwa pia kwenye mataifa kadhaa ya Afrika .Tumemuuliza msikilizaji Hatua hii ya vyombo vya u…
  continue reading
 
Licha ya viongozi wa DRC na Rwanda kutia saini mkataba wa amani juma lililopita, mapigano yameripotiwa mashariki mwa Congo kati ya waasi wa M23 na jeshi la Serikali FARDC.Tulimuuliza mskilizaji Je hii ni ishara kuwa mkataba waliotia saini haujazaa matunda ,nani wakuwajibishwa kwa kinachotokea na Nini kifanywe kuleta utulivu mashariki mwa Congo,,…
  continue reading
 
Katika makala haya tujadili hatua ya ongezeko la visa vya wanasiasa wa upande wa serikali na upinzani kutumia makundi ya vijana au wahuni kutisha na kuvuruga mikutano ya mahasimu wao wa kisiasa hili likifanyika hata kwenye mitandao. Tunakuliza unafikiri kwa nini wanasiasa wanaendelea kutumia makundi ya vijana au wahuni katika siasa. skiza makala ha…
  continue reading
 
Makala ya wimbi la siasa, imeangazia hatua ya viongozi wa Rwanda na DRC ambao siku ya alhamisi desemba 04 watatia saini makubaliano ya amani, mbele ya rais wa Marekani Donald Trump hii ikiwa ni mwendelezo wa mapatano ya amani mashariki mwa DRC yaliyosimamiwa na Marekani yaliyotiwa saini na mawaziri wa mambo ya nje wa nchi hizo mbili juni 27. Profes…
  continue reading
 
Kate & Meighan of the Florida School of Woodwork return to answer the 5 Questions. We explore their favorite tools, seasoned and unseasoned woodworkers, and more. It's a fun and entertaining conversation. Check it Out! WWing News Lefkowitz Shave Horse Plans & Alexander Brothers’ Kits Lee Valley Tools - New Veritas Miter Plane Andy Klein’s new Blade…
  continue reading
 
Siku ya kimataifa ya mapambano dhidi ya UKIMWI, Umoja wa Mataifa unasema kupungua kwa misaada kunatishia dunia kufikia lengo la kudhibiti ugonjwa huu ifikapo mwaka 2030, huduma za kinga zimevurugika hasa kwenye nchi masikini. unazungumziaje siku hii, je dunia tumepiga hatua kukabiliana na ugonjwa huu? Skiza maoni ya baadhi ya waskilizaji.…
  continue reading
 
Viongozi wa Afrika na wale wa umoja wa Ulaya wamekutana nchini Angola, lengo likiwa ni kuimarisha ushirikiano wa usalama na kiuchumi, rasilimali za bara hilo zikimulikwa na mataifa yenye nguvu ambayo yameongeza kasi ya uwekezaji kwenye bara hilo. Tumekuuliza unaamini ushirikiano uliopo unanufaisha pande zote ? Ushirikiano wa aina gani Afrika inapas…
  continue reading
 
On this episode, we welcome back Kate Swann and Meighan Hornady from the Florida School of Woodwork. Kate founded the school in 2004 and has served as its Executive Director ever since. We chat with Kate and Meighan about the exciting new chapter ahead for the School. Check it out! Episode Links - Next Generation of Young Makers: Garrett R Pratt - …
  continue reading
 
Msikilizaji juma lililopita watu wenye silaha waliwateka wanafunzi zaidi ya 300 pamoja na waalimu katika shule moja kwenye jimbo la Niger nchini Nigeria, tukio linalojiri siku chache tangu kutekwa kwa wanafunzi wengine 25 katika shule ya wasichana kwenye jimbo la Kebbi pia huko Nigeria. Vitendo vya utekaji wa watoto vinazidi kuongezeka katika nchi …
  continue reading
 
Tunajadili hatua ya viongozi kadhaa wa Afrika akiwemo rais wa Uganda, Yoweri Museveni, na rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, wamewateua watu wa familia zao katika nafasi za serikali, hali hii ikionekana kwenda kinyume na maadili ya kazi. Tunakuuliza Je, uteuzi wa ndugu serikalini ni sahihi au si sahihi? skiza Makala haya…
  continue reading
 
Chama kikuu cha upinzani nchini Kenya cha Orange Democratic Movement-ODM kina kiongozi mpya, Seneta Oburu Oginga, kaka yake kiongozi wa zamani wa chama hicho Hayati Raila Odinga aliyefariki dunia mwezi Oktoba. Je, atafanyaje, kukiunganisha chama hicho ambacho kinaonekana kugawanyika kuhusu ushirikiano wake na uongozi wa rais William Ruto ? Tunacham…
  continue reading
 
Mvua huja kwa sauti ya baraka lakini katika kitongoji, sauti hiyo hubeba hofu. Maji yanapoteremka kutoka angani, katika sekunde chache, barabara hugeuka mito. Vyumba vya kulala vinageuka mabwawa. Katika kitongoji cha Kibera jijini Nairobi nchini Kenya, hali hiyo ya hofu imebadilishwa kupitia kundi la vijana linalojiita Weather Mtaani. Shirika la We…
  continue reading
 
Brandy & Dave of Silver River Chairs return to answer the Other 5 Questions. We explore new tools, favorite weaving materials and more. It's a fun and entertaining conversation with the OG Chair Nerds. Check it Out! Brandy & Dave silverriverchairs.com Their book, “The Woven Chair” @silverriverchairs on Instagram Silver River Chairs on YouTube Silve…
  continue reading
 
Ulimwengu umeadhimisha siku ya kumbukumbu kwa waathiriwa wa ajali za barabarani. Takwimu za umoja wa mataifa zinaonyesha kuwa, duniani kote, watu zaidi ya milioni moja hufariki dunia kila mwaka kutokana na ajali za barabarani, na millioni hamsini kujeruhiwa. Nini kifanyike kupunguza ajali za barabarani. Skiza makala kufahamau maoni ya mskilizaji ze…
  continue reading
 
In this inspiring conversation, host Whitney Reagan talks with Mariner's Chief Operating Officer, Cheryl Bicknell, JD, LL.M, explore leadership, growth and the lessons learned along the way. Cheryl shares insights from her path to COO, her approach to leadership, continuous development and the pursuit of one's highest and greatest use, and the valu…
  continue reading
 
Nchi za Afrika Mashariki za Kenya, Uganda na Tanzania, zimeendelea kushuhudia ongezeko la visa vya wakosoaji wa serikali kutekwa na kupotezwa. Hivi karibuni, wanaharakati wawili kutoka nchini Kenya, Bob Njagi na Nicholas Oyoo walitekwa zaidi ya mwezi mmoja uliopita nchini Uganda, baada ya kuhudhuria kampeni za uchaguzi za Bobi Wine, waliachiwa baad…
  continue reading
 
On this episode we welcome back Brandy Clements and Dave Klingler from the Silver River Center for Chair Caning. They’ve just released their new book, The Woven Chair, published by Blue Hill Press. We’re excited to talk with them about the book and their new studio in Weaverville, North Carolina. It's a fun and informative conversation with some tr…
  continue reading
 
Katika makala ya Habari Rafiki hii leo tunazungumzia hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kutishia kutumia jeshi la nchi yake kupambana na wanajihadi wanaowauwa Wakiristo nchini Nigeria. Kauli hii imewakasirisha viongozi wa Nigeria, ambao wanasema serikali nchini humo, haiungi mkono unyanyasaji wa kidini. Tumemuuliza msikilizaji anazungumzia vipi…
  continue reading
 
Dunia inapojiandaa kwa mkutano wa kimataifa wa Mazingira COP30 utakaofanyika Belém, Brazil, ripoti mpya imeibua mjadala mkali—si tu kuhusu uzalishaji wa hewa ukaa, bali pia kuhusu ukosefu wa usawa. Utafiti mpya wa shirika la Oxfam, unaonesha kuwa mataifa tajiri na watu wachache wenye utajiri mkubwa wanachangia kwa kiasi kikubwa katika mabadiliko ya…
  continue reading
 
Machafuko yalikumba uchaguzi mkuu wa Tanzania, uliofanyika Oktoba 29, 2025 na rais Samia Suluhu Hassan kutangazwa mshindi kwa kupata asilimia 97.6 ya kura. Chama kikuu cha upinzani CHADEMA, kimesema ushindi wa Samia ni kichekesho cha demokrasia. Anapaswa kufanya nini ili kuirejesha Tanzania katika utulivu wa kisiasa ? Tunachambua.…
  continue reading
 
Jeff returns to take on the Other 5 Questions! We learn about his love for the multi-router, mahogany, and some classes on his list. It’s an entertaining conversation with a fantastic chairmaker and turner. Check it out! Jeff Wyatt: @copperjohn_woodworks on Instagram Video - Windsor Chairmaking Basics with Jeff Wyatt Sutherland Welles Finishes - Us…
  continue reading
 
On this episode, we’re thrilled to welcome back, friend of the show, Jeff Wyatt. Jeff is an outstanding chairmaker and instructor, and he recently released a new Popular Woodworking video on Windsor chairmaking. Jeff (aka @copperjohn_woodworks) works out of his shop in Tennessee, and teaches at schools nationwide. It is fun and informative conversa…
  continue reading
 
Djibouti limekuwa taifa la hivi punde kuondoa rasmi kikomo cha umri wa rais , hatua inayotoa fursa kwa rais Ismail Omar Guelleh kugombea muhula wa sita katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Aprili mwaka ujao. Awali Katiba ya nchi hiyo ilikuwa inamzuia rais kugombea tena baada ya kufikisha miaka 75. Hali hii pia imeonekana kwenye mataifa kadhaa ya Af…
  continue reading
 
Loading …

Quick Reference Guide

Copyright 2025 | Privacy Policy | Terms of Service | | Copyright
Listen to this show while you explore
Play